International School, watoto hutafuta vitu vitatu tu

International School, watoto hutafuta vitu vitatu tu

Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Uongo mkubwa sana hujui unachokiongelea KABISA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huitaji kusoma International School tu ili kupata exposure, network n confidence. Angalia connection za wafanyabiashara wakubwa nchini na wanasiasa halafu tafuta wangapi walisoma unazoziita International Schools.
NB: Awamu ya 5 iliwainua watoto wa maskini mpaka ngazi za juu Sana. Both kisiasa na corporate eg. CEO wa benki kubwa nchini hata telcos. Wengi wamesoma Kayumba.
And what is there Ending?
 
Tutafute pesa Mkuu.
Sipondi hizo shule but alichosema ni uongo hivyo sio vitu ambavyo vinaunda pillars z mitaala kama International Baccalaureate ni moja ya mitaala migumu na bora dunia nzima,, hata USA wanaosoma mitaala hii ni Watt talented na madoni,,,, na huo mtaala ndio unafundishwa hapo IST
Mtt anaingia Kuchukua IB diploma huo muda wa kusafiri anatoa wapi wakat hata weekend wanasoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Hyo ya confidence hebu nenda kanye kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Jambo la msingi sana ni Mzazi kumjenga Mtoto inaitwa GROOMING.

If you groom them well at home, make them highly competitive, they will excel no matter which school they attend, no matter what they do. Evidence imejaa kwenye jamii ya Wapemba.

Pata muda ufanye utafiti kuhusu jamii ya Wapemba, utajua mengi ya maana.
 
Watu wengi wakisikia International School Ada ni million 40 wanawaza sasa hawa watoto watafanya kazi gani ili i pay back.

Hizi shule ukichunguza sana hata ufundishaji wao utagundua utofauti, hata likizo zao huwa ni ndefu sana, Summer Holday zao ni ndefu Balaaa.

Hizi Shule Watoto sana sana wanatoka na vitu vikuu Vitatu.

1. Exposure, kuna Exposure ya kutosha hapa, kwa sababu ya safari zao nyingi sana zisip isha, na huwa wana Ziara mbali mbali nyingi tu hasa nje ya nchi, na huwa wana mashindano yao pia ya hizi International Schook, huko kote mtoto anapata Exposure ya kutosha kabisa ya kuja kuitumia baadae.

2. Networking, Hii ndo Faida kubwa nazani kuliko zote ya hizi shule, Hizi shule unakuta kuna watoto wa wafanya Biashara wakubwa kabisa, watoto wa Viongozi wakubwa wa ndani na nje ya nchi, hapa kuna network huwa inatengenezwa, hizi huja kuwadaidia baada ya kumaliza masomo yao na kuingia mtaani, hawa kwa sababu wametokea Familia za kitajiri huwa kutupana kufungiana vioo, kuoneana wivu havipo kabisa.

3. Confidence, ukija kwenye Swala la Confidence mtoto wa primary kwenye International School anamzidi mbali mno kwa confidence mtu anaye chukua Masters yake pale UD au kokote kule, Vijana wana confidence acha kabisa na hii inachagizwa pia na aina ya ufundishaji na pia zile Exposure na kadhalika.

Hivyo vitu vitatu ndio sana vinatafutwa kwenye hizo shule na wala sio ajira ingawa pia wapo wanao ajiriwa.

Ukiona mtoto kasoma hizo shule na kashindwa maisha basi ana matatizo mengine, lakini kwa walio serious kutoka huwa ni rahisi sana.

Wewe unasoma na Mtoto wa Leopard Tours, au mtoto wa MO au Mtoto Marehemu Mengi, au una soma na Mtoto wa Waziri fulani au Mtoto wa Mfanya biashara mkubwa kule Kenya au Uganda au Rwanda, unaweza vipi kushindwa maisha?
Connection,network na exposure!

Primary...ada mil.40×miaka7= mil.280.

Secondary...ada mil.40×miaka 4 au 6=240.

Total...mil.520 na bado matumizi mengine,na bado chekechea it's over ahalf billion!

Kwa hela hiyo mtoto hana haja ya kusoma shule hizo maana exposure,connection na net working vinakuja tu automatic,km ni holiday za nje ya nchi you can afford. Friends will come automatically.

MONEY HAS A SMELL TO ATTRACT CONNECTION,NETWORK(FRIENDS) AND EXPOSURE.
 
Mkuu mimi nimesoma shule hizi unazoziiya za international lakini bado nakula msoto mtaani na hakuna chochote nilicho ambulia zaidi ya chai ya maziwa na mayai ya kuchemsha tulokuwa tukipewa asubuhi
 
Kibatala na Mo.dewji Nani ana confidence kuliko mwingine?
 
Hao watoto wako masikini ndio wataliwa kiboga kwa vidola 100 tu. Jivunie tu umasikini wako. Propaganda yako haitosaidia kitu. CCM walisema TL ni shoga, kwani ilimfanya shoga kweli?
Punguza Jazba, pengine ana ushahidi.
 
Nchi hii tulikosa bahati Rais wa kwanza alitakiwa awe mchaga,tayari walikuwa tayari wana exposure ya kutosha wakati huo mbona tungetusua maisha tu,ona wenzetu kenya walivyobahatika ,nawatania tu mwayego msinitoboe macho.
Bora umesema ni utani tu nilisha andaa RPG kusambaratisha kichwa chako na si kutoboa jicho.
 
Back
Top Bottom