the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Messi ana rekodi ya dunia ya kufunga magoli mengi zaidi katika mwaka mmoja!, Ronaldo ana rekodi ya a dunia ya kupata hat tricks nyingi katika musimu mmoja! Na wote wawili wamemzidi Gaucho kwa Kuwa na ballon D'Or nyingi kuliko Gaucho, messi ana nne, na Ronaldo ana Tatu wakati Gaucho ana mbili tu. Haya njoo hapa utuwekee rekodi za Gaucho za dunia kama ubavu huo unao!
then hayo magoli anayafunga kipindi hiki mabeki wenyewe dakika zote 90 wanatembea uwanjani huku wanajitoa doksi nyuma.
kama yeye ni striker mbona hakuwahi kumpita Nesta na kufunga tena Nesta huyo aliekuwa ameshazeheka?
njoo na video NESI kampita Nesta na kufunga goli basi Mods wanifungie mwezi mzima...
atavipita visichana vyenzie hivyohivyo shenz type.
then hayo magoli anayafunga kipindi hiki mabeki wenyewe dakika zote 90 wanatembea uwanjani huku wanajitoa doksi nyuma.
kama yeye ni striker mbona hakuwahi kumpita Nesta na kufunga tena Nesta huyo aliekuwa ameshazeheka?
njoo na video NESI kampita Nesta na kufunga goli basi Mods wanifungie mwezi mzima...
atavipita visichana vyenzie hivyohivyo shenz type.
Gang Chomba video ninayo sema kuupload siwez sasa usiongee mengi na ukiniambia anavipita visichana unakuwa unaikosea adabu hata timu yako ya acmilan rejea mechi tuliyokupiga 4 alaf lile goli la pili la messi unajua messi alipiga chenga beki ngapi kabla ya kumtungua kipa wako mwenye upara na hyo video yangu inaonyesha ni kias gani nesta alipata shida kwani alitamani hata atoke uwanjani
Si unaonaaaa, ndo maana sikutaka kuendeleza huu mjadala kati ya Messi na Gaucho. Yaani mnapima uwezo wa mchezaji kwa timu ya taifa tuu. Endeleeni na hio mijadala, kila la heri.
na ningeshangaa sana kama ungerudu na jibu...
bwah hah hah hah hah hah hah
Kwa haya maneno yako ndio nimethibitisha kweli wewe mpira haujui ila unamjua Messi tuu. Eti tunapima mafanikio ya mchezaji kwa timu ya Taifa tuu,ni kombe gani alilochukua huyo Messi wako ambalo Dnho the Magic hajawahi kuchukua kwa ngazi ya Club hasa hapo Barca?mbona unataka kujizalilisha pasipo na msingi?Dinho Mnyama kachukua la liga,Kombe la mfalme,Club Bingwa Ulaya,Club Bingwa Dunia na uchafu mwingine wote unaoujua wewe. Tatizo lako kubwa umeanza kuangalia na kufuatilia mpira Mwaka 2011.
hah hah hah hah ndo maana kumbe...
ninegundua umri wako bado ndo maana kila kukicha ni bla bla tu.
umewataja De Lima, Carlos, Cafu na Dunga na kudai kuwa eti ukiwa nao hao watu huwezi kukosa kombe..
but nakukumbusha kuwa watu hao walikuwapo mwaka 98 na kuambulia kipigo cha goli 3-0 toka kwa France ktk Fainali ya kombe la Dunia.
sasa nimetambua kuwa natakiwa kumfundisha soka mtu wa namna gani.
Sawa Mkuu, una lingine la nyongeza?
ok ngoja nikujibu alafu uamini kuwa messi ni mkali COPA DELAYBado nina swali moja na dogo kutoka kwako,ni kombe gani kwa ngazi ya Club hasa hapo Barca alilochukua Messi na Ronaldinho Gaucho the Magic hajawahi kuchukua?naomba jibu nifunge mjadala.
ok ngoja nikujibu alafu uamini kuwa messi ni mkali COPA DELAY
Bado nina swali moja na dogo kutoka kwako,ni kombe gani kwa ngazi ya Club hasa hapo Barca alilochukua Messi na Ronaldinho Gaucho the Magic hajawahi kuchukua?naomba jibu nifunge mjadala.
Mbuzi cup
Kabeba kombe la dunia
World cup
Gaucho hajafikia hata robo ya messi
Hujui kituu ww
Bado nina swali moja na dogo kutoka kwako,ni kombe gani kwa ngazi ya Club hasa hapo Barca alilochukua Messi na Ronaldinho Gaucho the Magic hajawahi kuchukua?naomba jibu nifunge mjadala.