Asante najua yataongezeka tuUmesahau swali mmoja: je una uhusiano wowote wa kibiashara na mzee wa msoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante najua yataongezeka tuUmesahau swali mmoja: je una uhusiano wowote wa kibiashara na mzee wa msoga?
Sina shida na Lizaboni kujibu kwa niaba yake ili mradi aje na majibu yanayokidhi
tt1. Wewe ni waziri tena wa wizara ambayo kampuni uliyoianzisha wewe wana mahusiano ya kibiashara. Je huoni kwamba kuna mgongano wa kimaslahi?
2. Ikiwa wizara yako imetangaza tenda kampuni yangu ikatenda na Infosys uliyoianzisha wewe ikatenda, naweza kupewa mimi? Hata nikikosa kwa haki na ikapata Infosys nitaridhika?
3. Hivi ni sahihi kampuni zenye mahusiano na mawaziri kufanya kazi na serikali wanayoitumikia?
4. Kampuni yako imekanusha kuijua wala kushirikiana na Lugumi. Wewe binafsi unaijua Lugumi na wamiliki wake? Kama unaijua inawezekanaje watu wa kampuni uliyoianzisha hawaijui?
5. Kelele kubwa zinaendelea kuhusu wizara unayoiongoza, kimya chako kinasababishwa na nini? Mbona hujatoka hadharani kuzungumza lolote kuhusu kinachoendelae ofisini mwako?
6. Unasubiri kutimuliwa? kwa nini usimwombe bwana mkubwa akuweke pembeni ili uchunguzi uendelee vizuri ofisini kwako?
7. Ni kweli kwamba una uhusiano/rafiki wa karibu na bwana mkubwa?
8. Uhusiano huo kama upo ni wa kawaida au wa kibiashara?
9. Kama ni wa kibisahara anahusika kwenye Infosys?
10. Kama mna uhusiano kama inavyosemekana huoni kwamba unampa mtihani mkubwa sana rafiki yako?
Nani kakwambia alichosema ni ukweli? Kwani hawezi kudanganya? Yaani unaamini maneno ya mshukiwa? Je ulitegemea akubali? Watanzania ni wangese sana ndio maana tunaliwa kila kukicha! Yaani mlalamikiwa akubali shtaka ama kweli Tanzania yangu pongo na nyumbu ni wa kutisha! Ukiona chombo huru kimechukunguza na kusema hayo ndio utoke kwenye shimo Kuja kuchangia utumbo kama huuHaya sasa ukweli umewekwa wazi kumbe ni juhudi za kumpiga vita Waziri Kitwanga na kutaka kuichafua serikali ya Magufuli.
Wapiga dili tafuteni kiki nyingine ukweli ndio huu.
Ndio kwa sababu sishobokei wazungu,Nani kakuuliza wewe jamaa uwa punguani kweli kila kitu Nairobi yaani wewe kwako Nairobi ni zaidi ya New York.
Kampuni ya INFOSYS IPS (T) LTD imekanusha taarifa zinazoenezwa katika mitandao ya kijamii kwamba kampuni hiyo inahusika na inashirikirikiana na Lugumi Enterprises katika kashfa ya ubadhirifu.
Katika habari zilizosambaaa inasemekana kwamba kampuni ya Infosys ilipokea mabilioni ya shilingi kutoka katika kampuni ya Lugumi, jambo ambalo wao wanadai si la kweli na ni la kupuuzwa na umma.
'Hatujawahi kufanya biashara na kampuni ya Lugumi Enterprises' Amesisitiza Bwana Sweki Donald, Naibu Meneja Mkuu Infosys IPS (T) LTD.
Video:
umetumia nini Kujua ni msafi? Unajua kwanini watanzania tunaitwa majuha? Ni kwa sababu ya watu kama wewe! Nani kamchunguza akakwambia ni safi? Je ikijagundulika ameshiriki unasemaje? Yaani kwa akili ya kawaida tu ile sio NGO ya Kutoa msaada ambayo founder anaweza kujitoa ile ni kampuni ya kutengeneza faida! Hadi hapo umeshaelewa aliekuwa anahojiwa alikuwa anapambana kumnasua boss wake kwenye matopeHaha utokaji wa hii taarifa na contribution za mwanzo umeniacha nikicheka.
Anyway mimi pia naona chuki tu binafsi na wivu wa baadhi ya watu. Kitwanga ni mtu safi kabisa.
Je unaweza kutwangana na Kitwanga?1. Wewe ni waziri tena wa wizara ambayo kampuni uliyoianzisha wewe wana mahusiano ya kibiashara. Je huoni kwamba kuna mgongano wa kimaslahi?
2. Ikiwa wizara yako imetangaza tenda kampuni yangu ikatenda na Infosys uliyoianzisha wewe ikatenda, naweza kupewa mimi? Hata nikikosa kwa haki na ikapata Infosys nitaridhika?
3. Hivi ni sahihi kampuni zenye mahusiano na mawaziri kufanya kazi na serikali wanayoitumikia?
4. Kampuni yako imekanusha kuijua wala kushirikiana na Lugumi. Wewe binafsi unaijua Lugumi na wamiliki wake? Kama unaijua inawezekanaje watu wa kampuni uliyoianzisha hawaijui?
5. Kelele kubwa zinaendelea kuhusu wizara unayoiongoza, kimya chako kinasababishwa na nini? Mbona hujatoka hadharani kuzungumza lolote kuhusu kinachoendelae ofisini mwako?
6. Unasubiri kutimuliwa? kwa nini usimwombe bwana mkubwa akuweke pembeni ili uchunguzi uendelee vizuri ofisini kwako?
7. Ni kweli kwamba una uhusiano/rafiki wa karibu na bwana mkubwa?
8. Uhusiano huo kama upo ni wa kawaida au wa kibiashara?
9. Kama ni wa kibisahara anahusika kwenye Infosys?
10. Kama mna uhusiano kama inavyosemekana huoni kwamba unampa mtihani mkubwa sana rafiki yako?
Toka lini kukanusha kukawa ndio ukweli? Hata Babu Seya alikanusha kubaka na bado akafungwa........BTW huyo msemaji mbon hasemi uhusikaji wa Kitwanga na kampuninya Infosys?
Ni mawazo yako ila kwa nini yeye asije akajibu yeye? Umetumwa?Kwanini usimtafute Kitwanga mwenyewe akujibu maswali yako, kama yule jamaa aliyeamua kwenda infosys kupata ukweli wake.
Unahisi humu utapata majibu sahihi? Au ndio unaanzisha mada kwa ID moja, unaijibu kwa ID tatu majibu uyapendayo wewe kwa manufaa yako.....
tt
Hahhah...situmiki mkuu, ni mawazo yangu tu!Ni mawazo yako ila kwa nini yeye asije akajibu yeye? Umetumwa?