Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Leo naona ommy kawatuliza wote, diamond lazma ajue kuwa mafanikio sio kigezo cha mtu kywa mtakatifu, mungu wetu habagui hta kidogo, kwake ss sote tuko sawa licha ya kuwa waovu au wasafi. na hutoa rizk kwa yeyote yule, ingekuwa hivyo wale walokole/waislam safi wote wangekuwa matajiri.
Katika hilo ndo nimeprove kwamba jamaa ana akili ndogo kweli, mbona watu wenye roho mbaya, wanaocheza dili haramu na michezo michafu ndo wenye mafanikio makubwa siku zote??

Btw sielewi ni mafanikio gani aliyopata yanayotosha kuwapigia wenzake kelele!!
 
81207f613517771d623fee13368c9d27.jpg
huko twitani bwana meneja nae yu matatani [emoji23][emoji23][emoji23]...hii wiki itakua tam sana [emoji23]....hivi BCW wanakulaga nini
Huyu meneja Sallam ana p.h.d ya unafiki na uchonganishi na ndiyo mtu anayeshiriki kumponza Diamond.
 
Mbona leo mnaloo!! Hapo kibaya kiko wapi!! Mlivyokazana na madesa yenu ambayo hata hayahusiki ndio mnazidi kutia huruma.

Pole, kampepee boss ohooo!!!
Mbona alifuta km hamna ubaya
Je wajua [HASHTAG]#simba[/HASHTAG] [HASHTAG]#diamond[/HASHTAG]
e0878304e30a9a9faf7b97bb499559a3.jpg
 
Busara gani? Ameongea kwa kujibembeleza na kutafuta huruma,NYIE NI HATERS,HATERS,HATERS NA HAMTOFANIKIWA KUMCHUKIA MWANAUME MWENZENU,CHUKI ZA KIMASKINI.
Mkuu tafuta shimo la choo ukaporomoshe mitusi yote uliyoandaa kwajili ya ommy coz amewa-outsmart mmebaki mmetepweta.
 
Story ya Ommy imenikumbusha rafiki yangu mmoja alokua akinosaidia wakati sina ila nilivyoanza kunyenyuka tu akaanza kunishusha khaaaa. Ila kwa mapovu ya diamond kwa upande wangu namuona yeye ndio mkorofi
 
Inakua haina maana tena.
Haina maana tena vipi mbona joh makini kafanya collabo n davido vitu vingine kaongea havina fact hapo ommy katudaganya tuje kwa iyanga ile ngoma ya diamond ft iyanya bumbum ommy nae c alitokea kwny video sasa alimzuguka vipi yeye kwnd kufanya kazi n iyanya
 
Kuna kitu hakipo sahihi.mbona upande mwengine huyo huyo kawanyanyua wasanii wengine.dully sykes video yake kafanyiwa bure na diamond.ravy alikiona kipaji chake akamchukua .harmonize na yeye bongo starch alitolewa ila hakuimba vizuri diamond akamuamini akamchukua.isije ikawa kila mtu akaamua tu kujitetea kwa upande wake. muda mrefu hawako pamoja ommy na diamond.iweje yaibuke sasa?
Sikiliza hiyo interview Ommy amenyoosha maelezo.
Mond ka-bite ideas za Ommy na amemsinch tangu kwenye msingi.
Nyimbo ya dully tazama iko kwenye channel ya WCB that means mtonyo unaingia WCB, hao kina rayvan , harmonize na mavoko wako chini ya WCB so kila anachofanya diamond mtonyo unarudi kwenye kampuni yake ya WCB.
 
Tatizo la maskini (waswahili) mkiambiwa ukweli mnadai chuki... kila mtu kabarikiwa kwa namna yake ndo maana kila mtu ana kipaji na talanta yake, Diamond ana upepo wa mashabiki Ommy Dimpoz ana hekima ingawa wote wana kipaji cha uimbaji.. alipandishwa na watu na atashushwa na watu!! Usiseme hakuna wa kumshusha... mifano anuwai iko mingi tu kuanzia kwenye vitabu vya dini na kwenye maisha. Wenye chuki ni nyie ambao hamumwambii ukweli hata akikosea mmnasifia tuu...
Tafakari hekima hizi za wahenga
Maskini akipata ............
Ngoma ikivuma sana..........
Mgema akisifiwa ............
Hakuna Marefu...........
We una utajiri gani? Diamond siyo maskini,hana shida kama wewe KUSHINDA mitandaoni kumchafua ili aonekane mbaya ashuke kimuziki,ridhiki ya mtu anapanga Mungu hata uombe vipi mabaya huwezi mshusha kwa maneno,MNAMCHOKOZA AKIWAJIBU MNAKIMBILIA KUMUITA MASKINI,MARA MSWAHILI,GET THE https://jamii.app/JFUserGuide UP BOY,GET LIFE MOTHER..FUCKER.
 
Yaani umenifanya nikumbuke ile chorus, boonge la chorus yaani.
Yaniiiiiii Ali Kiba fundi sana.
Hadi nimesisimkwa nikifikiria anavyotambaa na beat na ile sauti yake tamu...
[emoji444] Nainai...ukinikubali sikatai jua you always on mind... (Always on mind)
Ukinipa sikatai nakupenda sana you always on mind...[emoji444]

Achaaaaaa [emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Haina maana tena vipi mbona joh makini kafanya collabo n davido vitu vingine kaongea havina fact hapo ommy katudaganya tuje kwa iyanga ile ngoma ya diamond ft iyanya bumbum ommy nae c alitokea kwny video sasa alimzuguka vipi yeye kwnd kufanya kazi n iyanya
Joh anafanya Rap music, tofauti na mond na ommy both wanaimba.
Kwanini Ommy ale makombo wakati yeye ndiyo mpishi mkuu???
Mimi nipike chakula uibe sufuria lote ule chakula uniachie ukoko unadhani nitakula hayo makombo? Hata hiyo sufuria sitaitumia tena, labda nitumie kulishia mbwa.
 
Tena wanatafuta haki zao in public na support all over the world.
Ila si ishu ya kutembea na mama mzazi [emoji16] imekaa vibaya hiyoooo

mbona hii sikuisikia nani anatembea na mama yake mzazi? Maana hii laana inaweza kutafuna vizazi vya mtu .
 
lakini kwani diamond hakujua kama ommy na kiba washikaji? wimbo wa ommy wa kwanza chorus si kaimba kiba.
Sasa kama ni hivyo kwanini diamond alimaindi ommy alipotoa video ya wnjela bila kumwambia?
Asingemaindi naye angechukulia biashara tu.
Na ni kweli ommy alijitoa sana kwa diamond kuliko kwa kiba japo kiba ndiye alimtoa kwa chorus kali.
utakumbuka wakati kiba alipoachia wimbo wake wa mwana akijinadi kurejea ommy hakumpa pongezi wala kuupigia promo wimbo wa kiba kitu kilichofanya mashabiki wamtukane sana ommy kuwa hana shukurani kwa kiba..
Mkuu umekitonesha kidonda changu kilichoanza kupona kuhusu Ommy alivyomchunia Kiba aliporejea.

Iliniumaaaaa,nilimchukia Ommy sana,nilimunfollow hadi leo sijamfollow tena.
 
Yaniiiiiii Ali Kiba fundi sana.
Hadi nimesisimkwa nikifikiria anavyotambaa na beat na ile sauti yake tamu...
[emoji444] Nainai...ukinikubali sikatai jua you always on mind... (Always on mind)
Ukinipa sikatai nakupenda sana you always on mind...[emoji444]

Achaaaaaa [emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Back
Top Bottom