Interview kwa watoto wanaoingia Nusery School ni haki kweli?

Nakumbuka hili... Wakati mwanangu anaanza Baby Class .... Tulikuwa wazazi zaidi ya 500+.... Walikuwa wanataka wanafunzi 80 pekee. Nilishangaa Sana😅
Haaaah...hao watakuwa vipanga wa seminary
 
Kwahiyo wanamaanisha huyo mtoto alitakiwa ajue kusoma na kuandika akiwa tumboni au? 😅😅😅
 
Aiseee, hii ni kali mkuu.
 
Kiukweli sio haki Sasa miak minne kusoma alijifunzia wapi na yeye kazi yake itakuwa nn km anatak mtoto anaejua kusoma tayari
 
Unaogopa nini? Kama hawezi hata kuongea vizuri? Kama ana matatizo ya kiakili? Nk
 
Mimi nimeanza kujielewa nikiwa darasa la 2.
Kuna njemba ilikua inakimbiza wilaya nzima yenyewe imeanza kushine darasa la 4, huko nyuma alikua hata hajui shule anakuja kufanya nini.

Mwingine huyu ye kaanza kujielewa na kufaulu darasa la 6.
Sometimes watu hubadilika kadri muda unavyokwenda japo wengine ndo hawabadiliki.
 
Na wewe mzazi sio mbaya ukajifunza kuandika Kiswahili fasaha.
Hakuna neno "hichi" kwenye lugha adhimu ya Kiswahili.
Omba nawe nafasi hapo nursery school ufundishwe lugha.

Elimu haina mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…