Interview za TRA hazijatenda haki

Interview za TRA hazijatenda haki

Nilichokuja kugundua humu ndani kuna watu ni wajuaji sana. Yani wao kila kitu wanataka waonekane wanajua. Wanataka kugeuza hii mada kama ni cross examination kwenye court session. Nadhani taasisi husika imeshajua ilipokosea na ndo nlichokua na fight kwamba mchakato ukawe wa haki.

Kama wengine mnaona mchakato hauluwa na shida then stay out of this thread acha wasio na sauti wasemewe.
 
Kumbe walifanya jambo jema kukuchuja, kuwa na staff ambaye yupo desperate namna hii ni tatizo kabisa, there is always next time stop being grouchy.
I think you’re being irrational, arrogant and dumb by refusing to see the whole context unaenda kutafuta vicomment ambavyo havina kichwa wala miguu.
Mada yangu kule juu kabisa nimeweka hadi ushahidi. Si unge stick na hiyo mada na utumie akili kufikiri kuliko kutumia kisigino. Come slow ama tukimbizane. Sitaki kashfa.
Next time when you shove your nose in some other irrelevant business make sure there’s no deep shit in it.
 
Inawezekana kabisa ka

Unaulizwa technical questions unakwepa kujibu jibu Kwa uwazi tu bila kuonyesha wewe ni nani

Unapokua unakwepa kujibu maswali malalamiko Yako yanapoteza maana
Andiko langu la kwanza kabisa kule juu mbona lipo clear sana maana nimeweka hadi picha. Wenye taasisi yao wameelewa nlichokua naongelea. Mnapoanza kunihoji mimi haisaidii unless kama useme wewe ni staff unataka unihoji ili haki itendeke. Otherwise chukueni taarifa ifanyieni kazi mengine yaendelee hatupo kwenye mdahalo mkuu.
 
Hii sio haki, poleni sana
Habari wakuu.

Lalamiko nilaloleta mahali hapa ni kwanini TRA iitishe interview, iruhusu watu wafanye alafu mtu unafaulu kwa marks zaidi ya tisini unaambiwa una irrelevant qualification za kuendelea na mchakato wa kufanya oral interview.

Ina maana hadi wanakuita uje ufanye interview hawakujua kwamba una irrelevant qualifications?

Mtu unakopa pesa ili uweze kufika mkoa ambao umeitwa kwenda kufanya Interview maana interview inakukuta kwenye vibarua vya watu unapambana kujitolea alafu unafika unapambana kusoma usiku na mchana unajiandaa vizuri unaingia kwenye mtihani unafanya vizuri unafaulu kwa marks za juu kabisa alafu unakuja kuambiwa umefaulu lakini hujachaguliwa kwakua una irrelevant qualifications? Kwanini mliita mtu in the first place?

INTERVIEW IRUDIWE ILI HAKI IWEPO. MCHAKATO MZIMA WA
INTERVIEW URUDIWE, WATANGAZE UPYA ILI WATU WAOMBE UPYA NA WENYE QUALIFICATIONS HUSIKA WAOMBE NA MUWACHAGUE KWA HAKI NA USAWA. WAHANGA NI WENGI SANA NA INAUMIZA.

NAOMBA TRA WARUDIE MCHAKATO WA INTERVIEW ILI WALIOKOSESHWA KWENDA KWENYE ORAL KWA KIGEZO CHA IRRELEVANT QUALIFICATIONS HATA KAMA WANA MARKS KUBWA NAO WAITWE WAFANYE TENA INTERVIEW.

Haki itendeke watoto wa maskini tunaendelea kusota.

Nimeambatanisha na mfano wa uonevu huo uliotendeka.
Na TRA mlipotaka kufanyisha interview nyinyi wenyewe hiki ndo mlitaka kufanya? Haki itendeke mchakato urudiw
 
I think you’re being irrational, arrogant and dumb by refusing to see the whole context unaenda kutafuta vicomment ambavyo havina kichwa wala miguu.
Mada yangu kule juu kabisa nimeweka hadi ushahidi. Si unge stick na hiyo mada na utumie akili kufikiri kuliko kutumia kisigino. Come slow ama tukimbizane. Sitaki kashfa.
Next time when you shove your nose in some other irrelevant business make sure there’s no deep shit in it.

Denial Kaka, you will get well over a time. Utumishi wametangaza vacancy ongeza received huko hii ni past tayari. Walio karibu na wewe wakuangalie vizuri usije kujitundika.
 
Hapa ndipo ninapokuona mjinga kwamba ww unaangalia marks au sio. Kibaya sisi kama TIHARAHEI tunatafuta watu washindani nyie mnaojidai mnajua kukariri sana tunawatema maana hamna akili. Alafu watoto wa mabosi zetu watafanya kazi wapi au unataka mabosi zetu watuachishe kazi madogo waje wafanye kazi
Kama wee Ni mtumishi wa tra hutokah Sanaa [emoji1787]
 
Denial Kaka, you will get well over a time. Utumishi wametangaza vacancy ongeza received huko hii ni past tayari. Walio karibu na wewe wakuangalie vizuri usije kujitundika.
Ungekua umepitia uzi mzima ungejua hata nimesoma kozi gani. You’re sticking your nose in deep shit that you have no idea. I already told you this
 
Ungekua umepitia uzi mzima ungejua hata nimesoma kozi gani. You’re sticking your nose in deep shit that you have no idea. I already told you this
Najali afya yako ya akili, angalia tuu usije ishia kwenye suicide kijana learn to let things go, and plan for the next opportunity ahead. Hauwezi kushindana na nature imeamua hivyo kwako.
 
People are so absurd😂 kwahiyo scenario yako wewe ya kutunga ndo iko sahihi ila ambae imemkuta ndo kakosea? Angekua amekosea kuandika angelalamika?

Huko mwisho umeiweka issue ki personal sana. Punguzeni ujuaji humu wewe kama kitu hukielewi au unaona bandiko halikubariki si upite pembeni

Nije kuishia jela kisa bandiko la jamii forum? Au unadhani sheria unaijua peke yako??! Mbona ujuaji mwingi sana unachotetea haswa ni kitu gani?

Yaani ni sawa usikie mtu kavamiwa mtaani wewe ukazane kusema huu mtaa hauna wezi. Yaani ndo kinachonishangaza. Scenario yako ipo na sio kitu cha kushangaza. Kwahiyo mfumo uliokosea kuita watu, staff walioshindwa kuhakiki qualifications za wasailiwa hawawezi kukosea kuacha namba? As long as ni binadamu anae sahisha lolote linaweza kutokea.

So kama scenario huikubali does not mean haiwezi kutokea.

Ingekua haina shida basi TRA wasingekua wanafuta comments za watu wakiambiwa hizo
Shida kwenye instagram page
Hawezi kosea kuacha namba maana pale kulikuwa na sheet na ulikuwa lazima usign , sasa kama wewe umefanya na unauhakika uli sign kwann usiende makao makuu pale ukalalamike thn wasikusikilize? Mimi nimekaa na wabongo wengi i swear degree nyingi watu weupe...tena mnoo.... Ndio matokeo yake haya
 
Kwahiyo umeambiwa irrelevant kisha interview irudiwe na wewe na irrelevant yako uende tena ili matokeo yakitoka uambiwe tena irrelevant sasa hiyo interview itarudiwa mara ngapi Mkuu.

Cha msingi jipange kwa wakati mwingine.
Mimi nikajua unasema hao wenye irrelevant wachukuliwe....kumbe irudiwe yote duuuh.... Sasa Sheikh unajua zinatumika pesa ngapi kuita interview kisa irrelevant za watu hawazidi hata 100?? 🤣...mkuu kama una degree basi shule haijakusaidia kitu
 
Mimi nikajua unasema hao wenye irrelevant wachukuliwe....kumbe irudiwe yote duuuh.... Sasa Sheikh unajua zinatumika pesa ngapi kuita interview kisa irrelevant za watu hawazidi hata 100?? [emoji1787]...mkuu kama una degree basi shule haijakusaidia kitu
Soma bandiko lake nimemquote jamaa yako.
 
Mimi nikajua unasema hao wenye irrelevant wachukuliwe....kumbe irudiwe yote duuuh.... Sasa Sheikh unajua zinatumika pesa ngapi kuita interview kisa irrelevant za watu hawazidi hata 100?? 🤣...mkuu kama una degree basi shule haijakusaidia kitu
Ila uchaguzi mnang’ang’aniaga urudiwe! Kwakuwa unafanyika bure si ndio? Hakunaga gharama. Shule inaweza isikusaidie kwenye mambo mengine ila ikakupa upofu.

Mnapoona kwamba hamjatendewa haki ndo mnapayuka ila ikiwa kwenye issue ambazo hazikugusi wewe unajifinya kalio au sio
 
Na hili ndiyo jibu sahihi, kabisa
ila lazima watafute kichaka cha kujifichia ambacho ni over-qualification

mwenye Masters aki-apply nafasi ya Diploma, jua huyo anafanyia shida(njaa) na waajiri wanajua hii vizuri sana, akipata kwengine kwenye kuhitaji Masters anachomoka chap, mwajiri anaingia gharama tena kuita mchakato wa interviews

mimi nigekuwa mwajiri ningekwepa pia, hakuna mwajiri mwenye akili timamu akafanya hivyo
Jamaa anajizima Data 🤣🤣,
 
Habari wakuu.

Lalamiko nilaloleta mahali hapa ni kwanini TRA iitishe interview, iruhusu watu wafanye alafu mtu unafaulu kwa marks zaidi ya tisini unaambiwa una irrelevant qualification za kuendelea na mchakato wa kufanya oral interview.

Ina maana hadi wanakuita uje ufanye interview hawakujua kwamba una irrelevant qualifications?

Mtu unakopa pesa ili uweze kufika mkoa ambao umeitwa kwenda kufanya Interview maana interview inakukuta kwenye vibarua vya watu unapambana kujitolea alafu unafika unapambana kusoma usiku na mchana unajiandaa vizuri unaingia kwenye mtihani unafanya vizuri unafaulu kwa marks za juu kabisa alafu unakuja kuambiwa umefaulu lakini hujachaguliwa kwakua una irrelevant qualifications? Kwanini mliita mtu in the first place?

INTERVIEW IRUDIWE ILI HAKI IWEPO. MCHAKATO MZIMA WA
INTERVIEW URUDIWE, WATANGAZE UPYA ILI WATU WAOMBE UPYA NA WENYE QUALIFICATIONS HUSIKA WAOMBE NA MUWACHAGUE KWA HAKI NA USAWA. WAHANGA NI WENGI SANA NA INAUMIZA.

NAOMBA TRA WARUDIE MCHAKATO WA INTERVIEW ILI WALIOKOSESHWA KWENDA KWENYE ORAL KWA KIGEZO CHA IRRELEVANT QUALIFICATIONS HATA KAMA WANA MARKS KUBWA NAO WAITWE WAFANYE TENA INTERVIEW.

Haki itendeke watoto wa maskini tunaendelea kusota.

Nimeambatanisha na mfano wa uonevu huo uliotendeka.
Na TRA mlipotaka kufanyisha interview nyinyi wenyewe hiki ndo mlitaka kufanya? Haki itendeke mchakato urudiwe
Ndugu inaonekana uliweka matumaini makubwa mnoo kwenye hizi post.(wenzako hatufanyi hivyo)Alafu kusoma chuo cha kodi haina maana waliosoma vyuo vyengine unawazidi academically kwenye hio kodi na pia haina maana lazima uajiriwe TRA relax.

Hii ndio maana ya interview Kuna watakaopita na watakaodondoka, ukidondoka unasimama tena unaendelea na mapambano ndivyo tufanyavyo wenzako.

Ngoja nijaribu kukujibu japo najua unaweza usinielewe maana inaonekana una hasira.

Kwanza elewa TRA hawawezi kukutema tu hata kama wanataka kukuonea bila kukutaftia sababu(tukipata chance nyingine tusiwape sababu).Watu kama watatu waliotemwa na nawajua na wamepata marks za kuitwa, wote wamesoma Banking finance ambao hawa hawajasoma kabisa tax kipindi chote cha masomo!!!na wote kwenye kujaza ile form wakati wa maombi waliandika wamesoma finance wakaishia hapo na ndio maana system ikawapitisha.

Lakini siku ya paper ya written wasimamizi wakati wanawakagua vyeti wakaona ni banking finance wakawaletea noma maana hawa watu hawajasoma tax,lakini wakawaruhusu wakafanya Pepa nadhani kwa ajili ya kufatilia zaidi maana waliambiwa waandike majina yao pembeni.

Sasa mtu hajasoma tax kabisa na kaongopea mfumo umemuita na pepa akafanya fresh unamuita aje afanye nini?? Unadhani kama wangekua na nia ya kuwatema kwa kuwaonea si wasingemundikia 90% wangemwandikia tu 32% wakaachana nae.!!!!kuandika exactly marks tu hapa inaonyesha jinsi gani waliosahihisha na wasimamizi wa mchakato mzima wako makini na fair.

Kama unaona umeonewa na hakuna sababu ya kuonewa, nenda kwenye office zao kawasilishe hayo malalamiko direct mda bado upo, hata utumishi huwa wanakosea na watu wanaenda na wanatoa majina ya nyongeza,kulia lia hapa HAITAKUSAIDIA CHOCHOTE.

Nadhani tulioshindwa kupita kwa next stage tujifunze kuheshimu waliofaulu zaidi yetu na kubwa zaidi tujifunze wakati wa Mungu ni wakati sahihi zaidi.
 
Hawezi kosea kuacha namba maana pale kulikuwa na sheet na ulikuwa lazima usign , sasa kama wewe umefanya na unauhakika uli sign kwann usiende makao makuu pale ukalalamike thn wasikusikilize? Mimi nimekaa na wabongo wengi i swear degree nyingi watu weupe...tena mnoo.... Ndio matokeo yake haya
Acha kupiga kwenye mshono. 😂😂
 
Yaani mtu kusoma chuo cha kodi basi unahisi ni lazima uajiriwe TIHARAHEI aloo unajidanganya au ulidata na yale matangazo ya ajira zipo TRA ukimaliza😂😂😂 namjua mtoto wa boss mmoja hajasoma banking finance wala tax na yupo kitengo TIHARAHEI ww endelea kukomaa kujieleza sjui umesoma sjui umefanyaje bongo sio sehem ya kusoma upate ajira. Soma ujue kupambania maisha yako
 
Hongera kwa wewe ulieletwa kukejeli wengine. Mungu aliekupa wewe kazi na mabilioni aliona unafaa kuzipata na kutukana nazo wengine. Acha sisi wengine tumkumbushe akuongezee ili zizidi kukupa jeuri na kebehi.
Unaona ulivyo na akili finyu asee mabilioni yamekujaje hapa😂😂😂 relax hapo umekosa kazi TRA unawaka hivyo je ukijakujua kwamba hata ulichosoma hakina msaada na ww utafanyaje?

Sikukebehi ila nakuambia ukweli tatizo nyie mliosoma mnaojiona mna hizo digirii ukweli kwenu ni tusi mnataka mpambwe na uongo uongo usio na maana ndio maana wengi wenu mnakua machawa maanna ndio kitu mnaweza.
 
Back
Top Bottom