KishimbaJr
Member
- Jul 25, 2022
- 75
- 67
Hersi Ambaye Ni Engineer...Lkn Kuna Watu Wanamuamini Mangungu Ambaye Hata Kuongea Kigeni Tu Mtihani[emoji3][emoji3]Siku mkiamua kutumia akili zenu kuchanganua mambo ndio nitaanza kuwajibu kwa kutumia akili zangu, kwa sasa mashabiki wa utopolo wa sampuli yako kwangu ni kama midoli tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie midoli kila anachosema Hersi mnakiamini🫣🫣
Hivi Kwani Ni Dhambi Mtu Kuipenda Yanga??Halafu nikikwambia unaipenda yanga unakataa, si unaona sasa!! [emoji1787]
Hahitajiki Yanga, analipwa ili mkataba usikiukwe, timu iko imara Mazembe anakufa 3 bila yeyeMchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?
Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.
Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]
Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.
Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Sio dhambi kabisa.Hivi Kwani Ni Dhambi Mtu Kuipenda Yanga??
Hajakuwepo na tumeshinda 3 hapo VP!Si mlisema atakuwepo uwanjani jana?
The truth is, unajijua hauna kitu cha maana kichwani cha ku argue nami🫣🫣, usijizungushe kama katoto hapa[emoji1787][emoji1787]Sasa hivi unaanza kutukana. Ngoja nikuache kabla hayajapandaView attachment 2524314
Atalipwa kupitia account yake aliyotoa kwa mwajiri wake... Ziwe zimefika au hazijafika atajua mwenyewe. Utaratibu upo hivyo.Mshahara analipwaje wakati mchezaji alifunga account yake
Au ndio mambo ya bahasha?
Hapo badoooHajakuwepo na tumeshinda 3 hapo VP!
Ukiona mtu anakimbia hoja nilizoandika badala yake anajiongelea maneno yasiyokuwepo kama chizi au mpiga ramli[emoji1787][emoji1787], ujue huyo nimeshamuweka mfukoni[emoji1322][emoji1322].Tufanye Fei Kaondoka Yanga Na Kahamia Kabisa Simba...Vp Itasaidia Kupunguza Maumivu Uliyonayo??
😁😁😁😁tumeghairi hakuwepo na tumeshinda 😃
Tatizo Hamueleweki Mnataka Nini?? Yanga Ifungwe Au Fei Aondoke Yanga...NI LIPI LITAWAPA FURAHA??Ukiona mtu anakimbia hoja nilizoandika badala yake anajiongelea maneno yasiyokuwepo kama chizi au mpiga ramli[emoji1787][emoji1787], ujue huyo nimeshamuweka mfukoni[emoji1322][emoji1322].
Nyie ni weupe saaaana..!!
Fei kakiuka mkataba na kambini hayupo, kwanini haadhibiwi? Asiporudi atalipwa mpaka mkataba uishe?Hahitajiki Yanga, analipwa ili mkataba usikiukwe, timu iko imara Mazembe anakufa 3 bila yeye
Wewe unasema hahitajiki, lakini rais wako Hersi hapa ananukuliwa akisema "sisi Fei ni kijana wetu, kuna watu wanaongeza chumvi, ni mchezaji wetu na ataendelea kuwa kwetu hadi Mwaka 2024."Hahitajiki Yanga, analipwa ili mkataba usikiukwe, timu iko imara Mazembe anakufa 3 bila yeye
👇🏻👇🏻👇🏻🤣🤣🤣 Ulisikia vibaya bwana.
Naona unazidi kutoka nje ya mada tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo Hamueleweki Mnataka Nini?? Yanga Ifungwe Au Fei Aondoke Yanga...NI LIPI LITAWAPA FURAHA??
Basi Sawa Mtani, Pole! Lkn Angalia Usije Mchubua Shemeji Kwa Hasira[emoji3][emoji3][emoji3]Naona unazidi kutoka nje ya mada tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Una uhakika mkuu kwamba account ilifungwa?Mshahara analipwaje wakati mchezaji alifunga account yake
Au ndio mambo ya bahasha?
Yes you are right. Sina cha ku argue na wewe kwa sababu you are always pointless. How can I argue?The truth is, unajijua hauna kitu cha maana kichwani cha ku argue nami🫣🫣, usijizungushe kama katoto hapa[emoji1787][emoji1787]