Innocent Bashungwa amejiwekea rekodi ya kupita na kufanya kazi Wizara nyingi sana.Unafikiri sababu ni nini?

Innocent Bashungwa amejiwekea rekodi ya kupita na kufanya kazi Wizara nyingi sana.Unafikiri sababu ni nini?

Huyu alipikwa kuwa Rais lakini kwa hiyo Wizara waliyompa ndio Basi tena labda abadilishe Hali ya mambo ya wasiojulikana

Inawezekana Samia kanusa 2025 kaamua kumzika Bashungwa!!
Umewaza ki-technically haswa!

Kukabidhiwa kuongoza wizara inayonuka damu pamoja na rushwa, ndiyo kuuziwa jumba bovu kwenyewe huko waswahili wanasema!

Akifanya mabadiliko yoyote yale hata ya kukemea tu teka teka na mauaji ya raia wasio na hatia yanayoendelea, kiuhalisia 'credit' yake itapanda mara elfu na sifa ambazo hupewa za kuwa 'anafaa' zitapata mashiko.
 
Back
Top Bottom