Injinia Hersi Said: Bado tunamsubiri Fei Toto, tunaendelea kumlipa mshahara

Injinia Hersi Said: Bado tunamsubiri Fei Toto, tunaendelea kumlipa mshahara

Siku mkiamua kutumia akili zenu kuchanganua mambo ndio nitaanza kuwajibu kwa kutumia akili zangu, kwa sasa mashabiki wa utopolo wa sampuli yako kwangu ni kama midoli tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nyie midoli kila anachosema Hersi mnakiamini🫣🫣
Hersi Ambaye Ni Engineer...Lkn Kuna Watu Wanamuamini Mangungu Ambaye Hata Kuongea Kigeni Tu Mtihani[emoji3][emoji3]
 
Mchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?

Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.

Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]

Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.

Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Hahitajiki Yanga, analipwa ili mkataba usikiukwe, timu iko imara Mazembe anakufa 3 bila yeye
 
Mshahara analipwaje wakati mchezaji alifunga account yake

Au ndio mambo ya bahasha?
Atalipwa kupitia account yake aliyotoa kwa mwajiri wake... Ziwe zimefika au hazijafika atajua mwenyewe. Utaratibu upo hivyo.
 
Tufanye Fei Kaondoka Yanga Na Kahamia Kabisa Simba...Vp Itasaidia Kupunguza Maumivu Uliyonayo??
Ukiona mtu anakimbia hoja nilizoandika badala yake anajiongelea maneno yasiyokuwepo kama chizi au mpiga ramli[emoji1787][emoji1787], ujue huyo nimeshamuweka mfukoni[emoji1322][emoji1322].

Nyie kwangu ni weupe saaaana..!!
 
Ukiona mtu anakimbia hoja nilizoandika badala yake anajiongelea maneno yasiyokuwepo kama chizi au mpiga ramli[emoji1787][emoji1787], ujue huyo nimeshamuweka mfukoni[emoji1322][emoji1322].

Nyie ni weupe saaaana..!!
Tatizo Hamueleweki Mnataka Nini?? Yanga Ifungwe Au Fei Aondoke Yanga...NI LIPI LITAWAPA FURAHA??
 
Hahitajiki Yanga, analipwa ili mkataba usikiukwe, timu iko imara Mazembe anakufa 3 bila yeye
Fei kakiuka mkataba na kambini hayupo, kwanini haadhibiwi? Asiporudi atalipwa mpaka mkataba uishe?
 
Hahitajiki Yanga, analipwa ili mkataba usikiukwe, timu iko imara Mazembe anakufa 3 bila yeye
Wewe unasema hahitajiki, lakini rais wako Hersi hapa ananukuliwa akisema "sisi Fei ni kijana wetu, kuna watu wanaongeza chumvi, ni mchezaji wetu na ataendelea kuwa kwetu hadi Mwaka 2024."
 

Attachments

  • Screenshot_20230220-202228_Photos.jpg
    Screenshot_20230220-202228_Photos.jpg
    223 KB · Views: 2
Back
Top Bottom