Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #61
Acha wasi wasi. Samia 2025 Hana mpinzani lishapita hilo hapa tunamjadili mrithi wake ndugu Inno Bashungwa.Naona mnatuandaa kisaikolojia kwamba uchaguzi wa 2025 umeshaisha na mtia Nia Tayari ameshinda SI ndio!!?
Au mnamzubaisha Ili iweje!!?awe kwenye comfort zone halafu ghafla!!!?
Nyuzi za kafulila ,Bashungwa au mgombea Toka Kanda pendwa zinamiminika sana humu jamvini yaani Kanda ya ziwa mnawapoza mapema Ili mfanye yenu au!!?
Hii ni counter balance ya kisaikolojia nadhani!
Hamna kitu hapoBora Kafulila
Wa kumlinda ni Mungu pekee Wala siyo binadamu.Mlindeni asijesokotwa na Makatani akafungashwa nepi
Acha vitishoUshahidi hatukupi wewe! Wewe endelea tu na propaganda zako mwisho utamwona kama atakuwa rais wa TZ
TLSLISSU?
Amekupata vizuri johnthebaptist Huwa anasali Morovian 😂Yaani yeyote anayejijua sio Mkatoliki hizi ndoto aachane nazo za Urais
Yaani sisi tuongozwe na Bijwajwa MunwaHuyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu
Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😄Amekupata vizuri johnthebaptist Huwa anasali Morovian 😂
hii inasababishwa na mwigulu. pesa wanazizuia zingine wanafanyia ujinga kwaajili ya kuandaa uchaguzi wa kulinda majimbo yao. hivyo ukimulaum unamuonea tangu waziri wa fedha huyu aingie pesa hazijawawi kua na utulivu.madeni yanaongezeka na bado hela zinazokopwa hazijulikani zinakoenda.Wizara yake inachangia kwa kiasi kikubwa kusinyaa kwa sekta ya ujenzi (hasa wakandarasi wazawa) malalamiko ya wakandarasi kutolipwa toka mwaka jana ni mengi sana sasa kampuni zinajiendesha vipi kama hawalipwi na kodi watalipa vipi yeye kama waziri amekuwa kimya juu ya hili na hata halisemei. Wizara ikishirikiana na mamlaka za barabara kama Tanroads na Tarura (Tamisemi) mafungu ya mfuko wa barabara (Road fund) wameyapeleka wapi miaka yote pesa hizo huwa zinakuwepo iweje wakati huu wakandarasi walalamike malipo na wengi wamesimamishq miradi kwa kukosa fedha za kuendeshea miradi. Taasisi za fedha nao wanapiga mnada dhamana za wakandarasi waliochukua mikopo kutokana na kutolipa kwa wakati marejesho ya mikopo nafikiri waziri ana safari ndefu ya kujifunza kabla ya kumfikiria kwenye madaraka makubwa
Kuna vitisho hapo? Inaonekana hujawahi tishwa wewe!Acha vitisho
kwaninii ni 2030 na sio 2025??????Huyu kijana nimemwangalia sana na kumfuatilia sana utendaji wake wa kazi. Nadiriki kusema Tanzania baada ya Samia 2030 huyu kijana ana faa na ana sifa zote muhimu kama kiongozi wa nchi. Kwanini nasema hivyo naweka mambo machache hapa chini. Hata hivyo neno langu siyo sheria.
1. Ni mchapakazi sana na mzalendo mpenda nchi yake kutoka moyoni siyo ile ya kinafiki kama kwa baadhi ya wanasiasa.
2. Anapenda Haki
3. Ana utashi wa kuamua ( hizi character alikua nazo marehemu magu)
4. Ana utulivu
Jamani simjui hanijui ila mtaongezea najua wapo wanaomjua zaidi kuliko Mimi ila nikiulizwa Leo ni nani anafaa kuwa Rais wa Tanzania baada ya Rais Samia nitasema Ndugu Innocent Lugha Bashungwa ni the best candidate. Mungu amuongoze huyu kijana .
2025 tayari Rais anajulikana Bado tu kukamilisha. Samia Sulugu Hassan ndio Rais wako 2025 - 2030kwanini
kwaninii ni 2030 na sio 2025??????
JESUS IS LORD&SAVIOR
Bashungwa ana utulivu wa kutosha, labda mfumo umtegeshee kumpima ukabila, maana nshomile wanazo sana hizo.