Mkiambiwa ilianzishwa na Tanganyika African Association, mzazi wa TANU na babu wa CCM mnabisha
Haiwez kufa kwenye nchi ya wajinga wanao shabikia Simba na yanga upumbavu mtuputimu ya ccm, subirini hii ni dalili ya kufa kwa yanga
Watapanda za magazeti usiku,au Costa za hakuna kulalaKweli kabisa hii,kama usiku wanakula chakula ikulu unazani wataenda Mbeya kwa usafiri na match ni kesho.
ila afadhali hawajapata kikombe wangepelekwa dubai kwa ndege ya mizigoHaiwez kufa kwenye nchi ya wajinga wanao shabikia Simba na yanga upumbavu mtupu
Kila mahali ukipita wanajadili Simba na yanga hadi baadhi ya viongozi wa dini
Kwa hiyo huu ujinga hauwez kufa kirahisi
Usipo shabikia moja wapo wa hizo timu unaomekana mshamba pumbavu zao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Cha msingi
USM ALGER #wametuheshimisha
Hili ni jambo baya sana kwa Rais, nadhani sasa tunaanza kuona rangi halisi kama ni kweli.Siamini hii kitu, ila kama ikiwa kweli nitaamini nchi hii kwa sasa hatuna Rais.
Kuna remote somewhere inafanya kazi yake.
There is a vacuum in the presidential seat🤔😢Siamini hii kitu, ila kama ikiwa kweli nitaamini nchi hii kwa sasa hatuna Rais.
Kuna remote somewhere inafanya kazi yake.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mbona kazi ipoo
Timu iliyosononesha Tanzania nzima uje uilinganishe na hii ambayo hata mashabiki wake waliiua kwenye mikeka ni kuikosea adabu