Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Injinia Hersi: Rais Samia atoa ndege kuipeleka Yanga Mbeya

Huna akili
Kabisa kabisa.
Lakini asie na akili ametoa ushauri bora kabisa utakaowaepusha na misononeko na kuhatarisha afya ya moyo na akili. Mtoa ushauri hapendi kabisa mkose alichokikosa yeye.
 
Muda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara

Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
---

View attachment 2646565

Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.

Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
wasiseme ametoa ndege, watuambie kama ametoa pesa za kulipia ndege ya biashara hiyo. au wana maana gani? hiyo ndege sio ya mtu binafsi, ni ya watanzania na ni ndege ya biashara.kodi zetu.
 
wasiseme ametoa ndege, watuambie kama ametoa pesa za kulipia ndege ya biashara hiyo. au wana maana gani? hiyo ndege sio ya mtu binafsi, ni ya watanzania na ni ndege ya biashara.kodi zetu.
Hukumsikia aliposema amepelekewa invoice?
 
Makolodundukaz yamenuna utatafikiri Yanga ndio iliyowafanyia scouting ya akina SAWAKUBWA na kuishia robo.
 
Muda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara

Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
---

View attachment 2646565

Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.

Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
Sasa huu ni ujinga

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO FREE FEITOTO
 
Hapa sasa ndipo utaona Watanzania walivyo wapumbavu. Watasahau shida zao zote wasifie kisa wao ni mashabiki wa Yanga.

Hata hivyo unategemea nini kwenye taifa ambalo likiamka asubuhi vipindi vya redio vinatangaza habari za michezo na umbea.
Ni upumbafu kwa kweli
 
Mm Ni mwananchi ila it's too much anachofanya rais haikubaliki cjaona umuhimu wowote kuangaika na yangqc kwa kuforce vitu vya namna ile

SAS nimeamini 2025 ccm itapasuka
 
Muda huu Rais wa Yanga amethibitisha Rais Samia ametoa ndege ya kuipeleka Mbeya Timu ya Yanga kumalizia michezo yake ya Ligi Kuu Bara

Nadhan Yanga ina vinasaba na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
---

View attachment 2646565

Rais Samia Suluhu ametoa ndege maalum kuipeleka Yanga SC jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Juni 6 mwaka huu.

Yanga itaelekea Mbeya baada ya kupata chakula cha jioni na Rais Samia Ikulu jijini Dar es Salaam leo kama pongezi kwa juhudi walizozionesha katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika.
Anamuokoa mwanae FEI..Akili kubwa hii
 
Kawafurahishaaa kupitiaa fei, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado anagongelea Makolo kwenye mshono 😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230606-223621.jpg
    Screenshot_20230606-223621.jpg
    73.5 KB · Views: 1
Vipigo vinaendelea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
FB_IMG_16860822801441471.jpg
 
Mm Ni mwananchi ila it's too much anachofanya rais haikubaliki cjaona umuhimu wowote kuangaika na yangqc kwa kuforce vitu vya namna ile

SAS nimeamini 2025 ccm itapasuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom