Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #161
Kujisalimisha kwa Mungu mmoja.Uislam ni lazima ungekiwepo kwa sababu Uislam ni kanuni iliyopo kabla ya sii kuumbwa.
Unafahamu maana ya neno "Uislam"?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujisalimisha kwa Mungu mmoja.Uislam ni lazima ungekiwepo kwa sababu Uislam ni kanuni iliyopo kabla ya sii kuumbwa.
Unafahamu maana ya neno "Uislam"?
Yuko wapi huyo Ulamaa atupe majibu hapaUlamaa aliyekomaa
Huwezi tenganisha makamasi na pua.Lakini mkuu mtu kuuwa na kufanya makosa haiondoi usahihi wa dini yake, anapaswa kubeba lawama yeye na sio dini yake
Bado hayo ni makosa yao binafsi, wapo ambao wanatenda mazuri na kufuata sheria, tusiwachafue kwa makosa ya watu wengine.Huwezi tenganisha makamasi na pua.
Wanaua na kusema dini imewatuma hivyo, kwanini wapagani wenzangu hawaui mtu, umeshaona mpagani anaua mtu na kulazimisha watu wawe wapagani?
Unazunguka mbuyu, bwana eeh , elewa dini ni ubatili mtupu, wewe amini Mungu yupo !Bado hayo ni makosa yao binafsi, wapo ambao wanatenda mazuri na kufuata sheria, tusiwachafue kwa makosa ya watu wengine.
Siyo tu kujisalimisha.Kujisalimisha kwa Mungu mmoja.
Sahihi, inamaana haikupaswa kuwepo dini tofauti na uislamu?Siyo tu kujisalimisha.
Kujisalimisha kwa unyeyekevu.
Sawa mkuu, lakini bado hauna uhakika kama mimi ni mfuasi wa wazungu waarabu au wahindi na wachina, lengo la uzi lilikuwa ni kutafuta namna ya maisha yangelikuwaje pasipo na dini au sheriaUnazunguka mbuyu, bwana eeh , elewa dini ni ubatili mtupu, wewe amini Mungu yupo !
dini za waarabu na wazungu hazikufikishi mahali na ndio maan hizo dini zina majina ya nchi zao ama moji yao na ukislai inakubidi ujifanye unaongea kama wao waliokuletea.
Hakuna dini nyingine zaidi ya Uislam, ukisikia mtu anakwambia kuna dini nyingoine ni mpotoshaji tu, amejazwa ujinga.Sahihi, inamaana haikupaswa kuwepo dini tofauti na uislamu?
Lakini mbona katika Quran imeeleza kuhusu uwepo wa dini nyingine?Hakuna dini nyingine zaidi ya Uislam, ukisikia mtu anakwambia kuna dini nyingoine ni mpotoshaji tu, amejazwa ujinga.
Katika hali sahihi na ya wema .Sawa mkuu, Au ndyo ile ya “follow your heart, believe in yourself and do what you want" 😁
Lugha mama kwako ni Kiswahili?Unazunguka mbuyu, bwana eeh , elewa dini ni ubatili mtupu, wewe amini Mungu yupo !
dini za waarabu na wazungu hazikufikishi mahali na ndio maan hizo dini zina majina ya nchi zao ama moji yao na ukislai inakubidi ujifanye unaongea kama wao waliokuletea.
Hapo sawa mkuuKatika hali sahihi na ya wema .
Umeshafika kabali yao 😹Watu wanajiwekea mifumo yao tu, hata hizo dini ni mifumo iliyowekwa na watu.
Na kama ukivyosema, dini zenyewe hazifuatwi.
Kipimo cha ubaya kinaweza kuwekwa kwa mifumo isiyo ya kidini kama sheria au haki za binadamu.
Hapana,nimezaliwa na kuongea kifipa na baadae ki-ndali ndio nikajifunza kiswahili.Lugha mama kwako ni Kiswahili?
Hii reply inatosha kabisa kuhitimisha mjadala wa hii threadWatu wanajiwekea mifumo yao tu, hata hizo dini ni mifumo iliyowekwa na watu.
Na kama ulivyosema, dini zenyewe hazifuatwi.
Kipimo cha ubaya kinaweza kuwekwa kwa mifumo isiyo ya kidini kama sheria au haki za binadamu.
Lengo la swali langu ni kujua ulimwengu ungekuwa vipi pasipo sheria hususan za moral and responsibility.What is the nature of moral law? Binadamu, kwa mfano, anajuaje kuwa kumuua binadamu mwenzake ni vibaya hata kama hakuna sheria au dini inayomkataza kuua?
Ukipata jibu la swali hili utakuwa umepata jibu la swali lako!