Interviews za Ali Kiba zinaboa; Yeye kwake kila kitu ni "Personal"

Kweli kabisa roho mbaya za wabongo dhidi ya diamond ndo zinamuweka hapo alipo ila Ali ni bure kabisa hakuahawishi hata kidogo uendelee kumsikiliza
 
Ahahaaaah...
Uko sahihi Kiongozi..!
yeaahh"ndio hivyo mkuu""mimi mbona nawapnda wote tu Hawa Jamaa"" hata hapa nilipo nasikiliza haleluya muda huu''. ila kinachonivutia zaidi kwa Kiba ninamna ambavyo anavyo yaendesha maisha yake "" kwakweli huwa naona kuwa anakajiustaarabu fulani ambacho "" ningumu mnoo kwa mtu ambaye nimsanii kuweza kuwa nacho
 
Mh jina lako mwisho lina kiba??mbona utetezi mkubwa ivi mkuu??
 
Huyu Alikiba anaonekana ni mtu ambae kwa hapo alipofikia hapendi kujifunza kabisa vitu vipya na ana pride mbaya sana
 
Tatizo la wabongo tunapenda kujua jirani kala nini ili tumfananishe.

Safi sana ali kiba. Kinachokuweka juu, ni huko kutoweka kila kitu wazi. Kila mtu anabaki kuongea lake huku akitafuta ukweli ni upi
 
Mimi binafsi navutiwa sana na Interviews za Dogo Janja.. ni msanii mdogo ila ukimsikiliza mwenyewe utamkubali.. anajihamini, anaongea kwa mpangilio, anajitambua, anapambanua mambo vizuri na zaidi ya yote anafurahisha kwa utani..

Menejimenti zinaowasimamia wasanii inabidi ziwekeze kuwafunza wasanii wao namna yakufanya majadiliano..
 
kubwa zaid kashasema hasomi comment za popote[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kama alikuwa hataki kuhojiwa mambo yake binafsi mkewe alimpeleka LeoTena kufanya nini? Shilawadu alienda kufanya nini?
Kwa hiyo kwakuwa amekuja leo tena unazani unahaki ya kumuuliza maswali ya ndani kabisa.alikuja kuhojiwa kuhusu mziki wake..sasa we nijibu ni swali gani aliloulizwa kuhusu mziki wake hakulijibu???
 
Hahaahaa....

Ndio wasanii Clouds iliyoamua kufanya nao kazi hao..

Wenye akili wote washa achana nao.

Huku kiba
...kule Dimposs .

Hahaa...
 
Neno la Kiingereza analojua ni POP IN
 
[emoji23][emoji23]itafute mkuu ,kale katoto kalimbukeni sana ndio maana kame-stuck kimuziki sehemu moja miaka nenda rudi hasogei.
[emoji28] [emoji28] katoto tenaaa?
 
Ulimbukeni bado unamsumbua,akikua ataacha,,msimshangae sana,haya mambo ya interview hajayazoea..
 
Hahaahaaa....

Inasikitisha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…