Hamieni UTO mpunguze machungu.Sio sahihi its too much
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamieni UTO mpunguze machungu.Sio sahihi its too much
Hamieni UTO mpunguze machungu.
Kabisa kabisa.Huna akili
Waweke visit BUNJU : MOO ARENA.Simba wasirudie kuweka visit Tanzania pale kifuani.
wasiseme ametoa ndege, watuambie kama ametoa pesa za kulipia ndege ya biashara hiyo. au wana maana gani? hiyo ndege sio ya mtu binafsi, ni ya watanzania na ni ndege ya biashara.kodi zetu.Muda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara
Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
---
View attachment 2646565
Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.
Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
Huyo wa 5 muondoe.
Hukumsikia aliposema amepelekewa invoice?wasiseme ametoa ndege, watuambie kama ametoa pesa za kulipia ndege ya biashara hiyo. au wana maana gani? hiyo ndege sio ya mtu binafsi, ni ya watanzania na ni ndege ya biashara.kodi zetu.
Kawafurahishaaa kupitiaa fei, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema mama anaupiga mwingi
Anahakikisha kabisa Makolo wanapasuka kwa hasira[emoji1787]
Sasa huu ni ujingaMuda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara
Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
---
View attachment 2646565
Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.
Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
Ni upumbafu kwa kweliHapa sasa ndipo utaona Watanzania walivyo wapumbavu. Watasahau shida zao zote wasifie kisa wao ni mashabiki wa Yanga.
Hata hivyo unategemea nini kwenye taifa ambalo likiamka asubuhi vipindi vya redio vinatangaza habari za michezo na umbea.
Anamuokoa mwanae FEI..Akili kubwa hiiMuda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara
Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.
Sent using Jamii Forums mobile app
---
View attachment 2646565
Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.
Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
WATAPIGWA NA MBEYA CITY 2:1Samia ameamua kuchezea kodi zetu.
Kweli wanasiasa wanatuona sisi ni manyumbu na kweli sisi ni manyumbu pro.
Kama huwezi kupinga uozo wa wanasiasa, jipige kifuani huku ukisema..
'Mimi ni nyumbu x3'View attachment 2646683
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Bado anagongelea Makolo kwenye mshono 😂Kawafurahishaaa kupitiaa fei, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushawahi kumsikia akiiponda Yanga?Huyo wa 5 muondoe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm Ni mwananchi ila it's too much anachofanya rais haikubaliki cjaona umuhimu wowote kuangaika na yangqc kwa kuforce vitu vya namna ile
SAS nimeamini 2025 ccm itapasuka