Injinia Soma hiyoo: Simba yasajili striker kutoka Brazil

Injinia Soma hiyoo: Simba yasajili striker kutoka Brazil

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_2019-06-21-13-05-09~2.png


Jokes: Jamaa inasemekana ana uwezo wa kupiga chenga uwanja mzima
 
Huwa nakumbuka sana goli la Jaja dhidi ya Azam ,lilikuwa la ufundi mno! Yule Jamaainawezekana alikuwa anajua kucheza /kuchezea mpira akiwa peke yake...danadana! kama yule dada wa Trump!
Kiukweli kwa hawa wachezaji kutoka Mataifa makubwa ni kucheza patapotea!
 
Huwa nakumbuka sana goli la Jaja dhidi ya Azam ,lilikuwa la ufundi mno! Yule Jamaainawezekana alikuwa anajua kucheza /kuchezea mpira akiwa peke yake...danadana! kama yule dada wa Trump!
Kiukweli kwa hawa wachezaji kutoka Mataifa makubwa ni kucheza patapotea!
Kuna kitu Simba wamekiona huwezi kujua, tusubiri tuone
 
Huyo jamaa itakuwa ni muuza Matikiti au Kinyozi huko Brazil

Nadhani shughuli za mchezaji nje ya uwanja sio muhimu sana, cha msingi aweze kumudu majukumu yake uwanjani na kuweza kukidhi matarajio ya timu yake. Hayo mengine ni katika kujiongezea kipato na kujiimarisha zaidi kiuchumi. And for the records, CR7 anatangaza biashara ya CHUPI nje ya uwanja na hakuna aliyewahi kuhoji uwezo wake ndani ya uwanja.
 
Hapana mie ni Tout Puissant Mazembe Englebert ,hahahaha

Ila timu za Simba na Yanga nazifuatilia Sana

Sawa sawa, lakini pia hiyo haikuzuii kuipenda Simba, Yanga au timu yoyote nje ya TP si ndio ? Karibu sana unyamani kama ikikupendeza
 
Back
Top Bottom