Internet ya bure imeharibu betri ya simu yangu

Internet ya bure imeharibu betri ya simu yangu

Mtego kivipi [emoji1787]kama ni kuhusu kutumia net bure ni kweli hata mimi natumia bure net hata hata sasa hivi sina bando ila nipo JF
Sever gani unakimbia vizuri kwa thunderstorm ⛈️ Vpn ?
 
Simu yako imepata ajali tu ya kawaida
Mkuu, jaribu kutumia hizo app effectively ndani ya wiki mbili, tena wire tun inaingia hadi YouTube (Server: German2, US4, Canada2), baada ya wiki na nusu urudi hapa tuomboleze kwa pamoja!
Mimi natumia free data kwa vpn miezi 8 sasa tena bila shida yoyote wewe simu yako mbovu kwa sababu hizo app zinapokea data polepole na kutuma polepole ...wewe
 
Mimi nikiweka vpn video zote nilizodownload youtube aziplay
 
Hello wanajamii forums,

Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c

Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh. Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo! Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
Lipia tangazo
 
Sever gani unakimbia vizuri kwa thunderstorm [emoji3547] Vpn ?
Kwani thunder vpn ndiyo hiyo thunderstorm unayo sema ....mimi naset simu yangu vizuri isiendeshe data za nyuma...isipokuwa ninayo tumia tu, kwa sababu hizo app zinasukuma data polepole hivyo kama ukuseti simu yako vizuri inakuwa nzito
 
Watupe tu kwakweli mana bundle zinatufilisi.
Ila sasa kama ndio inaharibu betri mimi na Infinix yangu nitakoma.
Kwa science hamna uhusiano. Labda kama battery yenyewe haikuwa nzuri tu.
 
Joto ni adui mkubwa nambari moja wa lithium battery

Kama ilikuwa inachemka sana labda ni tatizo

Na kwann ichemke ikitumia hizo app? Ni simu aina gani hio..yenye 6000mah bila shaka ni kutoka wanzuu

Maana brand nyingi kwa sasa hazina hio zina 4000 to 5000
 
Ngoja nitoe ushuhuda..

Kipindi flani hivi kulikuwa na Vitonga viwili(kabla havijapigwa pini) nilikuwa nakimbiza balaa masaa 24 kama nimeweka bando bila kukwamakwama ila nilichogundua ni kweli Vpn zinaharibu betri kwani betri chaji inaisha chap nikiperuzi kwa Vpn tofauti na Data ya kawaida kama una simu bomu tegemea betri kuisha haraka sana.

Baada ya kupigwa Pin Vpn ninazo tegemea na kurudi uraiani nimeona mabadiliko kidogo kwenye simu kwenye kukaa na chaji tofauti na zamani japo mimi mwenyewe nina matumizi mengi ila Vpn inalichangia kea kiasi fulani japo sio kwa kiwango kama kikubwa kama uzi ulivyoeleza.
 
Hello wanajamii forums,

Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c

Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh. Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo! Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
WTF! Are you serious?!
 
Kwani thunder vpn ndiyo hiyo thunderstorm unayo sema ....mimi naset simu yangu vizuri isiendeshe data za nyuma...isipokuwa ninayo tumia tu, kwa sababu hizo app zinasukuma data polepole hivyo kama ukuseti simu yako vizuri inakuwa nzito
Ndio hii hapa
Screenshot_20220820_101944.jpg
 
Hello wanajamii forums,

Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c

Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh. Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo! Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
kosa ni kuweka kwenye friji
 
Mbona mimi ninatoa maelezo kila siku hata hapa nipo JF BILA YA BANDO ...TUMIA "THUNDER VPN" ila uwe na raini ya halotel basi utapata intanet bure utatumia ...mimi natumia JF ,TWEET, FACEBOOK, ISTAGRAMU, WHATSAPP, YOUTUBE , GOOGLE BURE SIKU ZOTE ..ILA INAKUWA SLOW KIDOGO

Ukisha download thunder vpn unafanya nini kingine? Hamna setup labda?
Hamna kama hauna bando washa data connect ikija kifunguo we nenda zako wasap
 
Back
Top Bottom