Injinia Masauni, utekaji umemuondoa Mambo ya Ndani?

Injinia Masauni, utekaji umemuondoa Mambo ya Ndani?

Kuwatumikia au kuwateka?!
gentleman,
mabadiliko ya wakuu wa taasisi, wizara au idara za serikali hulenga kuchochea ufanisi katika kutoa huduma kwa wananchi,
hata hivyo, mabadiliko hayo yanaweza kua ya kawaida, mabadiiliko ya kimkakati, ya kiutendaji, ya kisiasi au shinikizo za ndani na nje ya nchi.

kwa mabadiliko ya jana kwenye serikali kuu ya Tanaziania ni mabadiliko ya kimkakati na ya kiutendaji yanayolenga kuchochea mageuzi na ufanisi wa kisekta katika kuleta matokeo katika masisha ya wananchi


Mungu Ibariki Tanazania :NoGodNo:
 
gentleman,
mabadiliko ya wakuu wa taasisi, wizara au idara za serikali hulenga kuchochea ufanisi katika kutoa huduma kwa wananchi,
hata hivyo, mabadiliko hayo yanaweza kua ya kawaida, mabadiiliko ya kimkakati, ya kiutendaji, ya kisiasi au shinikizo za ndani na nje ya nchi.

kwa mabadiliko ya jana kwenye serikali kuu ya Tanaziania ni mabadiliko ya kimkakati na ya kiutendaji yanayolenga kuchochea mageuzi na ufanisi wa kisekta katika kuleta matokeo katika masisha ya wananchi


Mungu Ibariki Tanazania :NoGodNo:
Lakini vile vile kufanya mabadiliko ni kwa kuona na kufanya uamuzi wa kuwaondoa viongozi wasio na weledi, wasiofanya kazi ipasavyo na ambao ni mzigo kwa taifa kiuongozi, kwa nafasi walizonazo.
 
Lakini vile vile kufanya mabadiliko ni kwa kuona na kufanya uamuzi wa kuwaondoa viongozi wasio na weledi, wasiofanya kazi ipasavyo na ambao ni mzigo kwa taifa kiuongozi, kwa nafasi walizonazo.
Siyo siri Masauni was underperforming kwa nafasi aliyokuwa nayo. He had to go maana lawama zote zilikuwa zinaichafua serikali.
 
Waziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.

Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.

Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!

Sasa mama kaongea!
Watu wanao itwa waislam na uongozi ni vitu viwili tofauti kabisa hawawezi
 
Waziri Masauni yupo yupo tu.
Wizara ya Mambo ya Ndani ndio kaondolewa.

Alikuwa kimya mno, Wazanzibari wanasema kila sakata analionea muhali tu.
Utekaji umekithiri lakini alikuwepo tu.
Sasa hata TRA wanataka kuanza kuteka, usiku usiku.
Huko Iringa Polisi na Magereza wanakabana koo.

Wizara mama kimya!
Waziri Masauni kimyaa!

Sasa mama kaongea!
Hivi ishu ni nini polisi na magereza embu nipe muongozo
 
Cha ajabu utaambiwa Masauni ni mtu wa "system" au anaandaliwa kuwa Rais wa zanzibar. Ndio unabaki unajiuliza kwamba hizi low IQ ndio potential kwenye "system" ya Tanzania? Ajabu sana
Kuendelea kuwaamini waislam katika uongozi wa nchi ni kuendelea kujidanganya, hawa watu wanahongeka kirahisi wanaweza kuuza nchi
 
Huko Iringa gari la Magereza na maafisa wake wamebebwa msobe msobe na gari kupelekwa kituoni mjini Iringa.
Wote majeshi yaliyo wizara ya Ndani.
Umeelezea sawia kabisa.
Sasa hii ni level ya kkukosa discipline wizarani
 
gentleman,
mabadiliko ya wakuu wa taasisi, wizara au idara za serikali hulenga kuchochea ufanisi katika kutoa huduma kwa wananchi,
hata hivyo, mabadiliko hayo yanaweza kua ya kawaida, mabadiiliko ya kimkakati, ya kiutendaji, ya kisiasi au shinikizo za ndani na nje ya nchi.

kwa mabadiliko ya jana kwenye serikali kuu ya Tanaziania ni mabadiliko ya kimkakati na ya kiutendaji yanayolenga kuchochea mageuzi na ufanisi wa kisekta katika kuleta matokeo katika masisha ya wananchi


Mungu Ibariki Tanazania :NoGodNo:
Siyo kwamba wanataka kuleta ufanisi kwenye sekta ya utekaji, ili wawe wanateka zaidi na kuua kabisa?
 
Siyo kwamba wanataka kuleta ufanisi kwenye sekta ya utekaji, ili wawe wanateka zaidi na kuua kabisa?
mtazamo na maoni yako ni uhuru na haki yako kikatiba,

ukiitumia vizuri au vibaya haki na uhuru huo, pia ni uamuzi na haki yako.

Ilimradi unapata huduma nzuri na za uhakikia za maji, afya, umeme n.k chini ya serikali sikivu ya CCM 🐒
 
mtazamo na maoni yako ni uhuru na haki yako kikatiba,

ukiitumia vizuri au vibaya haki na uhuru huo, pia ni uamuzi na haki yako.

Ilimradi unapata huduma nzuri na za uhakikia za maji, afya, umeme n.k chini ya serikali sikivu ya CCM 🐒
Waambieni hao CCM wakomeshe utekaji, nchi inaweza kuingia kwny machafuko kwa sababu ya upumbavu tu,

Hakuna tishio lolote la kuondolewa madarakani, utekaji wa nini?
 
Waambieni hao CCM wakomeshe utekaji, nchi inaweza kuingia kwny machafuko kwa sababu ya upumbavu tu,

Hakuna tishio lolote la kuondolewa madarakani, utekaji wa nini?
epuka dhuluma na tamaa hasa za wake za watu, na kamwe hutafumaniwa na kisha kusingizia huo ushirikina wako, vinginevyo utaingia kwenye machafuko na mume wa wenyewe, na hueda you will be no more..

una mke au mchumba huko mtaani kwenu. Kwanini unamendea wachumba na wake za wenzako, ukipigwa ngeu eti nimetetekwa, that is useless and completely nonsense 🐒
 
Back
Top Bottom