Injinia Masauni, utekaji umemuondoa Mambo ya Ndani?

Injinia Masauni, utekaji umemuondoa Mambo ya Ndani?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Waziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.

Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.

Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!

Sasa mama kaongea!
 
Waziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.

Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.

Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!

Sasa mama kaongea!
Police 🚔 kushiriki shughuli za siasa.
 
Waziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.

Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.

Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!

Sasa mama kaongea!
Gentleman,
Mabadiliko serikalini, hufanyika kwa madhumuni ya kuboresha utendaji kazi kwenye idara au sekta fulani serikalini na kuchochea ufanisi katika kuwatumikia wananchi na si vinginevyo 🐒
 
Mh. Rais kafanya maamuzi mazuri sana, Masauni alikuwa kama hayupo kabisa, matukio makubwa yanatokea, yeye kimyaaaa
 
Gentleman,
Mabadiliko serikalini, hufanyika kwa madhumuni ya kuboresha utendaji kazi kwenye idara au sekta fulani serikalini na kuchochea ufanisi katika kuwatumikia wananchi na si vinginevyo 🐒
Kwa hiyo anayetakiwa kushughulikia utekaji, na hashughulikii anaongezaje ufanisi wa serikali yzko sikivu.
 
Back
Top Bottom