Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] yani Mimi nmefurahi Sana'a maana huyo domo anataka kujifanya mungu MTU
 
Mbona kiba anatukanwa sana tu jamani!!
 
Mbona kiba anatukanwa sana tu jamani!!
Yeah ata Mimi nimetolea mfano Diamond na kiba wanavyotukanwa inaogopesha wasanii wengi wachanga au wa level ya kati kujaribu kwenda international zaidi coz mainternational wa mfano kila wakikosea point moja wanatukanwa matusi laki. Inadissapoint sana
 
Poleni jamani leo Ommy amewaacha uchi mliandaa matusi cha kushangaza Ommy amewaua very softly [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ushahidi wa hayo wana ujua wenyewe, na Diamond akiongea mtasema Nani mkweli?
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] yani Mimi nmefurahi Sana'a maana huyo domo anataka kujifanya mungu MTU
Sema utakuwa unamtazam vibaya tu lkn ni mtu poa tu kwa watu wengi
 
ndo ujiuulize sasa, rich mavoco Jana alikuwa XXL leo kashafika Marekani ana show.. Dunia kijiji leo diamond kapokelewa kwenye kisiwa cha mayote kama president.. Wengine bado wanasubili show za masasi.
 
Kaka kaiba idea ipi. Ni ile ya kumtumia mzee wa saxofone? I bet no. Ommy D sio wa kwanza kumtumia yule mzee.
Sasa pale alipomwambia kuwa ataenda kwa huyo mzee kwanini mond asiseme kuwa na yeye ana the same idea alichofanya akanyatia akakutwa anafanya kilekile alichosema mwenzake jana yake.
Haya ommy kumshirikisha best yake kuwa ameongea na Davido amekubali colabo kwa dollar 3000 badala hata aseme kuwa na yeye ana the same idea yeye mond akaenda kumzunguka mwenzake akapanda dau akampa davido dollar 5000 wakafanya colabo.
Anatofauti gani na mchawi hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…