Injinia Hersi Said: Bado tunamsubiri Fei Toto, tunaendelea kumlipa mshahara

Injinia Hersi Said: Bado tunamsubiri Fei Toto, tunaendelea kumlipa mshahara

Kama hata haukumbuki tutakuamini vipi? Tufanye ndio ipo hivyo. Kufunga kwa account haiwezi kuwawajibisha Yanga kisheria. Ni kama Feisal kaongeza tu tatizo na hakutatua tatizo kisheria.
Nami lengo sio mniamini, lengo ni kutoa maoni

Na hakuna sehemu nime i-accuse management ya Yanga kuwa watawajibika kisheria
 

Attachments

  • Screenshot_20230220-202228_Photos.jpg
    Screenshot_20230220-202228_Photos.jpg
    223 KB · Views: 2
Sasa Amesema Hana Mahaba Na Yanga Tena Utarudi Akae Benchi Mpaka 2024 Akimaliza Mkataba
 
Mchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?

Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.

Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]

Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.

Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
 
Mmoja wa wakala wa Feisal humu JF denooJ kaingia kingi na vihabari vya magezitini ooh yanga imekubali kumlipa Feisal milioni 15. Kiko wapi sasa?
Siku mkiamua kutumia akili zenu kuchanganua mambo ndio nitaanza kuwajibu kwa kutumia akili zangu, kwa sasa mashabiki wa utopolo wa sampuli yako kwangu ni kama midoli tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyie midoli kila anachosema Hersi mnakiamini🫣🫣
 
Huyo jamaa huwa ana hemkwa ovyo sana. Ukimwambia ukweli anakasirika anaanza kutukana tukana. Umbumbumbu huwa ni kipaji nacho
Muone huyu nae, ukweli upi unaoujua wewe mdoli wa Hersi[emoji1787][emoji1787]

Mimi nikukasirikie wewe bush lawyer uliyeshindwa kumtetea Fei hadi mkaenda kubebwa na TFF🫣🫣 kwanza kwa hoja gani ulizonazo hadi nikukasirikie[emoji848][emoji848] you can't be serious[emoji1787][emoji1787]
 
Bora wanaye muamini hersi raisi kuliko Ahmed Ally anaye pewaaa taarifa kaseme hiviiii
 
Kwenye hamasa za kwenda uwanjani nilisikia simu imepigwa live Ali kamwe alikua anaongea na nani wenu sijui huko ndo akasema Fei toto atakuwepo kesho...yani aliongea laivuuuu bila chengaaa
Halafu nikikwambia unaipenda yanga unakataa, si unaona sasa!! 🤣
 
Muone huyu nae, ukweli upi unaoujua wewe mdoli wa Hersi[emoji1787][emoji1787]

Mimi nikukasirikie wewe bush lawyer uliyeshindwa kumtetea Fei hadi mkaenda kubebwa na TFF🫣🫣 kwanza kwa hoja gani ulizonazo hadi nikukasirikie[emoji848][emoji848] you can't be serious[emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi unaanza kutukana. Ngoja nikuache kabla hayajapanda
JamiiForums-1611641127.jpg
 
Mchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?

Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.

Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]

Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.

Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Tufanye Fei Kaondoka Yanga Na Kahamia Kabisa Simba...Vp Itasaidia Kupunguza Maumivu Uliyonayo??
 
Si mlisema atakuwepo uwanjani jana?
Jana Fei angekuwepo angevuruga fomesheni maana Bangala alikaa katikati hakupita mtu kipindi Cha kwanza! Kipindi Cha pili alipungukiwa maarifa kiasi ila kikosi kikibaki kama Jana ushindi ni lazima.
 
Back
Top Bottom