Unaona ulivyo na akili finyu asee mabilioni yamekujaje hapa😂😂😂 relax hapo umekosa kazi TRA unawaka hivyo je ukijakujua kwamba hata ulichosoma hakina msaada na ww utafanyaje?Hongera kwa wewe ulieletwa kukejeli wengine. Mungu aliekupa wewe kazi na mabilioni aliona unafaa kuzipata na kutukana nazo wengine. Acha sisi wengine tumkumbushe akuongezee ili zizidi kukupa jeuri na kebehi.
😂😂😂 Sijasoma ila sina malalamiko kama ww alafu utumishi ni utumwa yaani unapambania uwe mtumwa 😂😂😂. Ww uliesoma ndio kwanza jua linakuwakia una haha hujui ushike wapi pole sana dogo janjaAwe mtumishi atambe🤣 kwani wanatakaga mtu ana kiherehere hivi🤣 si atawashwa kwenye hiko kiti kwanza sijui kama kasoma hata 92 jerrie kitulize basi
Yaani ndo maana vijana mnapigwa sana mabao ya mikono. Mnaacha kuangalia tatizo lilipo mna deal na mtu. Humu kuna fake ID’s.Unaona ulivyo na akili finyu asee mabilioni yamekujaje hapa😂😂😂 relax hapo umekosa kazi TRA unawaka hivyo je ukijakujua kwamba hata ulichosoma hakina msaada na ww utafanyaje?
Sikukebehi ila nakuambia ukweli tatizo nyie mliosoma mnaojiona mna hizo digirii ukweli kwenu ni tusi mnataka mpambwe na uongo uongo usio na maana ndio maana wengi wenu mnakua machawa maanna ndio kitu mnaweza.
Ndo maana una hasira. Sio kwamba hutaki utumishi hujasoma.😂😂😂 Sijasoma ila sina malalamiko kama ww alafu utumishi ni utumwa yaani unapambania uwe mtumwa 😂😂😂. Ww uliesoma ndio kwanza jua linakuwakia una haha hujui ushike wapi pole sana dogo janja
Nilichosoma kinawezaje kutokua na msaada na mimi? Hivi msiosoma mkitukanwa kumbe huwa mnastahili. Sasa kumbe huna elimu utajuaje uchungu wa wanaopambania kufanya kazi ya walichokisomea?Unaona ulivyo na akili finyu asee mabilioni yamekujaje hapa😂😂😂 relax hapo umekosa kazi TRA unawaka hivyo je ukijakujua kwamba hata ulichosoma hakina msaada na ww utafanyaje?
Sikukebehi ila nakuambia ukweli tatizo nyie mliosoma mnaojiona mna hizo digirii ukweli kwenu ni tusi mnataka mpambwe na uongo uongo usio na maana ndio maana wengi wenu mnakua machawa maanna ndio kitu mnaweza.
Wangapi hawajasoma na wapo utumishi tena possition nzuri tu. Au ulitarajia na mimi ntakuuliza. UNAJUA NIMESOMA KOZI GANI😂😂😂😂 jipangeNdo maana una hasira. Sio kwamba hutaki utumishi hujasoma.
Sasa kama hapo ulipo umesoma na bado nafasi hujapata unajitolea mpaka leo wakati wapo wenye alimu ya chini kwako na wanaajira zinawasaidia. Au uliulizwa leo hapo ulipo elimu ikichukuliwa unabaki na nn au elimu yako imekunufaisha vipi. Kiufupi kwa malalamiko yako Mungu akusaidie uajiriwe maana naweza jinyonga sisi ambao hatujasoma tuje tukuzike tule pilau kama familia yako itapikaNilichosoma kinawezaje kutokua na msaada na mimi? Hivi msiosoma mkitukanwa kumbe huwa mnastahili. Sasa kumbe huna elimu utajuaje uchungu wa wanaopambania kufanya kazi ya walichokisomea?
Ila we unajipa moyo🤣🤣🤣kwahiyo upo utumishi, hujasoma ila unakaza fuvu kujilinganisha. Scale yako inalingana na wenye degree au sio🤣 basi fresh ngoja nikupishe mzee siwezi kubishana na bamia mimi zinaharibikia ukubwaniWangapi hawajasoma na wapo utumishi tena possition nzuri tu. Au ulitarajia na mimi ntakuuliza. UNAJUA NIMESOMA KOZI GANI😂😂😂😂 jipange
Ila we unajipa moyo🤣🤣🤣kwahiyo upo utumishi, hujasoma ila unakaza fuvu kujilinganisha. Scale yako inalingana na wenye degree au sio🤣 basi fresh ngoja nikupishe mzee siwezi kubishana na bamia mimi zinaharibikia ukubwani
Waibukie huko huko kwny oralHabari wakuu.
Lalamiko nilaloleta mahali hapa ni kwanini TRA iitishe interview, iruhusu watu wafanye alafu mtu unafaulu kwa marks zaidi ya tisini unaambiwa una irrelevant qualification za kuendelea na mchakato wa kufanya oral interview.
Ina maana hadi wanakuita uje ufanye interview hawakujua kwamba una irrelevant qualifications?
Mtu unakopa pesa ili uweze kufika mkoa ambao umeitwa kwenda kufanya Interview maana interview inakukuta kwenye vibarua vya watu unapambana kujitolea alafu unafika unapambana kusoma usiku na mchana unajiandaa vizuri unaingia kwenye mtihani unafanya vizuri unafaulu kwa marks za juu kabisa alafu unakuja kuambiwa umefaulu lakini hujachaguliwa kwakua una irrelevant qualifications? Kwanini mliita mtu in the first place?
INTERVIEW IRUDIWE ILI HAKI IWEPO. MCHAKATO MZIMA WA
INTERVIEW URUDIWE, WATANGAZE UPYA ILI WATU WAOMBE UPYA NA WENYE QUALIFICATIONS HUSIKA WAOMBE NA MUWACHAGUE KWA HAKI NA USAWA. WAHANGA NI WENGI SANA NA INAUMIZA.
NAOMBA TRA WARUDIE MCHAKATO WA INTERVIEW ILI WALIOKOSESHWA KWENDA KWENYE ORAL KWA KIGEZO CHA IRRELEVANT QUALIFICATIONS HATA KAMA WANA MARKS KUBWA NAO WAITWE WAFANYE TENA INTERVIEW.
Haki itendeke watoto wa maskini tunaendelea kusota.
Nimeambatanisha na mfano wa uonevu huo uliotendeka.
Na TRA mlipotaka kufanyisha interview nyinyi wenyewe hiki ndo mlitaka kufanya? Haki itendeke mchakato urudiwe
NINGEKUWA NNA UWEZO WA KUFUNGA HII THREAD NA HII IKAWA NDO MAIN POINT KULE JUU NINGEFANYA.All in all mleta mada unafanya kitu kikubwa sana. Ni lazima mamlaka ziweze kuonyeshwa pande zote mbili za shilingi. Wakati wengine wanafanya uzalendo kwa kusifia, wengine inabidi wakosoe ili kuibua maeneo yanayohitaji maboresho.
Napata ukakasi kwenye kurudiwa interview nikiwawaza watoto wa masikini ambao tayari wameitwa Oral, lakini nitapata nguvu zaidi hasa kwa wale walioonekana kudhulumiwa au kuweza kupata nafasi ya kusikilizwa na kujibiwa hoja zao, likifanyika hilo. Mwisho wa siku, kupitia hii thread mamlaka itajirekebisha, pengine haya mapungufu ya safari hii hatutayaona huko mbeleni.
Tatizo ni kwamba huko tayari kulikuwa na watoto wa wakubwa waliopewa nafasi ya "kujitolea" na "interna". Hawa hawawezi kabisa ushindani ulioko PSRS. Wakubwa wakalazimisha TRA waajiri wenyewe bila kupitia PSRS, lengo ni kupata urahisi wa kupitisha watoto wa wakubwa!! Ila huko nako kulipotangazwa tu (maana sharti nafasi zitangazwe) wapambanaji wakajitosa!! Kwanza figisu ilianzia kwenye kuitwa kwenye usaili! Wengi waliachwa japo wana sifa nzuri tu lkwa mujibu wa sifa zilizoainishwa kwenye tangazo la ajira. Pili waliofanikiwa kuitwa na wakatishia nafasi za watoto wa wakubwa ndo wakafanyiwa faulo mbalimbali mojawapo ndo hiyo unayoisema!! Ndugu yangu ndo imetoka hiyo!! Mungu atakusaidia mbele ya safari!!Naamini ile ni taasisi ya serikali ina sheria, mifumo na utaratibu. Nachelea kusema kwamba nafasi zote wanapewa watoto wa wakubwa. Lakini sio sawa mtu ufaulu kwa marks kubwa kiasi hiko alafu waseme hau qualify? Sasa kama mtu haqualify amefanyaje mtihani? Kwanini mtu asiachwe afanye mtihani akakose mwenyewe mbele ya safari
Daah kumbe complaints zinaenda deepUnfairnesa ya ajira za TRA ni ya ajabu. Kigezo kipi kimetumika kuchukuwa watu wenye marks 70 za juu dhidi ya marks 70 za chini zenye nyekundu. In general Kama maombi yetu yanaweza kumfukia raisi wetu Mama Samia tunamuomba sana arudushe mchakato huu PSRS ili kuwezesha watu stahiki kuweza kupata nafasi za ajira kwenye taasisi mbalimbali za serikali kwa usawa
Dahh hapa wameua aiseeeUnfairnesa ya ajira za TRA ni ya ajabu. Kigezo kipi kimetumika kuchukuwa watu wenye marks 70 za juu dhidi ya marks 70 za chini zenye nyekundu. In general Kama maombi yetu yanaweza kumfukia raisi wetu Mama Samia tunamuomba sana arudushe mchakato huu PSRS ili kuwezesha watu stahiki kuweza kupata nafasi za ajira kwenye taasisi mbalimbali za serikali kwa usawa