Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Si ndo hapo sasa ila ukikutana na hawa vijana wa hovyo wa JF kataa ndoa wanafikiri ndoa ni kukutanisha vikojoleo tu😏😏Nina harusi ya single maza moja alipata jamaa kanisani kwao huko ,inafanyika Mwaka mpya