adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Sever gani unakimbia vizuri kwa thunderstorm ⛈️ Vpn ?Mtego kivipi [emoji1787]kama ni kuhusu kutumia net bure ni kweli hata mimi natumia bure net hata hata sasa hivi sina bando ila nipo JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sever gani unakimbia vizuri kwa thunderstorm ⛈️ Vpn ?Mtego kivipi [emoji1787]kama ni kuhusu kutumia net bure ni kweli hata mimi natumia bure net hata hata sasa hivi sina bando ila nipo JF
Mimi natumia free data kwa vpn miezi 8 sasa tena bila shida yoyote wewe simu yako mbovu kwa sababu hizo app zinapokea data polepole na kutuma polepole ...weweMkuu, jaribu kutumia hizo app effectively ndani ya wiki mbili, tena wire tun inaingia hadi YouTube (Server: German2, US4, Canada2), baada ya wiki na nusu urudi hapa tuomboleze kwa pamoja!
Lipia tangazoHello wanajamii forums,
Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c
Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh. Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo! Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
Kwani thunder vpn ndiyo hiyo thunderstorm unayo sema ....mimi naset simu yangu vizuri isiendeshe data za nyuma...isipokuwa ninayo tumia tu, kwa sababu hizo app zinasukuma data polepole hivyo kama ukuseti simu yako vizuri inakuwa nzitoSever gani unakimbia vizuri kwa thunderstorm [emoji3547] Vpn ?
Kwa science hamna uhusiano. Labda kama battery yenyewe haikuwa nzuri tu.Watupe tu kwakweli mana bundle zinatufilisi.
Ila sasa kama ndio inaharibu betri mimi na Infinix yangu nitakoma.
Mkuu naomba shule nifanyeje niwe napata bundle mserereko tafadhali sana.Mimi natumia bando bure natumia hizo app hapa sina bando acheni ubishi nikweli 100% mm mwenyewe nimesha acha kuweka mabando siku nyingi.
WTF! Are you serious?!Hello wanajamii forums,
Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c
Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh. Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo! Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
Ndio hii hapaKwani thunder vpn ndiyo hiyo thunderstorm unayo sema ....mimi naset simu yangu vizuri isiendeshe data za nyuma...isipokuwa ninayo tumia tu, kwa sababu hizo app zinasukuma data polepole hivyo kama ukuseti simu yako vizuri inakuwa nzito
Ukisha download thunder vpn unafanya nini kingine? Hamna setup labda?Mimi natumia bando bure natumia hizo app hapa sina bando acheni ubishi nikweli 100% mm mwenyewe nimesha acha kuweka mabando siku nyingi.
Mbona simpo tu download thunder vpn kisha iwashe basi ila uwe na rain ya halotelMkuu naomba shule nifanyeje niwe napata bundle mserereko tafadhali sana.
kosa ni kuweka kwenye frijiHello wanajamii forums,
Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c
Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh. Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo! Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
Nimezima data voda nimetest thunder vpn now ngoma imekubali kuanzia sasa nikiweka bando bila sababu za msingi mniite paka.Ndio hii hapaView attachment 2329122
Mbona mimi ninatoa maelezo kila siku hata hapa nipo JF BILA YA BANDO ...TUMIA "THUNDER VPN" ila uwe na raini ya halotel basi utapata intanet bure utatumia ...mimi natumia JF ,TWEET, FACEBOOK, ISTAGRAMU, WHATSAPP, YOUTUBE , GOOGLE BURE SIKU ZOTE ..ILA INAKUWA SLOW KIDOGO
Hamna kama hauna bando washa data connect ikija kifunguo we nenda zako wasapUkisha download thunder vpn unafanya nini kingine? Hamna setup labda?
Mkuu imekubali kwa line ya Voda?Nimezima data voda nimetest thunder vpn now ngoma imekubali kuanzia sasa nikiweka bando bila sababu za msingi mniite paka.
Kwangu haikubali bila kuwasha dataNimezima data voda nimetest thunder vpn now ngoma imekubali kuanzia sasa nikiweka bando bila sababu za msingi mniite paka.