iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

Lengo ni kumantain performance ya simu kwa sababu memo stick nyingi zina reading an writing speed ndogo tena ukikutana fake ndo kabisa na zinaifanya simu inakuw slow. Ndiyo maana siku hizi unapewa gb kuanzia 64 kama internal memory bado una option ya kuhifadhi vitu kwenye icloud au drop box maana internet inaamia kwenye cloud sasa. Mtu akisema kuwa kuhifadhi vitu kwenye cloud ni gharama itakuwa kituko ununue simu ya million mbili uone kuhifadhi vitu kwenye cloud ni gharama, ni sawa na wale wanaolalamika V8 inakunywa sana wese wanataka inywe kama altezza
Mmiliki wa cloud ni nani? Upige zako picha halafu mweingine akakutunzie? Na ili uzi access ukanunue bando kwanza.
 
Mmiliki wa cloud ni nani? Upige zako picha halafu mweingine akakutunzie? Na ili uzi access ukanunue bando kwanza.
ni apple mwenyewe na amekupa storage ya bure, dunia inahamia huko ata adobe naye na watengeneza software wengi wanahamia kwenye cloud, juzi windows katoa os inafanana kama chrome nayo ina work based on cloud, siyo jambo la kuepukika tunaelekea huko ndiyo maana hata google documents imeshika kasi now.
Its all about cloud. uzuri wake ni kwamba hutopoteza vitu vyake kirahisi mimi nina vitu vya 2015 kisa nlivisave google drive na kwenye icloud kupitia iphone. Huwezi kimbia technology waliojaribu walikufa kama blackberry alivyodhani iPhone haitofanya kazi kwasababu ina demand data sana ita crash mtandao kilichomkuta mpaka leo kabaki jina tu..
 
Aisee nilijua niko peke yangu! Mimi bora nitumie hata itel kuliko iphone!
 
Aisee nilijua niko peke yangu! Mimi bora nitumie hata itel kuliko iphone!
Naona tu watu wanavyohangaika nazo huku
Hela hawana,mabando shida,mambo ya notes na mambo mengine ni kasheshe.
 
Yaani wanajitutumua tu ila hakuna kitu! Mimi sijawahi kuzielewa iphone kwa kweli!
Ni show off tu hakuna lolote.
Hasa Hawa walionazo huku ndo kabisa,wanazo tu ili wazionyeshe na wengi wanafata tu mkumbo.
 
Huawei no..sipendi zilivyo.
iPhone na huawei ndio dimu sizipendi ajili ya muonekano wake...
Samsung nimeitumia toka naanza kutumia smartphone nishaichoka sasa kampuni hii. Nimetumia Grand prime,s4,s5,76 A10
£918
oneplus-7-pro-1.jpg
 
Lengo ni kumantain performance ya simu kwa sababu memo stick nyingi zina reading an writing speed ndogo tena ukikutana fake ndo kabisa na zinaifanya simu inakuw slow. Ndiyo maana siku hizi unapewa gb kuanzia 64 kama internal memory bado una option ya kuhifadhi vitu kwenye icloud au drop box maana internet inaamia kwenye cloud sasa. Mtu akisema kuwa kuhifadhi vitu kwenye cloud ni gharama itakuwa kituko ununue simu ya million mbili uone kuhifadhi vitu kwenye cloud ni gharama, ni sawa na wale wanaolalamika V8 inakunywa sana wese wanataka inywe kama altezza
Mmiliki wa cloud ni nani? Upige zako picha halafu mweingine akakutunzie? Na ili uzi access ukanunue bando kwanza.
Nadhani hii point ya memory card inahitaji uafafanuzi zaidi.

Mempry card unaweza kufanya back up kwenye sehemu ambazo hazina internet, Android inaweza kufanya back ups kwenye mitandao inayotunza data kama inavyoweza iphone lakini i phone haiwezi ku back up kwa memory card.

Pia cloud storage si ya kuaminika sana, kuna kipindi i cloud ilidukuliwa picha za uchi za mastaa zilivuja na hili shambulio linaweza kutokea tena
 
Povu la omo hili [emoji16][emoji16]

Umekuja kutetea iphone wakati hata huna, Au ili tu uonekane una uchungu nayo watu wajue unayo[emoji16][emoji16]

Wenye i phone wamekaa kimya.
You sound childish.
 
Nadhani hii point ya memory card inahitaji uafafanuzi zaidi.

Mempry card unaweza kufanya back up kwenye sehemu ambazo hazina internet, Android inaweza kufanya back ups kwenye mitandao inayotunza data kama inavyoweza iphone lakini i phone haiwezi ku back up kwa memory card.

Pia cloud storage si ya kuaminika sana, kuna kipindi i cloud ilidukuliwa picha za uchi za mastaa zilivuja na hili shambulio linaweza kutokea tena
Hakuna kisicho dukuliwa hata simu bila icloud bado inadukuliwa, na icloud storage as far as i remmeber imedukuliw mara moja nadhani ilikuw 2016. Lakini ndiyo maana kila mara tunapokea updates na patches kuimarisha system.
iPhone ina mambo mengi inayokosa lakini still hoja nyingi kwangu ninaona hazina maana maana haikulengwa kufanya hayo, so kosa siyo la iPhone kosa la yule anayelalamika kwa kununua kitu ambacho hakukifanyia utafiti maana ukweli ni kwamba kama mtengenezaji angekuwa kamlenga yeye angeyaweka hayo yote mbona rahisi tu.
 
Hahah [emoji16][emoji16][emoji16] You just admitted it.

Hizo i phone kwa hapa tz umeme ukikatika siku nzima naonaga watu wenye nazo wanaanza kutembea na mi power bank utadhani ni pochi ,[emoji16][emoji16]

Huku android hata kukiwa na umeme unaowaka usiku tu naweza kuchaji simu nikaitumia hadi kesho yake tena,

Hizo simu inabidi utupie mbali ukienda vijijini, binafai hata nikienda kijijini kwa wiki naweza kwenda na battery za ziada nilizochajia mjini maisha yakaendelea.
Android gani hiyo ya siku hizi unayoweza kufungua na kutoa battery??
 
Dunia inahamia online sasa hivi get ready, hata windows katoa OS iko kama Chrome OS bila internet haifanyi kazi, OS kama adobe suits zinahamia kwenye cloud, siyo hiyo tu hata OS nyingine. Kila kitu kinahamia online huenda huko mbeleni hata tv nyingi zitakuwa kama Netflix lazima upige bundle. Ni mabadiriko tu haina jinsi unless unataka kuishi kwenye wakati uliopita na kumbuka,
If you live in the past, the future will never find you.
And by the way kustream radio hakuli bundle kubwa sana unaweza istream hata kwa lisaa isle hata mb 100
Mtu anahangaika na kuhamisha miziki wakati siku hizi watu wana stream apple music au spotify.

Dunia inabadilika sana. Hata sasa sioni haja ya kuning'iniza mawaya masikioni wakati kuna wireless headphones.

Na hata android za sasa kuna vingi vinaondolewa. Ikiwemo headphone jack.
 
Ip 5,6,6+ Zina sehemu ya kuchomeka earphone.
Nyimbo unadowload fresh Tuu Kwenye kila iPhone(audiomack, Spotify)
Ukinunua kitu piru unapewa na bt earbuds
I11
Kuhusu gharama NI kwako ...watu tunaaford.
Sd card slot ya Nini simu ina storage kubwa nyooooookooooooooh
Acha umama mtoa mada
 
Back
Top Bottom