Inspekta aachia Diss kali kwa Roma.. "Unajiita Mkatoliki wakati unasali kwa Gwajima?".

Bab we kawe mganga wa kienyeji tu...umri umeenda na mawazo yako mgando, au ndo unataka ukuu wa wilaya???
[emoji23] [emoji23] akisoma hii comment lazima alie...ila akubali mziki umemshinda alee wajukuu tu sasa
 

Jamaa ana mambo ya kichoko huyu...ndo maana amebaki kufanya show za mkuranga
 
Huyo kama ni mlango wa kutokea basi ni wachuma na ni wa password na aliyeweka kasahau no flash
 
insepkta anae tumia fimbo [emoji23] [emoji23]
 
Macho kama Kova
 
Msema kwel mpenzi wa mungu
Inspecta iyo ngoma umefanya bure kwenye studio miyayusho
 
Sawa ni mawazo yake Inspekta...ambaye hata IGP hamtambui...
Ila Babu amefulia jamani...songi halina viwango kabisa...kwishaaaaaaa
 

Huo ukatoliki ni sawa na ufreemason kwamba unalindwa kwa kufahamiana na kadinarli? Yupi bora, anayefahamike na yuko karibu na kadinarli au anayefanamika na yko karibu na Mungu? Ukatoliiki huo unatofauti gani na wale wajana?
 
Mi mwenyewe nashangaa tulimpa msingi wa kuuza chips Mbagala kiburugwa huku karibu na kwa kina Juma Nature hata pesa sijui ya kurekodi kaitoa wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pesa ya mtaji aliitafuna kitambo tu,

Eti nasikia siku hizi inspector ni konda wa dala dala za tegeta, boko ,bunju, bagamoyo.
 
Naona analiamsha Dude siku ya Jumapili kwa Gwajima mapemaaa[emoji126][emoji126][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…