Alichoka shule maana route nlokua nakaa wao ndo wa kwanza kufwatwa na wa mwisho kuletwa sasa naona ule uchovu akaona awe anaumwa kila siku asubuhi, yani analegea kabisa mpka unaahirisha kwenda kazini umpeleke hsptl, ila kwa sasa nimeamia oengin walau wapo karibu na shule hawachoki sanamaskini...kg 3 alikua anaumwa?.
Kama ulikubali mwanao afanye mtihani, wewe na wao hamna tofauti ni pipa na mfunikoHuu upuuzi hata mm niliuona Dodoma, binafsi sikuelewa kabisa maana yake, tena hawa wanampanna mtihani kabisa wa hesabu [emoji174] sasa unajiuliza mtoto wa nursery anayejua vyote hiv si aende la kwanza tu ?
Binafsi naona ni mateso kwa wazazi
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Na ukakubali afanye interview? Kwamba shule ipo moja tu? Ni lazima asome hapo?Mimi nina mwanangu ana miaka 4 alikuwa hajaanza shule kwa kweli maana nilikuwa namuona kama ni mdogo sana bado.
Sasa, sasahivi ndo naona angalau kamekua kidogo, hivo nimeona ni busara aanze rasmi shule.
Ila juzi kati hapa kuna shule ya Nusery ipo karibu na ninapoishi, so nilienda kwa lengo la kumtafutia nafasi ili aanze shule.
Kinyume na fikra zangu kwamba mambo yatakuwa straight forward, ila nimeshangazwa sana baada ya kuambiwa hapa hawapokei mtoto asiyejua kusoma na kuandika, na kwamba eti kabla ya kuingia huwa wanatakiwa wafaulu interview.
Akaendelea kuniambia kwamba, hata kama ni mtoto wa miaka 3. Lazima ajue kusoma na kuandika ndo aingie hapo.
Kwa kweli hapa nimejikuta nipo kwenye hali ya kushangazwa sana na hichi kitu. Yaani naona kabisa hizi ni complication ambazo hazina msingi.
Halafu naona kabisa hawa watoto wadogo wa miaka mitatu wanaolazimishwa kujua kusoma na kuandika, hichi kitu kitakuja kuwaathiri sana miaka ya baadae. Sijui huu utamaduni wa kishenzi umetoka wapi, yaani mtoto wa miaka mitatu au minne, eti humtaki kisa hajui kusoma na kuandika.
Hivi no halali kweli hii issue? Au ni jamii yetu inazidi kupotoka
Afadhali ni kazi sana...mimi kuna huyu wa 3yrs nikiona amechelwa kulala kesho haendi shule ni mm mwenyewe naamua tuu namwacha alale sitaki kumtesa mtoto...kuna kipindi niliona ameenza kudorora afya yake nikamwacha siku 3 nyumbani nikampiga menu nzuri angalau...mimi si take serious sana shule ya hawa kindergaten..aende haya siku asipoenda haya..Alichoka shule maana route nlokua nakaa wao ndo wa kwanza kufwatwa na wa mwisho kuletwa sasa naona ule uchovu akaona awe anaumwa kila siku asubuhi, yani analegea kabisa mpka unaahirisha kwenda kazini umpeleke hsptl, ila kwa sasa nimeamia oengin walau wapo karibu na shule hawachoki sana
Yeah, binafsi hadi 4yrs ndio madogo wanaenda shule. Hizi mambo za kupeleka watoto shule wakiwa na miaka miwili sio hata kidogo.Mtoto anatakiwa aanze nursery na huo umri, ndio aanze baby class
Akaendelea kuniambia kwamba, hata kama ni mtoto wa miaka 3. Lazima ajue kusoma na kuandika ndo aingie hapo.[emoji23] hakuna shule hapoMimi nina mwanangu ana miaka 4 alikuwa hajaanza shule kwa kweli maana nilikuwa namuona kama ni mdogo sana bado.
Sasa, sasahivi ndo naona angalau kamekua kidogo, hivo nimeona ni busara aanze rasmi shule.
Ila juzi kati hapa kuna shule ya Nusery ipo karibu na ninapoishi, so nilienda kwa lengo la kumtafutia nafasi ili aanze shule.
Kinyume na fikra zangu kwamba mambo yatakuwa straight forward, ila nimeshangazwa sana baada ya kuambiwa hapa hawapokei mtoto asiyejua kusoma na kuandika, na kwamba eti kabla ya kuingia huwa wanatakiwa wafaulu interview.
Akaendelea kuniambia kwamba, hata kama ni mtoto wa miaka 3. Lazima ajue kusoma na kuandika ndo aingie hapo.
Kwa kweli hapa nimejikuta nipo kwenye hali ya kushangazwa sana na hichi kitu. Yaani naona kabisa hizi ni complication ambazo hazina msingi.
Halafu naona kabisa hawa watoto wadogo wa miaka mitatu wanaolazimishwa kujua kusoma na kuandika, hichi kitu kitakuja kuwaathiri sana miaka ya baadae. Sijui huu utamaduni wa kishenzi umetoka wapi, yaani mtoto wa miaka mitatu au minne, eti humtaki kisa hajui kusoma na kuandika.
Hivi no halali kweli hii issue? Au ni jamii yetu inazidi kupotoka
Mie wa kwangu mpka above 5+yrs kabisa.kusoma sio uhai kikubwa koneksheni. Kuna watu Wana vyeti feki ama chawa wanaongoza wilaya na wenye PhD zao na mpaka maprofesa wanaishi kwa shida.Afadhali ni kazi sana...mimi kuna huyu wa 3yrs nikiona amechelwa kulala kesho haendi shule ni mm mwenyewe naamua tuu namwacha alale sitaki kumtesa mtoto...kuna kipindi niliona ameenza kudorora afya yake nikamwacha siku 3 nyumbani nikampiga menu nzuri angalau...mimi si take serious sana shule ya hawa kindergaten..aende haya siku asipoenda haya..
Ila maswali kama jina la baba la mama la mtoto mwenyewe ni maswali ya msingi tu....ila huko kujua kusoma na kuandika wamezidi hiyo hapanaila inaonekana hakuna namna inabidi na sisi tuone ni sawa tu. ilimradi watoto wetu wasome. dah! aisee
Miaka 10sasa hivi mtoto wetu ana umli gani?
Miaka 3 wakati huo....Mwanao alikuwa na miaka mingap
inabidi tuongeze wengine.Miaka 10
Kwahiyo dogo kaingia au wamemkataa
Kama wa kwangu 4yrs.Yeah, binafsi hadi 4yrs ndio madogo wanaenda shule. Hizi mambo za kupeleka watoto shule wakiwa na miaka miwili sio hata kidogo.
Mie naomba tu ufafanuzi wa hizo stockMie wa kwangu mpka above 5+yrs kabisa.kusoma sio uhai kikubwa koneksheni. Kuna watu Wana vyeti feki ama chawa wanaongoza wilaya na wenye PhD zao na mpaka maprofesa wanaishi kwa shida.
Ama sure isn't everything,yaani asome kisela tu. Diploma ukijumlisha akiwa na akili ya kitaa ama emotional intelligence nadhani ata survive vizuri hapa duniani. Pia na English amwage Kama cherehani ya kudarizi , financial literacy awe nayo ya kutosha na hii anaipata home.
Unamnunulia share za stocks za Tesla,Amazon,apple ,usa30, dax40 nadhani Ni elimu tosha. Yaani elimu watu wanayoipata mtandaoni inazidi ya darasani .yaani kikubwa ajue uwekezaji ama Kama ana kipaji akiendeleze na sio kukomalia apate mavyeti utadhani ndio Kinga ya maisha.
Kuna watu wanamaliza havard school of business wanakuja kujifunza biashara YouTube na vitabu vya akina Graham of value investor na masela wengine ambao Ni ma hasla kitaa so Wana knowledge kubwa sema kisa haipo formally Kama ya maprofesa Basi wanakuwa wanaonekana Kama hawana la ajabu Sana.
Kuna profesa anafundisha trading ana investment Ila ukimwambia trade ama invest hii $100000 tafuta 20% annually hawezi kazi kuongea na maneno hayana gharama kuyaongea .
Ndio akili yangu Karibuni wenye matusi,kupinga,kuunga juhudi mkono
Mkuu information zote unazo kiganjani mwakoMie naomba tu ufafanuzi wa hizo stock
Ukitaka wapongaji wasubiri wale wa kataa ndoa[emoji1][emoji16][emoji16]
Hukumpeleka baby class mkuu. Kuna nyingine hawapokei kama kavuka miaka 3Mimi nina mwanangu ana miaka 4 alikuwa hajaanza shule kwa kweli maana nilikuwa namuona kama ni mdogo sana bado.
Sasa, sasahivi ndo naona angalau kamekua kidogo, hivo nimeona ni busara aanze rasmi shule.
Ila juzi kati hapa kuna shule ya Nusery ipo karibu na ninapoishi, so nilienda kwa lengo la kumtafutia nafasi ili aanze shule.
Kinyume na fikra zangu kwamba mambo yatakuwa straight forward, ila nimeshangazwa sana baada ya kuambiwa hapa hawapokei mtoto asiyejua kusoma na kuandika, na kwamba eti kabla ya kuingia huwa wanatakiwa wafaulu interview.
Akaendelea kuniambia kwamba, hata kama ni mtoto wa miaka 3. Lazima ajue kusoma na kuandika ndo aingie hapo.
Kwa kweli hapa nimejikuta nipo kwenye hali ya kushangazwa sana na hichi kitu. Yaani naona kabisa hizi ni complication ambazo hazina msingi.
Halafu naona kabisa hawa watoto wadogo wa miaka mitatu wanaolazimishwa kujua kusoma na kuandika, hichi kitu kitakuja kuwaathiri sana miaka ya baadae. Sijui huu utamaduni wa kishenzi umetoka wapi, yaani mtoto wa miaka mitatu au minne, eti humtaki kisa hajui kusoma na kuandika.
Hivi no halali kweli hii issue? Au ni jamii yetu inazidi kupotoka