Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Mleta uzi vipi? Iniesta c wakumfananisha na Gaucho, Iniesta habari ya mjini., labda kwa kutikisa matako na kukatika uwanjani dinho hajambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante. Mkuu.Hapo unalinganisha mbingu Na ardhi!
Gaucho Ni level ya juu sana! Na soka lake lilikuwa Ni la burudani muda wote!!
Ni kama uhaini flani. JF hamna mechanism ya kublock WATOTO.Sio vizuri kumfananisha Gaucho na vitu vya kijinga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unamchukia Messi sababu anatesa wenzakeNi kosa kubwa kulinganisha WAAMERIKA na WAULAYA..
N:B
Ingawa namkubali cr7 na namchukia messi coz messi anatesa wenzanke.
sio iniesta tu hata messi hamfikii gaucho,gaucho habari ingine,anaburudisha na kusaidia timu
Ahahahahahahahahahaha!Ni kosa kubwa kulinganisha WAAMERIKA na WAULAYA..
N:B
Ingawa namkubali cr7 na namchukia messi coz messi anatesa wenzanke.
Gaucho ni fundi wa ajabu
Swali jepesi tu
INIESTA ameshatwaa makombe mangap
Ronaldinho ameshatwaa jumla ya makombe mangap
HAPO NDIO UTAJUA INIESTA WEKA MBAL NA WATOTO
Kama tunazungumzia mbwembwe na udambwidambwi uwanjani basi DUNIANI BADO HAJATOKEA KAMA GAUCHO.
Ila kwa Juhudi na Kucheza mpira wa Kazi, Gaucho ni wa kawaida tu.