Ipi faida ya Mzee Alli Hassan Mwinyi kuwepo Dodoma kama Baba wa Taifa aliyebakia?

Naibu Waziri Mkuu duhh alikua nani huyo?
 
Kiukweli, nami nimejiuliza sana alichokiongea, sijui ni nini hiki!
 
Awamu ya sita Kuna J mwengine anapiga jaramba [emoji3][emoji3] nadhani anajulikana na Ni presidential material

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuwa chaguo la Nyerere. Watu wazima wanalijua Hilo.
 

Kuna mtanzania ambaye hajui kuwa katiba inaweza kubadilishwa brother !!...

Mbona mchakato ulikuwepo na ulikula billions of shillings ila toka 2015 hadi leo ni kimya kirefu maana kila mtu anajua misingi ya katiba iliyotarajia kupitishwa..

Katika bunge la kutoa pongezi kwa JPM, issue ya kubadili vifungu vya katiba ikaibuliwa tena lakini sio kama muendelezo wa mchakato uliopita ila kubadili kifungu cha ukomo wa madaraka ilhali issue hii haikuibuliwa kama drive ya mchakato wa awali..

Watu kwa sasa naona wanapinga hii kitu sio kwa sababu hawataki katiba ibadilishwe ila wanapinga dhima ya sasa iliyopo..

Hicho ndicho nachokiona.. i stand to be corrected
 
Anataka wamalize uongozi pamoja na mwanae maana Hussein anaanza miaka 10 na Magufuli kabakiza Miaka 5.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…