Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Rais kaongea hivyo kimkataba. Mnachoshindwa kuelewa ni nini?Wewe unasema hahitajiki, lakini rais wako Hersi hapa ananukuliwa akisema "sisi Fei ni kijana wetu, kuna watu wanaongeza chumvi, ni mchezaji wetu na ataendelea kuwa kwetu hadi Mwaka 2024."
Aliongea akiwa wapi? Huyo Ilagila updates ndio media gani? Yawapi?[emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Aliongea akiwa wapi? Huyo Ilagila updates ndio media gani? Yawapi?
Kwani mara ngapi huwa anapost IG, Twitter au FB bila kuongea na tv au redio? Mbona mnajitoaga ufahamu 🤣🤣Aliongea akiwa wapi? Huyo Ilagila updates ndio media gani? Yawapi?
Wanamlipa mshahara kama sehemu ya kutekeleza yaliyomo kwenye mkataba wao. Wakisitisha kumlipa maanaake wamevunja makubaliano ya mkataba na wao pia. Kinachofanyika ni kutengeneza mazingira ambayo yatakuwa ni wazi kuwa ni upande mmoja ndio uliovunja mkataba na kinachofanyika kwa Yanga kukusanya uthibitisho wa wao kuutekeleza mkataba. Umesikia wewe zero point?Mchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?
Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.
Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]
Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.
Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Wame-edit bwana 🤣👇🏻👇🏻👇🏻
Samia?Rais kaongea hivyo kimkataba. Mnachoshindwa kuelewa ni nini?
Kajamaa kwenye miwani kafupi mnakaita Kamwe
Jibu swali mkuu, Si mlipost mitandaoni kwamba atakuwepo?Kwani Feisal kuwepo uwanjani anakatazwa??? Si anaweza kuwepo kama mtazamaji…!! Tatizo liki wapi?
Mshahara analipwaje wakati mchezaji alifunga account yake
Au ndio mambo ya bahasha?
Sasa si ulete hiyo post yake huko insta au twitterKwani mara ngapi huwa anapost IG, Twitter au FB bila kuongea na tv au redio? Mbona mnajitoaga ufahamu [emoji1787][emoji1787]
Hapana namzungumzia Rais wa Arsenal TZ Edo KumwembeSamia?
Ni kongozi gani wa Yanga aliyepost kuwa Feisal atakuwepo uwanjani?Jibu swali mkuu, Si mlipost mitandaoni kwamba atakuwepo?
Nilisikia wapo Fm kuna kiongozi wa Yanga alikuwa anahojiwa kwa njia ya simu alidai kuwa mchezaji mwenyewe ndiye aliyefunga account
Kafungaje akaunti?!..Mshahara analipwaje wakati mchezaji alifunga account yake
Au ndio mambo ya bahasha?
Wapo FM na mpira wapi na wapi!!?..wakapunge mashetani hukoNilisikia wapo Fm kuna kiongozi wa Yanga alikuwa anahojiwa kwa njia ya simu alidai kuwa mchezaji mwenyewe ndiye aliyefunga account
Kwa ambavyo huna akili ulitegemea Hersi aongee kila kitu hapo! kaa na u mbumbumbu wakoMchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?
Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.
Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]
Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.
Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.
Mchezaji anaripoti kambini ndipo anachukuliwa hatua kwa sasa bado feisal hajarudi kambini. Take it easy mzee akifika kambini atapewa adhabu kwa mujibu wa kanuni za taasisi. Bangala, aziz ki, morisson walichelewa kuripoti yanga haikuwafata uko walipo iliwasubiri tu waliporudi wakachuliwa hatua kwa kupigwa fainiMchezaji ameamua kutorudi kwenye timu, huo mshahara wanamlipa wa kazi gani kama sio kumbembeleza psychollogically arudi kwasababu wanajua walibebwa na TFF?
Kwani hawa utopolo hawana adhabu za kumchukulia mchezaji wao anayekwenda kinyume cha mkataba? mbona Morrison wanamuadhibu kwa kumuweka nje? kwanini kwa Fei wanashindwa kumuadhibu, tena ajabu ndio wanamlipa kabisa mshahara!.
Kumbe Fei ni mkubwa zaidi ya taasisi ya utopolo[emoji1787][emoji1787]
Eti kisa ni "kijana wao" upuuzi mtupu, na kuna mazuzu huko utopoloni wanaamini hizi kauli nyepesi! mna upeo mdogo sana.
Hii ni sababu nyingine inayoonesha utopolo hawana haki kwenye hii issue ya Fei, wanajua walibebwa na TFF ndio maana bado wanahangaika kumpigia simu za kumtongoza kwa kushirikiana na kocha wao Nabi.