GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwamba kuliko ng’ombe wa marehemu sio😁😁Bora ng'ombe ambaye unauhakika anazaa😆
Kwaiyo bora mtoa mimba kuliko aliezaaKwanini udeti na mwanamke aliyezaa? Hata akikuonyesha kaburi la mzazi mweza bado sijaona logic ya kuwa naye. Wasichana wapo wengi
sijui kwa nini I'd name yako naipenda kiasi hiki, huwa neno unforgettable linajirudia kichwani mara nyingi tokea enzi zile.Kwaiyo bora mtoa mimba kuliko aliezaa
Single maza harekebishiki mwanaume usitegekeKuwa na mwenye akili timamu kichwani mkuu.mchunguze kama upstairs yuko vyema mengine yanarekebishika na kuvumiliana[emoji3577]
TULISHA WAKATAZA VIJANA KUWA NA SINGLE MAZA, KUNGURU HAFUGIKI UNASHIDA SANA YA SINGLE MAZA MTAFUTE MLE ILA USIWEKE KAMBIMajibu yenu ndiyo yatanisaidia kuamua niwe na yupi kati ya hawa Wawili niliowaokota Mkeshani Kawe kwa Usiku wa kuamkia leo.
Nijibuni upesi ili nifanye Maamuzi Ok?
We nae umekurupuka sana.hebu tafuta nilipoandika achague singo mama.tulizaga akiliSingle maza harekebishiki mwanaume usitegeke
Single maza jf hawaolewi lakini mtaani kila jumamosi ndoa😁😁kazi kweli kweliHuwa nachekaga sana hizi mada za single maza humu
HahahahahahaSingle maza jf hawaolewi lakini mtaani kila jumamosi ndoa😁😁kazi kweli kweli
Nina harusi ya single maza moja alipata jamaa kanisani kwao huko ,inafanyika Mwaka mpyaSingle maza jf hawaolewi lakini mtaani kila jumamosi ndoa😁😁kazi kweli kweli