Ndio mkuu sahihi ukizungumzia android zipo nyingin sanaUkishasema android ni simu zote.. yan Android OS ni hiyohiyo kwenye simu zote isipokuwa tu, kuna baadhi ya feature zinaongezwa na kampuni husika ya simu katika Launcher zao
Ndio mkuu sahihi ukizungumzia android zipo nyingin sanaUkishasema android ni simu zote.. yan Android OS ni hiyohiyo kwenye simu zote isipokuwa tu, kuna baadhi ya feature zinaongezwa na kampuni husika ya simu katika Launcher zao
Nishajua wewe ni mnazi wa samsungPIa mkuu ilitakiwa hoja
Mi sijamaamisha ya kugoogle mkuu iphone nimetumia pia samsung natumia siongelei ushabiki
Amoled ni better kuliko oled
#Personal experience
📌nilishwahi kumiliki iphone X
📌nishawahi kumiliki iphone 11 plain
📌nishawahi kumiliki iphone 13 pro max
🔨nishawahi kutumia samsung S10 plain
🔨nishawahi kutumia samsung S20 plain 5g
🔨nishawah kutumia samsung s21 utra
🔨sasa natumia samsung Z flip 3 5g
Nimejaribu kufanya comparison Android ni bora zaidi ya iphone kwenye kioo(amoled) pia hata kwa performance na battery capacitance
Hapana mkuu hadi oppo nishawahi tumia mkuuNishajua wewe ni mnazi wa samsung
Labda uzungumzie 14 na 15 ambazo atleast ni latest sijawah kuzitumia mkuuNishajua wewe ni mnazi wa samsung
Yaani bora kwenye nini? Ukifuata takwimu zipi na reviews zipi? Kioo cha android ni bora kwenye nyanja zipi ukilinganisha na Iphone?, Battery capacitance ni nini? au ulitaka kusema Capacity?Nimejaribu kufanya comparison Android ni bora zaidi ya iphone kwenye kioo(amoled) pia hata kwa performance na battery capacitance
More advanced kwenye nini? Don't be too general, specify hoja zako.Pia ziko more advanced compared to iphone
Developed kwenye nini?Mfano android iko more developed than iphone
Mkuu pitia huko juu nimeeleza vizuriYaani bora kwenye nini? Ukifuata takwimu zipi na reviews zipi? Kioo cha android ni bora kwenye nyanja zipi ukilinganisha na Iphone?, Battery capacitance ni nini? au ulitaka kusema Capacity?
More advanced kwenye nini? Don't be too general, specify hoja zako.
Developed kwenye nini?
Finally Kijana jenga hoja yako vizuri uki refer vema takwimu na user reviews na Benchmarks la sivyo utakuwa unapiga porojo.
MKuu iphone nimewahi kutumiaSijawahi kutumia iphone.nipo na ka itel kangu kananitosha!😂
Tena mwenye iPhone 15 Pro Max haingii katika Screen yoyote ya Amoled.. picha moja ukiangalia kote ya iPhone inaonekana imefubaaSizungumzii display ya ku google wewe shika iphone halafu shika android yoyote halafu rudi hapa tubishane
imu na OS zakeKwanza swali lako limekaa kiwaki 'Kati ya IPhone na Android' ebu kwanza ujue Android ni mfumo endeshaji na iPhone ni aina au zalio la Apple.
Sijui ulikuwa umelenga kitu gani hapo, basi mm nasema hivi kati ya iPhone na Android ipi bora ni Android.
Labda mpaka urudie swali lako vizur ili ujibiwe ki-point
We jama ni sawasawa useme kimbiza fusonlenye hp 200 halafu endesha subaru yenye hp 350 useme fuso linakimbia kimuonekanoSizungumzii display ya ku google wewe shika iphone halafu shika android yoyote halafu rudi hapa tubishane
Chukua Iphone latest, chukua nw Samsung s4 au s5 za miaka ya 2014 na 2015 kisha angalia jinsi gani display za iphone ni takataka tu. Hapo tusizungumzie display za Note 10 au Note 20 Ultra, wala tusiguze S21 series kuja juu.Sizungumzii display ya ku google wewe shika iphone halafu shika android yoyote halafu rudi hapa tubishane
Iphone vitu vyake ni durable, tena ukiwa mtunzaji utazichoka wewe, Samsung pia akaja na vitu imara pia, so kwa sasa ngoma ni droo kiaina. Ila yote ya yote, Samsung na android yake ni nzuri zaidi kuliko Iphone.Nilianza na iPod nano,nikaja iPhone 3gs,4,4s,5 sijatumia,nikaja 5s, iPad 4, Hadi hapa tulipofikia,itoshe kusema iPhone zipo OVERPRICED...Thamani na ubora tofauti...angalau MacBooks Bei mlima but Zina ubora huo...
Android inanyumbulika, ina udambwi udambwi kuliko gereza la Apple.PIa mkuu ilitakiwa hoja
Mi sijamaamisha ya kugoogle mkuu iphone nimetumia pia samsung natumia siongelei ushabiki
Amoled ni better kuliko oled
#Personal experience
📌nilishwahi kumiliki iphone X
📌nishawahi kumiliki iphone 11 plain
📌nishawahi kumiliki iphone 13 pro max
🔨nishawahi kutumia samsung S10 plain
🔨nishawahi kutumia samsung S20 plain 5g
🔨nishawah kutumia samsung s21 utra
🔨sasa natumia samsung Z flip 3 5g
Nimejaribu kufanya comparison Android ni bora zaidi ya iphone kwenye kioo(amoled) pia hata kwa performance na battery capacitance