anajitahidi sana kujitenga na uovu, udhaifu na rushwa iliyokithiri anayo ilalamikia sana ndani ya uongozi wa chadema huku akijua fika na yeye ni miongoni mwa viongoz waandamizi muhimu ndani ya Chama hicho...Heshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zinamuelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia kamuulize Mnyika ?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Ukifahamu kwamba Lissu ni mwanasheria Nguli hutokuwa na shaka kuhusu chochote anachozungumza.Heshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zinamuelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia kamuulize Mnyika ?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Makamu mwenyekiti ni mwenyekiti wakati mwenyekiti hayupo. Mwenyekiti lazima awe na taarifa zote za chama.Unataka ajibu kitu kisichomuhusu?
Alishasema yeye sio mmoja wa watia saini wala hahusiki na kamati ya fedha
katika watu ninaowakubali ni Lissu. tuwe wakweli Lissu akiingia CCM atakua ahajimaliza kisiasa na kiakili. CCM atachie sisiHeshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zina muelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia “kamuulize Mnyika”?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Lissu ni kiongozi mkubwa ndani ya Chadema baada ya Mbowe anafuata yeye.Nashiwishika kusema hukufuatilia interview yote..
Ama umefuatilia lakini hukumwelewa kabisa..
Mathalani, ungeulizwa swali kama hilo wewe ungejibuje..?
Sio kwamba ni kweli wapo watu sahihi ndani ya chama wenye access na mambo fulani maalumu mf. Fedha na hao ndio wanaoweza kujibu maswali hayo huku wakiwa na evidence ya nyaraka kuthibitisha hoja hizo..?
Shida ya Tundu Lissu ni moja tu, NI MTU MKWELI, GENUINE & VERY INTELLIGENT. Hii tabia ya kusema ukweli Watanganyika wengi hatuna iwe wa vyama vya upinzani, wana CCM au wasio na vyama. Tumezoea kuishi kwa kupuliza na kusema uongo..
Mimi kwa maoni yangu, Hii interview ni bora sana na wakati wote amekwepa mitego ya mwandishi ambayo kama angejibu pasipo busara wala hekima kama unavyofikiri wewe, ndo angeleta mtafaruku na mganganyiko mbaya zaidi..
Watu waliokuwa organised kila mtu ana mamlaka yake. Siyo ya tawala za kidikiteita kama samia anaingilia kila muhimili wa dola. Mnyika ndiye mtunza nyaraka za chama, ripoti zote ziko kwa Mnyika. Ukitaka nyaraka yoyote lazima upate kibali cha Mnyika. So it is right kumuuliza Mnyika!Heshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zina muelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia “kamuulize Mnyika”?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Kabisa.Siyo cheo tu sasa hivi, kuna ya ziada.
Mbowe amekuwa kama alivyo Raila Odinga huko Kenya.
'Model' hiyo hiyo inatengenezwa hapa Tanzania.
Ni mimi nimeona hivyo kwamba anataka kujiinua zaidi yeye kuliko chama anasahau kwamba chama ndiyo kimejenga mizizi mpaka ngazi ya msingi na kwamba bila chama yeye si kitu. Asipochukulia tahadhari jambo hili litamshinda kwani anawakwaza watu wengi sana (wafuasi, wanachama na wapenda mabadiliko) halafu baadaye wataanza kumsingizia M/kiti Mbowe.Lissu ameanza kupoteza umakini.... mfano hizo hoja za fedha juzi John Mrema kazijibu vizuri sana alipobojiana na Kikeke angeweza tu ku refer kwa Mrema.
Nimemsikiliza kwa makini sana leo anaonekana ni mtu anayejaribu kujijenga sana binafsi. Mtu unasema unashiriki vikao vya chama unashindwa kuzitolea maelezo hoja ambazo ni dhahiri unaziweza. Join the chain kwani hizo program wanazoendesha za mikutano nchi nzima ni ruzuku tu ndo inagharamia?
Kwa kipindi cha leo pale Star TV nafikiri hata hao CCM wataanza kulala usingizi mzuri.
Na inaonekana yeye na Msigwa lao moja. Ana kigugumizi sana kumzungumzia Msigwa tofauti na wengine wengi waliohama kama akina Dr Slaa n.k.....Ni mimi nimeona hivyo kwamba anataka kujiinua zaidi yeye kuliko chama anasahau kwamba chama ndiyo kimejenga mizizi mpaka ngazi ya msingi na kwamba bila chama yeye si kitu. Asipochukulia tahadhari jambo hili litamshinda kwani anawakwaza watu wengi sana (wafuasi, wanachama na wapenda mabadiliko) halafu baadaye wataanza kumsingizia M/kiti Mbowe.
Ukweli daima ni muhimu na ukweli Watanzania wengi hawapendi wanapenda usanii katika masuala ya msingi.Nashiwishika kusema hukufuatilia interview yote..
Ama umefuatilia lakini hukumwelewa kabisa..
Mathalani, ungeulizwa swali kama hilo wewe ungejibuje..?
Sio kwamba ni kweli wapo watu sahihi ndani ya chama wenye access na mambo fulani maalumu mf. Fedha na hao ndio wanaoweza kujibu maswali hayo huku wakiwa na evidence ya nyaraka kuthibitisha hoja hizo..?
Shida ya Tundu Lissu ni moja tu, NI MTU MKWELI, GENUINE & VERY INTELLIGENT. Hii tabia ya kusema ukweli Watanganyika wengi hatuna iwe wa vyama vya upinzani, wana CCM au wasio na vyama. Tumezoea kuishi kwa kupuliza na kusema uongo..
Mimi kwa maoni yangu, Hii interview ni bora sana na wakati wote amekwepa mitego ya mwandishi ambayo kama angejibu pasipo busara wala hekima kama unavyofikiri wewe, ndo angeleta mtafaruku na mganganyiko mbaya zaidi..
Hivi unafikiri anatoa tuhuma hizi bila ushahidi usiotia shaka? Wakati ufaao kila kitu kitawekwa hadharani. Huwezi ukaweka silaha zako hadharani.Ndg.Lissu atuwekee CCTV FOOTAGE ya tuhuma zake za kutaka kuhongwa....pale nyumbani kwake ana CCTV CAMERA...
Nakubaliana na wewe mkuu nami nimesikia hivyoNikuweke sawa kuwa alisema alikuwa muhimu kipindi yupo CDM ila si kwa sasa. Kuhusu matumizi mabaya ya fedha za chama amesema yakuwa anaehusika kujibia hayo ni katibu kutokana na kanuni za chama
Kuhusu masuala ya fedha Lissu yuko sahihi kabisa,tuhumu za matumizi mabaya ya fedha ni tuhuma nzito sana hazitakiwi kujibiwa kwa maneno matupu bali kwa vielelezo vya nyaraka ambazo Lissu anasema zipo lakini kikanuni za chama mwenye kuweza kuzitoa ni Katibu Mkuu. Na mara nyingi Lissu amesema ni vema hizi tuhuma zijibiwe tena kwa vielelezo ili kukisafisha chama. Ni wakati sasa Katibu Mkuu akisafishe chama kwa nyaraka na vielelezo ili haya maswali yasiendelee kuulizwa. Ukimlaumu Lissu kwa kutotoa maelezo ya tuhuma za fedha ni kumuonea,kumbuka Lissu ni mwanasheria ndiyo maana anasisitiza suala hili lijibiwe kwa vielelezo.Lissu ni kiongozi mkubwa ndani ya Chadema baada ya Mbowe anafuata yeye.
Ungefuatilia mahojiano baina ya John Mrema na Kikeke haya mswali ya fedha yaliulizwa na kujibiwa vizuri sana.Inashangaza Makamu Mwenyekiti hawezi kujibu anamsukumizia Katibu Mkuu ?.
Tatizo la Lissu anataka kujibrand tofauti na chama chake,lakini wakati huo huo anataka chama hicho hicho kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Asante kwa kuliweka hili vizuri..nami nilisikia na kulielewa hivyo..ila nami niseme siku hizi kama simuelewi elewi mkuu sana Ngongo ..upo hasi kidogo na Mh Lissu, ..jaribu kurejea michango yako humuNikuweke sawa kuwa alisema alikuwa muhimu kipindi yupo CDM ila si kwa sasa. Kuhusu matumizi mabaya ya fedha za chama amesema yakuwa anaehusika kujibia hayo ni katibu kutokana na kanuni za chama
Mimi naona amejibu maswali vizuri kabisa na siyo ya kukibagaza Chadema.Heshima sana wanajamvi,
Kila Makamu Mwenyekiti akifanya interview anaonekana kama si mmoja wa kiongozi wa juu wa chama.
Interview zake zina muelekeo wa kukinufaisha CCM na kukibagaza chama chake.
Wakati huo huo anataka chama chake kimpatie nafasi ya kugombea uRais !.
Mfano unaulizwa na mwandishi wa habari juu ya fedha za chama unamwambia “kamuulize Mnyika”?.
Hapo hapo unamsifu Msigwa ni mtu muhimu wakati unajua anakibagaza chama !.
Hizi fikra zinasababishwa na wanaohusika kutotoka na kujibu maswali haya kwa ufasaha na kuweka hesabu zilizoandaliwa kitaalamu na kukaguliwa kwa uwazi ..Tukubali tukatae mkiti wetu si salama kivile upande wa pesa ya chama, mengine tunafunika kombe