Katika hilo ndo nimeprove kwamba jamaa ana akili ndogo kweli, mbona watu wenye roho mbaya, wanaocheza dili haramu na michezo michafu ndo wenye mafanikio makubwa siku zote??Leo naona ommy kawatuliza wote, diamond lazma ajue kuwa mafanikio sio kigezo cha mtu kywa mtakatifu, mungu wetu habagui hta kidogo, kwake ss sote tuko sawa licha ya kuwa waovu au wasafi. na hutoa rizk kwa yeyote yule, ingekuwa hivyo wale walokole/waislam safi wote wangekuwa matajiri.
Huyu meneja Sallam ana p.h.d ya unafiki na uchonganishi na ndiyo mtu anayeshiriki kumponza Diamond.huko twitani bwana meneja nae yu matatani [emoji23][emoji23][emoji23]...hii wiki itakua tam sana [emoji23]....hivi BCW wanakulaga nini
Mbona alifuta km hamna ubayaMbona leo mnaloo!! Hapo kibaya kiko wapi!! Mlivyokazana na madesa yenu ambayo hata hayahusiki ndio mnazidi kutia huruma.
Pole, kampepee boss ohooo!!!
Mkuu tafuta shimo la choo ukaporomoshe mitusi yote uliyoandaa kwajili ya ommy coz amewa-outsmart mmebaki mmetepweta.Busara gani? Ameongea kwa kujibembeleza na kutafuta huruma,NYIE NI HATERS,HATERS,HATERS NA HAMTOFANIKIWA KUMCHUKIA MWANAUME MWENZENU,CHUKI ZA KIMASKINI.
Haina maana tena vipi mbona joh makini kafanya collabo n davido vitu vingine kaongea havina fact hapo ommy katudaganya tuje kwa iyanga ile ngoma ya diamond ft iyanya bumbum ommy nae c alitokea kwny video sasa alimzuguka vipi yeye kwnd kufanya kazi n iyanyaInakua haina maana tena.
Sikiliza hiyo interview Ommy amenyoosha maelezo.Kuna kitu hakipo sahihi.mbona upande mwengine huyo huyo kawanyanyua wasanii wengine.dully sykes video yake kafanyiwa bure na diamond.ravy alikiona kipaji chake akamchukua .harmonize na yeye bongo starch alitolewa ila hakuimba vizuri diamond akamuamini akamchukua.isije ikawa kila mtu akaamua tu kujitetea kwa upande wake. muda mrefu hawako pamoja ommy na diamond.iweje yaibuke sasa?
HaterMkuu tafuta shimo la choo ukaporomoshe mitusi yote uliyoandaa kwajili ya ommy coz amewa-outsmart mmebaki mmetepweta.
We ulitakaje labda??Mbona alifuta km hamna ubaya
Je wajua [HASHTAG]#simba[/HASHTAG] [HASHTAG]#diamond[/HASHTAG]
Tena wanatafuta haki zao in public na support all over the world.Ushoga siku hizi unaeleweka,
Ila kumlala mama ako mzazi Dunia nzima itakushangaa!
Nakuzawadia dedication #Kajiandae#Sawa Ommy amejua kuondoka na kijiji leo. Basi nigawie namm furaha kidogo sio mbaya
We una utajiri gani? Diamond siyo maskini,hana shida kama wewe KUSHINDA mitandaoni kumchafua ili aonekane mbaya ashuke kimuziki,ridhiki ya mtu anapanga Mungu hata uombe vipi mabaya huwezi mshusha kwa maneno,MNAMCHOKOZA AKIWAJIBU MNAKIMBILIA KUMUITA MASKINI,MARA MSWAHILI,GET THE https://jamii.app/JFUserGuide UP BOY,GET LIFE MOTHER..FUCKER.Tatizo la maskini (waswahili) mkiambiwa ukweli mnadai chuki... kila mtu kabarikiwa kwa namna yake ndo maana kila mtu ana kipaji na talanta yake, Diamond ana upepo wa mashabiki Ommy Dimpoz ana hekima ingawa wote wana kipaji cha uimbaji.. alipandishwa na watu na atashushwa na watu!! Usiseme hakuna wa kumshusha... mifano anuwai iko mingi tu kuanzia kwenye vitabu vya dini na kwenye maisha. Wenye chuki ni nyie ambao hamumwambii ukweli hata akikosea mmnasifia tuu...
Tafakari hekima hizi za wahenga
Maskini akipata ............
Ngoma ikivuma sana..........
Mgema akisifiwa ............
Hakuna Marefu...........
Yaniiiiiii Ali Kiba fundi sana.Yaani umenifanya nikumbuke ile chorus, boonge la chorus yaani.
Joh anafanya Rap music, tofauti na mond na ommy both wanaimba.Haina maana tena vipi mbona joh makini kafanya collabo n davido vitu vingine kaongea havina fact hapo ommy katudaganya tuje kwa iyanga ile ngoma ya diamond ft iyanya bumbum ommy nae c alitokea kwny video sasa alimzuguka vipi yeye kwnd kufanya kazi n iyanya
Tena wanatafuta haki zao in public na support all over the world.
Ila si ishu ya kutembea na mama mzazi [emoji16] imekaa vibaya hiyoooo
Kunani tena huko?Hii ni mpya kwangu.huko twitani bwana meneja nae yu matatani [emoji23][emoji23][emoji23]...hii wiki itakua tam sana [emoji23]....hivi BCW wanakulaga nini
Mkuu umekitonesha kidonda changu kilichoanza kupona kuhusu Ommy alivyomchunia Kiba aliporejea.lakini kwani diamond hakujua kama ommy na kiba washikaji? wimbo wa ommy wa kwanza chorus si kaimba kiba.
Sasa kama ni hivyo kwanini diamond alimaindi ommy alipotoa video ya wnjela bila kumwambia?
Asingemaindi naye angechukulia biashara tu.
Na ni kweli ommy alijitoa sana kwa diamond kuliko kwa kiba japo kiba ndiye alimtoa kwa chorus kali.
utakumbuka wakati kiba alipoachia wimbo wake wa mwana akijinadi kurejea ommy hakumpa pongezi wala kuupigia promo wimbo wa kiba kitu kilichofanya mashabiki wamtukane sana ommy kuwa hana shukurani kwa kiba..
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Yaniiiiiii Ali Kiba fundi sana.
Hadi nimesisimkwa nikifikiria anavyotambaa na beat na ile sauti yake tamu...
[emoji444] Nainai...ukinikubali sikatai jua you always on mind... (Always on mind)
Ukinipa sikatai nakupenda sana you always on mind...[emoji444]
Achaaaaaa [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Diamond ndio mwenye tatizo hapa