Tatizo mwinyi hatakiwi kuwa mshamba wa madaraka, yeye teyari ameshakuwa rais kwa hataki kuwa na kimuyemuye na mambo madogo.Wewe Mwanao angepewa Urais pengine ungeenda mbali zaid
Mwacheni Mzee wa watu akili zimruke, Jpm angeamka vibaya si angelifyeka tu jina la mwanae
Kama ni mzee anafuata nini kwenye majukwaa ya siasa hadi anaongea ujingaMzee Mwinyi ana umri wa miaka 95. Uliza madaktari wa binadamu wakudadavulie athari za umri kwenye ufahamu, kumbukumbu na uwezo wa kufikiri. Huyu mzee anastahili kuheshimiwa na kuchukuliwa jinsi alivyo kutokana pia na makamo yake.
Huko kwenu hakuna wazee?
Ni kweli, alianza kumsikiliza mkewe Mama Sitti Mwinyi zaidi ya Mwalimu. Ndipo wakati ule ambapo Mwalimu alisema “Ikulu imegeuka Pango la wanyang’anyi”, Pia “Rais Mwinyi anamsikiza mkewe usiku ndipo anafanya maamuzi asubuhi”Hata alipokuwa akiongoza alikuwa anaongoza kwa mawazo ya walio nyuma ya pazia. Nyerere alimuweka maana ilikuwa rahisi kwake kumuagiza afanye atakalo.
Amealikwa. Na waliomwalika hawajalalamika, wewe unaumia nini?Kama ni mzee anafuata nini kwenye majukwaa ya siasa hadi anaongea ujinga
Mzee Mwinyi aliwahi kupigwa kofi na mwanafunzi wa madarasa way back 2012.Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.
Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.
Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.
Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.
Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
Mzee RUKHSA si Baba wa Taifa Mkuu huyo ni Baba yake Hussein Mwinyi Rais mtarajiwa wa Zenj. Hana sifa wala hadhi ya kupewa huo wadhifa.
“Nchi yetu inaendeshwa kwa Katiba na lazima tuienzi, lakini twaweza tukitaka kuiahirisha kwa muda mfupi ili kumpa Rais Magufuli kipindi kingine kimoja cha Asante kisha baadaye tuendelee vilevile mpaka Dunia iishe, kwasababu kuna mengi aliyonayo na Nchi itayakosa” -MSTAAFU MWINYI
Form two ya mkoloni na Diploma ya teachinghivi ni darasa la ngapi? amezidi madrasa?
Huyu mzee ni bora hata asiwe anaongea hadharani.Wazee wapuuzi kama hao ni hasara kwa nchi binafsi mpaka sasa sijaona jipya lilifanywa na huyo wanaemtukuza ambalo wenzie hawakufanya! isipokuwa kuwa ninachojua nikwamba wanacccm wengi wanashangilia sababu anatumia mkono wa chuma kuzuia wapinzani wake kufanya siasa na hata wasio na uwezo wakujenga hoja huko nao wanataka uongozi wakiamini watapita sababu dola inawabeba lkn kwenye ulimwengu wa watu wasiotumia utumbo kufikiri huyo ndugu hana la maana lakuwazidi watawala wenzie
Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.
Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.
Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.
Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.
Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
Salim Ahmed SalimSAS ndio nani boss
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni huko kwenye siasa zenu za majitaka ndio mnamfuga. Huku kwenye dini akipuyanga tu huwa anakula mibao
Faida yake ni mwanaye anapendelewa kwa mambo mengi, lakini hata yeye anajua ukweli kwamba huyu jamaa hakuna la maana analofanyaUpo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi.
Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi.
Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye anatazamwa kama kiongozi baba wa nchi aliyebakia akihimiza eti katiba iende likizo kwa muda ili jambo ambalo kimsingi hata halina maana lifanyike.
Ni aibu kubwa kumpa jukwaa huyu mzee kisha anaongea haya huku ikiaminiwa kuwa aliwahi kuwa Rais wa nchi tena chaguo la Mwalimu Nyerere. Ndiyo maana huwa nabakia kujiuliza sana uko wapi umakini wa baba wa taifa tunaoaminishwa kama tu alituletea mrithi wa hovyo kama mzee Mwinyi.
Ni katika utawala wake tuliwahi kuwa na naibu waziri mkuu asiyetambulika kikatiba. Hivyo sina wasiwasi kuwa anamaanisha ayasemayo. Huyu mzee ni heri asiwe anapewa kipaza sauti kuongea, aachwe apumzike na uzee wake!
Sasa ndiyo aongee upoyoyo huku akijua influence yake kwa jamii?Kila mtu anao uhuru wa kufikiri na kusema atakavyo. Iwe ni mgambo, mama ntilie au rais mstaafu. Kama maoni ya mtu yakikukera unatulia unapiga malimao unatulia. Katiba hurekebishwa na bunge hivyo anachosema Mwinyi ni maoni yake tu.