Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😉😉 unatuone dongeMbona kazi ipoo
Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.[emoji419][emoji375]Muda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara
Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
---
View attachment 2646565
Itakufa Tanzania, yanga itabakitimu ya ccm, subirini hii ni dalili ya kufa kwa yanga
ina vinasaba na CCMMuda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara
Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
---
View attachment 2646565
Iyo khanga iliochomwa moto itakuwa ioe alievishwa tjri etu mlio wa ng’ombe
Hapana wako wawili tu pale wengeni wanajitahid kujiongeza lkn wapi kodi za walalahoi zinachezewa mnaona rahaNarudia, Timu ya Yanga ni ya Wananchi wenye Akili
Maskini Makolokolo wezangu tufiche wapi sura zetu sisi jamani miaka hii 2022 & 2023 tusikutane na Yanga FC "Wananchi"....[emoji849][emoji26].Cha msingi
USM ALGER #wametuheshimisha
Mashabiki wenyewe ukiwaangalia vizuri tu usoni utagundua kuna baadhi ya fyuzi zimekatika kwenye bongo zao [emoji4]Haiwez kufa kwenye nchi ya wajinga wanao shabikia Simba na yanga upumbavu mtupu
Kila mahali ukipita wanajadili Simba na yanga hadi baadhi ya viongozi wa dini
Kwa hiyo huu ujinga hauwez kufa kirahisi
Usipo shabikia moja wapo wa hizo timu unaomekana mshamba pumbavu zao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu wa TFF aliwaendekeza vibaya sana Makolokolo kwa mbeleko kupita kiasi miaka ileeeee... sasa ni zamu ya Wananchi/Wenyenchi kula mema ya nchi [emoji1]Mwacheni awabebe tu.mwisho wa mbereko ni kuchanika.
kajambeSiamini hii kitu, ila kama ikiwa kweli nitaamini nchi hii kwa sasa hatuna Rais.
Kuna remote somewhere inafanya kazi yake.
Hilo ndo la muhimuCha msingi
USM ALGER #wametuheshimisha