Injinia Hersi Said: Bado tunamsubiri Fei Toto, tunaendelea kumlipa mshahara

Injinia Hersi Said: Bado tunamsubiri Fei Toto, tunaendelea kumlipa mshahara

Wewe unasema hahitajiki, lakini rais wako Hersi hapa ananukuliwa akisema "sisi Fei ni kijana wetu, kuna watu wanaongeza chumvi, ni mchezaji wetu na ataendelea kuwa kwetu hadi Mwaka 2024."
Rais kaongea hivyo kimkataba. Mnachoshindwa kuelewa ni nini?
 
Mchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?

Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.

Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]

Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.

Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Wanamlipa mshahara kama sehemu ya kutekeleza yaliyomo kwenye mkataba wao. Wakisitisha kumlipa maanaake wamevunja makubaliano ya mkataba na wao pia. Kinachofanyika ni kutengeneza mazingira ambayo yatakuwa ni wazi kuwa ni upande mmoja ndio uliovunja mkataba na kinachofanyika kwa Yanga kukusanya uthibitisho wa wao kuutekeleza mkataba. Umesikia wewe zero point?
 
Ilikua zandaani wasafi FM na hakuna kiongozi yeyote aliyepigiwa simu kuthibitisha ili
Nilisikia wapo Fm kuna kiongozi wa Yanga alikuwa anahojiwa kwa njia ya simu alidai kuwa mchezaji mwenyewe ndiye aliyefunga account
 
Nilisikia wapo Fm kuna kiongozi wa Yanga alikuwa anahojiwa kwa njia ya simu alidai kuwa mchezaji mwenyewe ndiye aliyefunga account
Wapo FM na mpira wapi na wapi!!?..wakapunge mashetani huko
 
IMG_8129.jpg
 
Mchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?

Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.

Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]

Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.

Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Kwa ambavyo huna akili ulitegemea Hersi aongee kila kitu hapo! kaa na u mbumbumbu wako
 
Mchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?

Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.

Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]

Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.

Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Mchezaji anaripoti kambini ndipo anachukuliwa hatua kwa sasa bado feisal hajarudi kambini. Take it easy mzee akifika kambini atapewa adhabu kwa mujibu wa kanuni za taasisi. Bangala, aziz ki, morisson walichelewa kuripoti yanga haikuwafata uko walipo iliwasubiri tu waliporudi wakachuliwa hatua kwa kupigwa faini
 
Back
Top Bottom