Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #41
Tunataka kiongozi atakaeipeleka nchi mbele hata marehemu alikua siyo mwanasiasa mzuri lakini alikua ni kiongozi mzuri.Bashungwa is Good leader but is not good politician
In Africa politics you can't shine and being on top without being a politicians.✊🏿
Mtaleta hadi kuku kuongoza nchi hii! waulize karagwe wakueleza zaidi ya huyu MCHAWIHuyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu
Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
Mm kura yangu itaenda kwa biteko kama hata kengeuka. Kajamaa kako na kituBiteko?
Anayo sana lakini kama unavojua unapokua chini ya mabosi Kuna baadhi ya maamuzi huwezi kuyafanya. Nina ushuhuda wa hiki ninachokisema.Hapana..shida Hana maaumzi
tumbili kuwa kiongozi wa nchi?Mbona Wamesema 2030 ni Kafulila au kunamabadiliko?
Makonda Hana utulivu. Rais ni cheo kikubwa sana kwake anatakiwa kuwa waziri mkuu au makamu wake labda.Makonda hana hizi sifa??
Jambazi hilo.mwizi mkubwaJanuary Makamba?
Huyo hana sifa. Nape ataendeshwa na magenge ya washkaji zake badala ya maslahi ya nchi.Nape Nauye?
AnawezaMpina?
kuna shida ya ukabila na ubaguzi, ama la angefaa. ukitokea karagwe lazima uwe ccm, ama la watakutafutia nchi ya kukupeleka, hata wahaya wengi huwa hawaamini wenzao wa karagwe kama ni watz kutokana na lafudhi na lugha. ila ukweli, tunahitaji kijana tena wa kiume na tena anayetoka bara. na zamu ya waislam imeisha, anatakiwa mkristo.Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu
Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
Ushahidi hatukupi wewe! Wewe endelea tu na propaganda zako mwisho utamwona kama atakuwa rais wa TZLete ushahidi . Tunaangalia utendaji kazi wake.
Hana utulivuMwigulu?
Bado sijaonaBiteko?
Apumzike muda wake umepotea japo ana uwezo.Majaliwa?
Very weak. Haina mashiko hiiBashungwa is Good leader Ila kuna sababu moja tu intamkwamisha
“Nkoitanyi”
Britanicca
😂Mbona Wamesema 2030 ni Kafulila au kunamabadiliko?
Wala Bashungwa Hana asili ya huko labda mkewe ila hata hivyo hizi sababu hutolewa na watu wenye ufinyu wa mawazo.Hivi kwanini watanzania mnapenda kuwabagua watanzania wengine wenye asili ya Rwanda-Urundi?