Unataka ajibu kitu kisichomuhusu?Heshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zinamuelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia kamuulize Mnyika ?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Kwahiyo anataka ajibu swali lisilomhusu? Kha huyu vp!Nikuweke sawa kuwa alisema alikuwa muhimu kipindi yupo CDM ila si kwa sasa. Kuhusu matumizi mabaya ya fedha za chama amesema yakuwa anaehusika kujibia hayo ni katibu kutokana na kanuni za chama
Kumbe wanaongeza na kupunguza chumvi kijanja!Nikuweke sawa kuwa alisema alikuwa muhimu kipindi yupo CDM ila si kwa sasa. Kuhusu matumizi mabaya ya fedha za chama amesema yakuwa anaehusika kujibia hayo ni katibu kutokana na kanuni za chama
Unaotaaa!Sugu,Mbowe,Msigwa,Lisu,Wenje hawa tayari washaelekea kibla.
mgumu ni Heche na Lema.
[emoji115]
hao awanaga kazi chafu.
mwaka jana kuna mwenzio alinibishia kuhusu Msigwa kua ni mamluki wa CCM,kiko wapi?
Nashiwishika kusema hukufuatilia interview yote..Heshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zinamuelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia kamuulize Mnyika ?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Lissu ameanza kupoteza umakini.... mfano hizo hoja za fedha juzi John Mrema kazijibu vizuri sana alipobojiana na Kikeke angeweza tu ku refer kwa Mrema.Heshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zinamuelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia kamuulize Mnyika ?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Kosa lake ni lipi?,asiseme kweli yake?Heshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zinamuelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia kamuulize Mnyika ?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Lissu ameanza kupoteza umakini.... mfano hizo hoja za fedha juzi John Mrema kazijibu vizuri sana alipobojiana na Kikeke angeweza tu ku refer kwa Mrema.
Nimemsikiliza kwa makini sana leo anaonekana ni mtu anayejaribu kujijenga sana binafsi. Mtu unasema unashiriki vikao vya chama unashindwa kuzitolea maelezo hoja ambazo ni dhahiri unaziweza. Join the chain kwani hizo program wanazoendesha za mikutano nchi nzima ni ruzuku tu ndo inagharamia?
Kwa kipindi cha leo pale Star TV nafikiri hata hao CCM wataanza kulala usingizi mzuri.
Tukubali tukatae mkiti wetu si salama kivile upande wa pesa ya chama, mengine tunafunika kombeMleta mada, kama unataka Lissu afunguke anayoyajua kuhusu fedha za chama utamchukia zaidi , wengine wanaona bora apigepige chenga hivyohivyo kijanja. Maana akiyajibu maswali hato chokonozi kwa kuusema ukweli itakuwa shida.