Pre GE2025 Ingependeza Rais Samia apumzike 2025

Pre GE2025 Ingependeza Rais Samia apumzike 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Hao wanaume wote waliotawala takriban miaka khamsini wameleta maajabu gani? Heshimuni wanawake ni mama zenu waliowazaa, wana akili na maarifa sawa na wengine kuzidi wanaume. Mambo ya mila na tamaduni potofu za kumdharau na kumdodesha mwanamke zimepitwa na wakati. Kwa ushauri wangu Mama apindue katiba, atuongoze miaka myengine 25 mbele. Na kama itampendeza nnafasi zote nyeti atuwekee kina mama, mathalan mkuu wa majeshi, mkuu wa jeshi la polisi, mkuu wa jeshi la magereza, Jaji mkuu na majaji wa mahakama,waziri mkuu na makamu wa raisi. Pia atuwekee wakuu wa mikoa na wilaya akina mama, wakurugenzi wa mashirika na idara nyeti zote za serikali wawe akina mama.
Naamini huenda ikatusaidia kusonga mbele na uwizi , ubinafsi na ubadhirifu wa mali ya umma ukapungua kidogo. Nafikiri hata mambo ya ukatili wa kijinsia, ubakaji, na rushwa za ngono zitapungua pia.
Wanaume wameshindwa kuleta maendeleo kwa miaka zaidi ya 50 sasa ,tuwaachie wakinamama nao watuletee mawazo mbadala.
 
CATHERINE RUGE AWALAZA CHUMBA KIMOJA MBOWE NA SALUM MWALIMU

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimezidi kuzama kwenye mgogoro wa ndani unaochochewa na mahusiano tata ya kimapenzi baina ya viongozi wake wakuu.

Mapenzi haya yameleta mfarakano mkubwa katika uongozi wa chama, hali inayotishia kuathiri mustakabali wa kisiasa wa CHADEMA mbele ya wapiga kura.

Habari za ndani zinadokeza kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake (BAWACHA) Taifa, Catherine Ruge, aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar, Salum Mwalimu, na wawili hao wamejaliwa kupata mtoto mmoja.

Hata hivyo, mahusiano yao yamefifia huku Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe, akihusishwa kuwa mpenzi mpya wa Catherine, jambo ambalo limezua uhasama mkubwa na kuzidisha mgawanyiko ndani ya chama.

Viongozi wanasema kuwa mgogoro huu wa mapenzi umemuharibia Salum nafasi yake ya ushawishi, huku chama kikimshuku kuwa huenda anapanga kujiunga na CCM kutokana na kusifia juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan.

Kutengwa kwake kisiasa kumekuja na matokeo makubwa, kwani mara kadhaa amewekwa pembeni kwenye vikao vya maamuzi vya CHADEMA, huku ikielezwa kwamba hata hoteli anayofikia Mbowe haimruhusu Salum kuingia, ikitoa nafasi kwa Mbowe na Catherine kufurahia uhusiano wao bila kizuizi.

Migogoro ya aina hii si tu inachochea mgawanyiko bali pia inapoteza imani ya wanachama na umma kwa ujumla.

Badala ya kuimarisha upinzani dhidi ya CCM, viongozi wa CHADEMA wanajihusisha na migogoro binafsi inayochochea fitina na usaliti.

Ikiwa hali hii haitadhibitiwa, chama kinaweza kuendelea kudhoofika, kikikosa umoja na dira, na hatimaye kupoteza nafasi yake kama mpinzani imara wa kisiasa nchini.
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    55.4 KB · Views: 4
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Eti R nne ndio falsafa gani. Falsafa ni ama uegemee kwa wavuja jasho au uegemee kwa wanyonyaji wa wavuja jasho. Mama ameonesha moyoni sio mtu wa wavuja jasho. Matabaka yote ni muhimu kwa uchumi ila kwa historia ya nchi zilizotawaliwa wavuja jasho ndio wanaofanya taifa. Rais mwenye kukumbatia maslahi ya wafanyabiashara na wawekezaji kuliko wananchi wa kawaida atawabakiza nchi nzima watumwa.
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Naunga mkono hoja.....thabitii
 
Wa Tanzania yafuatayo ni heru TUpu , kuweni na subira
 
Raisi anaependa kusifiwa sana hawezi kuwa kiongozi Bora.
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Porojo at its best.

Mpaka Sasa hujaona falsafa ya Samia yet unasema amechanganya falsafa za Mwendazake & JK.

Sasa hiyo sio falsafa? Wewe leta choko choko uone moto,hiyo chorus ime expire SSH Yuko Hadi 2030.

Mwisho mambo ya muhimu Kwa Kiongozi ni Uchumi hizo porojo zingine Hazina msingi.
 
Mtindo mpya anaoweza kuukubali huyo rais wenu mpendwa, kumwomba awasikilize ni kugaagaa chini. Nenda mbele yake na gaagaa hapo chini ya mavumbi mbele ya miguu yake. Ukifanya hivyo inawezekana akayatazama maombi yako kama yanafaa kufikiriwa.
 
Kuna vitu vipo hewani sijaelewa mpaka leo.
Moja Fedha za ujenzi wa daraja la Jangwani za 2022 na leo 2024 bila kitu.
Pili, Vibao vya post code.
Tatu,express ya chalinze Moro ya kulipia.
Nne,Makato ya miamala na Mikopo umiza.
Tano,Mauzo ya makaa ya mawe na barabara za Ruvuma,Lindi na Mtwara.
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Ukweli ni kuwa Samii hakubalikii

Na ukweli ni kuwa hata ndani ya CCM Hakubaliki

Na ukweli ni kwamba hata ndani ya mfumo hakubaliki

Ukweli ni kwamba kikundi cha watu wachache wanatumia nguvu nyingi sana na rasilimali za nchi kuonyesha kwamba anakubalika

Kitu ambacho sio sahihi.

Magufuli Jp Alikuwa anakubalikaa
Ndio ukweliii.
Na maaisha yalikuwa yanaenda vyema kabisaa
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Hili ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kutusaidia kwa sababu kwa hali ilivyo, huyu mama siyo wa kuondoka mwenyewe japo amefeli kila kitu. li isionekana ni mapinduzi ya kijeshi, walimlie timing wakati wa kuchagua mgombea wa CCM wamwondoe kwa nguvu bila kushirikisha wajumbe wa mkutano. Waandae ripoti inayoonyesha madhambi yake yote na kuiwasilisha kwenye kamati ya kuteua mgombea wakati wa uteuzi. Wakati huo huo, yeye na wafuasi wake (ambao siyo wengi) wawekwe chini ya ulinzi mpaka mkutano utakamaliza kufanya uteuzi.
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Sababu ikiwa katiba inamruhusu.
 
Nashauri Rais wetu mpendwa angepumzika by 2025 baada ya kumaliza utawala wa mpito aje Rais mwengine by 2025/2030.

Kulingana na ukweli kwamba Rais wetu ametoka katika jamii zinazokumbatia Sana mfumo dume hivyo amekuwa akisaidiwa na mawazo ya watu wengine ambao hasa ni wanaume hivyo kuonekana maamuzi mengi anayoyafanya yakiwa hasi analaumiwa yeye.

Urais ni taasisi kweli lakini Rais unatakiwa kuwa na maono yako binafsi mpaka sasa niseme ukweli sijaona falsafa yeyote mpya kutoka kwa Rais wetu zaidi ya kuona mchanganyiko wa utawala wa Kikwete na Magufuli ambao kifalsafa wote walikuwa na utofauti mkubwa.

Sizani Kama ni sahihi kuchukua falsafa za Magufuli na Kikwete kuzichanganya maana falsafa zao zinakinzana pakubwa na haziwezi kukaa katika chungu kimoja.

Unaruhusu Uhuru wa vyombo vya habari na uchaguzi huru uku bado hauna interijensia ya kukamata watekaji na wauaji wa Watanzania wenzetu?

Tanzania tulipofikia tunatakiwa kuwa na Rais ambaye ni game changer ambaye atakuja na falsafa zake zisizofungamana na upande wowote wa Rais asiye madarakani.

Rais ambaye anatengeneza makundi hawezi kufanyakazi na watu wanaomkosoa hatufai.

Rais ambaye bado haonekani kuleta suluhu ya kuwepo kwa katiba na uchaguzi huru na haki.

Nchi Haina future juu ya mambo mengi ya kitaifa Rais Bora ni yule mwenye falsafa inayoeleweka na watu wake.

Hivyo nashauri angepumzika mwakani atakuwa Rais mwenye heshima kubwa Sana kwenye Taifa letu.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom