adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Halotel mkuu,voda wako makini hakuna mianya ya VpN.Mkuu imekubali kwa line ya Voda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halotel mkuu,voda wako makini hakuna mianya ya VpN.Mkuu imekubali kwa line ya Voda?
Tatizo lenu ni kuto kuset simu vizuri vpn ipo kama 2g tu hakuna uhusiano wowote na kuchemka simu wala kufa betri na sababu tunazijuaNgoja nitoe ushuhuda..
Kipindi flani hivi kulikuwa na Vitonga viwili(kabla havijapigwa pini) nilikuwa nakimbiza balaa masaa 24 kama nimeweka bando bila kukwamakwama ila nilichogundua ni kweli Vpn zinaharibu betri kwani betri chaji inaisha chap nikiperuzi kwa Vpn tofauti na Data ya kawaida kama una simu bomu tegemea betri kuisha haraka sana.
Baada ya kupigwa Pin Vpn ninazo tegemea na kurudi uraiani nimeona mabadiliko kidogo kwenye simu kwenye kukaa na chaji tofauti na zamani japo mimi mwenyewe nina matumizi mengi ila Vpn inalichangia kea kiasi fulani japo sio kwa kiwango kama kikubwa kama uzi ulivyoeleza.
Hata mimi inanishangaza sana how application can relate with suchHii inawezekana vipi wataalamu akina CHIEF MKWAWA au unataka hiyo free internet uitumie wewe peke ndio maana unawatisha wenye viinfinix
Mkuu imekubali kwa line ya VodaNimezima data voda nimetest thunder vpn now ngoma imekubali kuanzia sasa nikiweka bando bila sababu za msingi mniite paka.
Dah sasa mie halotel sinaHalotel mkuu,voda wako makini hakuna mianya ya VpN.
😂😂 Tulia tu kama mwenzako hapa, vya bure gharama.Watupe tu kwakweli mana bundle zinatufilisi.
Ila sasa kama ndio inaharibu betri mimi na Infinix yangu nitakoma.
Soma alicho sema ...kasema kazima data voda maana yake raini yake ya voda ndiyo ilikuwa na data...hivyo akazima data voda na kuwasha halotel data ka hivo vpn ndiyo ikakubaliMkuu imekubali kwa line ya Voda?
Ntaijaribia kwa simu ya mama watoto nikirudi jioni, mi sina halotel kwa sasa.Soma alicho sema ...kasema kazima data voda maana yake raini yake ya voda ndiyo ilikuwa na data...hivyo akazima data voda na kuwasha halotel data ka hivo vpn ndiyo ikakubali
Tafuta lain ya TTCL, ingia playstore, download Wire Tun, baada ya hapo, hakikisha laini yako imeisha bando au haina bando kabisa, washa data hivyo hivyo! kisha fungua app ya wire turn, chini ya app kuna bar imeandikwa server list, bofya hapo, chagua moja kati ya server hizi Canada2, US 4, UK2, France2 lakini hiyo server ya kwanza na ya pili ni nzuri zaidi! Ikiwa inafika mida ya saa 10 jioni hadi saa 4 usiku utaingia YouTube, tiktok, likee, tsapp na instagram! Muda mwingine tumia kwenye facebook, tsapp, jamiiforums, Quora na chrome!Wewe ulicho takiwa kutuambia ni kati ya hizo huduma ulizo tumia ni ipi inafanya vizuri zaidi hapo tungekuona una akili timamu .....pia ulitakiwa kuwajulisha wana JF kuhusu hizo huduma ili nao wazijue na kuzitumia kisha walete mrejesho wa kuchemka simu hapo ungekuwa umepata hakika ya sababu ya simu yako kuchemka na kutokukaa na chaji
Sasa itakubali vipi bila ya kuwasha data [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]data ni tofauti na bando ...washa data bila ya bando kisha washa vpn ..ngoma inakonectiKwangu haikubali bila kuwasha data
Mnapenda vya bure nyie watu!Hello wanajamii forums,
Ni wiki kama mbili sasa tokea kutumia zile apps za wire tun, Thor VPN na HA Tunnel zinazotoa huduma ya free internet kutoka servers za mbali kama vile UK, US, German e.t.c
Simu yangu iliyotoka kiwandani ikiwa na 6000 mAh, ambayo ilimaliza siku 3 pasipo kuchajiwa kwa matumizi ya kawaida pasi na kuwasha data, au masaa 40 kama nitaacha data on! Sasa imegeuka nahisi si zaidi ya 1400 mAh. Mwanzoni wakati naanza kutumia hizo huduma, simu ilichemka kuliko kawaida, kuna wakati niliiweka kwenye friji ili ipunguze joto, maake nilihisi ingelilipuka. Nimetumia kwa muda sasa kiasi kwamba simu ilichukua masaa sita tu kuwa na chaji. Ndipo nilipoamua kufuta app hizo! Mbali na kuchukua hatua hiyo, simu yangu inatunza chaji kwa muda wa masaa nane tu, niwashe data, nisiwashe data, niitumie, iwe screen off, niizime, nisiizime! Haya yote yamekuwa bure! Masaa nane tu ndio yaliyobaki kuniweka hewani! Vya bure vimeniponza!
Labda hizo vpn zenu ni za spy zina chukua vitu kwenye simu na kuvipeleka kwa mabepariNiliwahi ku comment humu! Simu inachemka balaa ukitumia VPN , halafu chaji inaisha fasta.sasa hiyo hali ikiwa kila siku lazima betri libabuke.
Ngoja aje chief mkwawa atupe maarifa zaidi.View attachment 2329125
simu yenyewe ya aina gani
kama ni tecno na ndugu zake hizo ni kalkuleta za watoto china
Mkuu, jaribu kuwauliza google kuwa infinix hot 10i zina uwezo upi kwenye battery, ukikuta ni 6000 mAh rudi hapa uweke like, kisha upita kimyakimya wanaozijua simu wasije kukucheka!Joto ni adui mkubwa nambari moja wa lithium battery
Kama ilikuwa inachemka sana labda ni tatizo
Na kwann ichemke ikitumia hizo app? Ni simu aina gani hio..yenye 6000mah bila shaka ni kutoka wanzuu
Maana brand nyingi kwa sasa hazina hio zina 4000 to 5000