FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Dini ni moja tu, Uislam.Ingekuwa vipi kama dini hazipo, ni wapi watu wangepata maarifa na taratibu za kuishi kwa hekima? Ni wapi tungepata sheria na kanuni za kutatua changamoto za kiroho?
Naelewa bado dini zipo lakini maovu yanaendelea, je ingekuwaje kama dini hazikuwepo kabisa? Inamaana maovu yangezidi na hakuna wa kukemea.
Dini zisinge kuwepo, kipimo cha uovu kingekuwa ni nini? Makatazo ya maovu yangetoka wapi?
Ingekuwa vipi?
Sema kusingekuwa na wapotoshaji, wanaozuka na misamiati na kuiita dini, ingekuwaje?