Pre GE2025 Ingependeza Rais Samia apumzike 2025

Pre GE2025 Ingependeza Rais Samia apumzike 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
 
Gentleman,
Iko wazi kila kona ya nchi yetu.

wananchi na waTanzania walio wengi wanapendelea na tayari wameshaamua kwamba Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenz na kiongozi wao wa Taifa, atahitimisha ngwe yake ya mwisho 2035🐒
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfuno dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Wanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
natabiri: pamoja na kuwa samia hakubaliki na watanzania wengi, atafosi ushindi wa 2025 lakini kutokana na aina ya uongozi wake watu hawatavumilia mwisho wa siku wataandamana na kudai ajiuzulu na atajiuzulu kabla hajamaliza awamu yake kwa sababu ya uongozi wake mwenyewe ambao hautawaridhisha wanancha. Hivyo ndivyo nilivyona ndotoni na nikiota mara nyingi huwa yanatimia
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfuno dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Wanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.

Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfuno dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Wanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Ama kweli, unashauri aachie taji hiyo kwa utashi wake? Ingetokea hiyo ningeamini dunia inakwisha desemba.
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfuno dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Wanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
UNGEJUA AJENDA YA RAIA FEKI NI NINI USINGE SEMA HAYO MANENO ...NYUMA YA SAMIA KUNA RAIA FEKI WENYE NGUVU SANA WAO NDIYO WANAMTAKA MTU WAO AENDELEE KUONGOZA HATA KAMA AMECHOKA AU AKUBALIKI ...MWINGINE NI NDUGU ABDUL HUYU YUPO TAYARI KUMWADA DAMU ILI MAMA YAKE ABAKI MADARAKANI KWA NAMNA YOYOTE ..UTAMU WA ASALI UMEMLEVYA BWANA ABDUL ..HADI KUFIKIA KUIONA DAMU YA WATANZANIA SIYO.KITU KWAKE KULIKO ASALI
 
natabiri: pamoja na kuwa samia hakubaliki na watanzania wengi, atafosi ushindi wa 2025 lakini kutokana na aina ya uongozi wake watu hawatavumilia mwisho wa siku wataandamana na kudai ajiuzulu na atajiuzulu kabla hajamaliza awamu yake kwa sababu ya uongozi wake mwenyewe ambao hautawaridhisha wanancha. Hivyo ndivyo nilivyona ndotoni na nikiota mara nyingi huwa yanatimia
Damu za akina Soka na Mzee Ally Kibao haziwezi kumuacha salama, Mungu ataamua huu ugomvi kama alivyofanya March 17 2021.
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Akipumzika 2025 ni busara zaidi. Kwani kuendelea kugombea kwa kulazimisha na umri umeenda ni kujiharibia. CCM hawawezi kufanya makosa kuruhusu Mgombea ambae kiumri ni Babu/Bibi wa kuhitajika kukaa na wajukuu.
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Kuna watu wakisoma huu uzi wanaweza kujiua
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Akiishapumzika babaako ana uwezo wa kutuongoza? Kama anao alikuwa wapi wakati Mama yetu mpendwa anaanza kutuongoza?
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.

Chaguzi zingekuwa huru, haki na za kuaminika, hakika nyuzi kama hizi zisingekuwapo.
 
Gentleman,
Iko wazi kila kona ya nchi yetu.

wananchi na waTanzania walio wengi wanapendelea na tayari wameshaamua kwamba Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenz na kiongozi wao wa Taifa, atahitimisha ngwe yake ya mwisho 2035🐒
Uliwahesabu saa ngapi mpaka uje na takwimu za waliowengi?
 
Tangu alete mipansho kwenye uhai wa Raia, namuona Kama mtu asiyefaa kuwa Rais na sauti yake ya kinafiki.
 
Back
Top Bottom