technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.
Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.
Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.
Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.
Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?
Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.
Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.
Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.
Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.
Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.
Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.
Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.
Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?
Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.
Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.
Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.
Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.
Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.