RIZIKI ALLYS MUHUNZI
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 637
- 778
Mkuu pale Mazembe mpira kazi ,na ni sehemu ya maisha ,hkn mchezo mchezo ,Ndio maana wako serious mno kuanzia ,viongozi, wachezaji ,makocha hadi mashabikiKabisa mkuu,, tufike mahala tuongee ukweli tuache ushabiki wa simba na yanga,,
Mpira wa africa ni mpira mgumu kiukwel, mpira unahitaji nguvu na skillz,,
Tp Mazembe si umeona vijana wao
Hilo nenoHofu yangu ni kwamba akikaa bench mechi tatu tu atasusa,maana ataona kadharaulika katoka Brazil aje kukaa bench Tanzania?
Ndugu muangalie msije tengeneza mpasuko ktk timu ,sidhani km hawa wabrazili watataka wakae bench
Mkuu shukran kwa upekuzi, tumepigwa,, nadhani hata Moe hajafurai hii kituKwa kuangalia tu youtube hakuna mchezaji hapo. Kwa sababu youtube ni vipande vya clip pale mchezaji alipofanya vizuri. Sasa kwa mbrazili huyu nahisi tumeingizwa chaka. Kiukweli simba ilihitaji sana mshambuliaji sawa na Kagere au zaidi ya Kagere sio huyu wa kuja kumjaribu.
Kweli tumeharibuHawa simba nao kujifanya kujua sana usomi mwingi wanaaribu tim sasa
nipe matokeo ya uhakikiNimetoka kumfanyia uhakiki You tube maana isije ikawa mambo ya kina Jaja
Hawa simba nao kujifanya kujua sana usomi mwingi wanaaribu tim sasa
Mkuu shukran kwa upekuzi, tumepigwa,, nadhani hata Moe hajafurai hii kitu
Naona kuna kitu mmekiona hakiko Sawa sehemuKweli tumeharibu
Kunywa kinywaji ukipendacho nakuja kulipaShida timu zetu bado sana kwenye scounting. Mchezaji anafuatiliwa mwaka mzima au hata zaidi. Kuna watanzania wangapi Zambia, Kongo, Zimbabwe, Nigeria n.k. ambao ni wanachama wa Simba ambao wangeweza kumpoint mchezaji kwenye ligi za huko halafu wakawatumia taarifa benchi la ufundi likawa linasafiri kwa zamu kwenda kuangalia maendeleo yake uwanjani na afya (maana wengine ni majeruhi mara kwa mara) kila timu yake inapocheza. Hii ya kutegemea kuletewa na mawakala wakati ligi imeshaisha tuombe Mungu tu huyu mbrazili kwani muonekano wake na uchezaji sio "goal porcher" kama Kagere.
Usajili wowote kwenye eneo la ushambuliaji kwa simba reference ni Kagere, Kwenye beki ya kati ni Nyoni, kwenye mbavu ni Kapombe, kwenye kiungo cha kukaba ni Kotei na kiungo cha ushambuliaji ni Chama. Wakija wachezaji wapya lazima wawe sawa au zaidi ya hao.
Kabisa mkuu, hata siamini ujue,,,Naona kuna kitu mmekiona hakiko Sawa sehemu
Simba namba 4 na 5 Ni tatizo kubwa na wanatakiwa wapate wachezaji wazoefu wa michuano ya klabu bingwa africa lakini wasioienda umri Kama Pascal Wawa, hizo nafasi sio zakuleta wabrazilMkuu nafurai kuona unaujua kuufatilia mpira pengine kuliko hata mm!! Mm nimesusa kufatilia usajili Man utd ni vituko kule,, tutapata shida mwakani Epl,,
Ila kwa Simba bado mapungufu ya namba 5,4,3,6
Mkuu umechambua vizuri sana, agiza soda nakuja kulipaShida timu zetu bado sana kwenye scounting. Mchezaji anafuatiliwa mwaka mzima au hata zaidi. Kuna watanzania wangapi Zambia, Kongo, Zimbabwe, Nigeria n.k. ambao ni wanachama wa Simba ambao wangeweza kumpoint mchezaji kwenye ligi za huko halafu wakawatumia taarifa benchi la ufundi likawa linasafiri kwa zamu kwenda kuangalia maendeleo yake uwanjani na afya (maana wengine ni majeruhi mara kwa mara) kila timu yake inapocheza. Hii ya kutegemea kuletewa na mawakala wakati ligi imeshaisha tuombe Mungu tu huyu mbrazili kwani muonekano wake na uchezaji sio "goal porcher" kama Kagere.
Usajili wowote kwenye eneo la ushambuliaji kwa simba reference ni Kagere, Kwenye beki ya kati ni Nyoni, kwenye mbavu ni Kapombe, kwenye kiungo cha kukaba ni Kotei na kiungo cha ushambuliaji ni Chama. Wakija wachezaji wapya lazima wawe sawa au zaidi ya hao.
Ndio hivyo inabidi uamini tu, ila mpeni muda ,season bado anaweza kufanya wondersKabisa mkuu, hata siamini ujue,,,
Mda mwingine huwa tunamwangusha Moe ss wenyewe,, ivi mtu mmeaminiwa na mkapewa jukum la usajili mnatuletea huyu?
Hapa scouts wetu amelala
Ah wapi, tumebet hapoNdio hivyo inabidi uamini tu, ila mpeni muda ,season bado anaweza kufanya wonders
Upo sahihi kabisa Mkuu!Mkuu na mm nmemchek you tube,, huyu jamaa anasifa ya ushambuliaji wala si kiungo mshambuliaji,, uwezo wake ni wakawaida sanaa,, kwa hapa simba tumetetereka aisehh,, huyu ataanzia bench hawez kuwa chaguo la kwanza,,
Narudia tena kwa usajili wa Msudan pale tulilenga ila kwa huyu hata kwa MK 14 anasubiri aiseeeh, youtube haidanganyi,,