Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Atakuwa kaipata kwa rafiki yake Bin Kazumari.Mkuu taarifa ya kufungiwa kwa account ya Feisal umepata kwa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa kaipata kwa rafiki yake Bin Kazumari.Mkuu taarifa ya kufungiwa kwa account ya Feisal umepata kwa nani?
Nami lengo sio mniamini, lengo ni kutoa maoniKama hata haukumbuki tutakuamini vipi? Tufanye ndio ipo hivyo. Kufunga kwa account haiwezi kuwawajibisha Yanga kisheria. Ni kama Feisal kaongeza tu tatizo na hakutatua tatizo kisheria.
Huyo jamaa huwa ana hemkwa ovyo sana. Ukimwambia ukweli anakasirika anaanza kutukana tukana. Umbumbumbu huwa ni kipaji nachoMmoja wa wakala wa Feisal humu JF denooJ kaingia kingi na vihabari vya magezitini ooh yanga imekubali kumlipa Feisal milioni 15. Kiko wapi sasa?
Kajamaa kwenye miwani kafupi mnakaita KamweNani alisema?
Siku mkiamua kutumia akili zenu kuchanganua mambo ndio nitaanza kuwajibu kwa kutumia akili zangu, kwa sasa mashabiki wa utopolo wa sampuli yako kwangu ni kama midoli tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmoja wa wakala wa Feisal humu JF denooJ kaingia kingi na vihabari vya magezitini ooh yanga imekubali kumlipa Feisal milioni 15. Kiko wapi sasa?
Muone huyu nae, ukweli upi unaoujua wewe mdoli wa Hersi[emoji1787][emoji1787]Huyo jamaa huwa ana hemkwa ovyo sana. Ukimwambia ukweli anakasirika anaanza kutukana tukana. Umbumbumbu huwa ni kipaji nacho
Halafu nikikwambia unaipenda yanga unakataa, si unaona sasa!! 🤣Kwenye hamasa za kwenda uwanjani nilisikia simu imepigwa live Ali kamwe alikua anaongea na nani wenu sijui huko ndo akasema Fei toto atakuwepo kesho...yani aliongea laivuuuu bila chengaaa
Mlimsikia vibaya bwana🤣Kajamaa kwenye miwani kafupi mnakaita Kamwe
Alitangaza siku2 kabla ya mechi na kapiga nae picha 🤣🤣🤣Mlimsikia vibaya bwana🤣
Toeni pesa, acheni mbambamba, mtu kashatoa pesa hadi yakuvunja mkataba bado mnamng'ang'aniaKijana ana dharau sana
🤣🤣🤣 Ulisikia vibaya bwana.Alitangaza siku2 kabla ya mechi na kapiga nae picha 🤣🤣🤣
Sasa hivi unaanza kutukana. Ngoja nikuache kabla hayajapandaMuone huyu nae, ukweli upi unaoujua wewe mdoli wa Hersi[emoji1787][emoji1787]
Mimi nikukasirikie wewe bush lawyer uliyeshindwa kumtetea Fei hadi mkaenda kubebwa na TFF🫣🫣 kwanza kwa hoja gani ulizonazo hadi nikukasirikie[emoji848][emoji848] you can't be serious[emoji1787][emoji1787]
Basi labda kuna vijana wa hovyo walimuedit🤣🤣🤣🤣🤣 Ulisikia vibaya bwana.
Tufanye Fei Kaondoka Yanga Na Kahamia Kabisa Simba...Vp Itasaidia Kupunguza Maumivu Uliyonayo??Mchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?
Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.
Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]
Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.
Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Jana Fei angekuwepo angevuruga fomesheni maana Bangala alikaa katikati hakupita mtu kipindi Cha kwanza! Kipindi Cha pili alipungukiwa maarifa kiasi ila kikosi kikibaki kama Jana ushindi ni lazima.Si mlisema atakuwepo uwanjani jana?