INSYUKA ni movie bora sana kuwahi kuigizwa na wasanii wa Tanzania haina mpinzani

Ubunifu hakuna kabisa huo ndio ukweli.
Huko kuiga ni sehemu ya kuhaha tu, ukweli ni kuwa bongo movie haina platform ya kuuzia kazi, huo ndio ukweli hakuna platform, toa hela yako tengeneza filamu ya kibongo, hutaona pesa ikirejea hasa pesa ya maana,

Wameishia kutengeneza muvi kwa elfu uamsini ama laki, sasa muvi ya laki moja muvi gani hiyo, star gani anayejua kuigiza atacheza muvi hiyo

Matokeo yake maproducer wanachezesha wasanii wasiojua kuigiza.

Mastaa wote wanaigiza tamthilia siku hizi na sio muvi
 
Girlfriend na Saladini sio za Musa Banzi,Saladini nadhan ni ya July Tax wa Mwanza,Girlfriend ni ya George Tyson ila imetayarishwa na Sultan Tamba.
Hivi yule July Tax aka domo alipoteleaga wapi?
 
Umeeleza vizuri Sana mkuu
 
iLifanya nisilale miaka ile. Girlfriend as well kina TID na AY.
 
Nakumbuka tuliangaalia hii movie jion, kufika usik kila mtu anaogopa kwenda chumban kulala..! Tulilala hatujazima taa mpk asubuh 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…