National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
ila bei juu.. matumizi yangu ya simu.. ni kupiga kupokea tuma message na kupokea iwe na uwezo wa install google chrome na ku run , kuintall signal, whats na tellgram sina matumizi zaidi ya hapo.. inakuaje ninunue simu ya 3 million .. wakati ya elfu 80 inamaliza kwele zangu 😅😅samsung ni nzuri sana
Sawa Bwana Ice...Siku zote mtu asiyekua na hela akiona jinsi watu wenye hela wanavyotumia hela zao,huona kua ni matumizi mabaya ya hela au hawana akili.
😀😀
unanunua samsung ya 300k, zipoila bei juu.. matumizi yangu ya simu.. ni kupiga kupokea tuma message na kupokea iwe na uwezo wa install google chrome na ku run , kuintall signa, whats na tellgram sina matumizi zaidi ya hapo.. how come ninunu simu ya 3 million .. wakati ya elfu 80 inamaliza kwele zangu 😅😅
A series au S series?samsung ni nzuri sana
zote kwa ujumlaA series au S series?
laki tatu mingi sana bro.. sema unapenda simu.. ila kuna simu za mafungu huwa elfu 70 nzuri sana, za mtumba wa dubai vipo bomba kinoma kuanzia prosesa, ram na storage vina 32 GB.. maisha safi na havipashi moto😅😅😅..unanunua samsung ya 300k, zipo
ila nnavopenda simu nikibahatika kushika hela natengeneza collection kabisa😂
Kwa kweli samsung ipo poa mim mwenyew nipo A20 sina habari kabisaaazote kwa ujumla
Bei za Tanzania wanazidisha karibia mala mbili.. kama una hela unachukua mwenye moja moja apple store dubai15 pro max kuanzia $1199
128 GB
Nimeona online.
kwa bei ya apple store OG.. ila hapa bongo watakuuzia million 4 kuelekea tano.. kama una mtu dubai anakununulia anakuja nayo ambao ni bei rafiki kabisaBei nzuri sana
Wandali acheni uchawi mpate maendeleo.Ena mwagona nawe.
, wakata uli?
AiseeMwagona.
Ujio wa matoleo ya iPhone kwa Tanzania huwa ni msiba mkubwa hasa Wazazi Wanaume na makaka
Kwani hicho ndo huwa visa vya dada zetu kuliwa tunda kimasihara kisa simu.
Tujiandae kusikia matukio ya hawa ndugu zetu ambayo chanzo ni tamaa.
Uzi tayari
View attachment 2747550
Utaitwa bahili mkuu ingawa una pointi.Ila kuhonga simu ya zaidi ya milioni kisa utelezi nalo ni tatizo
iPhone 12 ni kama iPhone 11sWamejitahidi kutoa iPhone nyingine bila kuongeza camera, ila najua 16 itakuja na macho 4