Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Umeona lkn Rais alichozungumza kuhusu miradi na fedha zake? Point ndio hiyo amesema ni mikopo kutoka nje ya wafadhil!! Basi tufanye hivi... Awamu ya tano miradi yote mikubwa iliendeshwa kwa fedha za ndani!! Over!!Kwani kila pesa ya mkopo ni pesa ya nje, kama tulikopeshwa na Makampuni ya ndani je? Kwani lile daraja pale Kigamboni si limetumia pesa za ndani ambazo ni mkopo kutoka Mfuko wa Hifadhi ya Jamii? Huenda wewe ndiye unayekaza fuvu kuliko huyo unayemshutumu.