It depends maana sio subaru zote ni sports kuna zingine za kawaida zinakalishwa hata gx100 tu..... Forester STI na impreza WRX hizo kweli moto wake sio wa kuotea karibuYear mark x ni luxirius ila subaru ni sporty xo handling na performance ni zaidi ya mark x
Legacy b4 ni zaidi ya impreza na foresterIt depends maana sio subaru zote ni sports kuna zingine za kawaida zinakalishwa hata gx100 tu..... Forester STI na impreza WRX hizo kweli moto wake sio wa kuotea karibu
Sikukatalii mkuu..... But naomba urudi kuisoma upya subaru impreza ingia hata youtube kwenye page yao then uje utupe kauli mpyaLegacy b4 ni zaidi ya impreza na forester
Nimekuelewa mkuuSikukatalii mkuu..... But naomba urudi kuisoma upya subaru impreza ingia hata youtube kwenye page yao then uje utupe kauli mpya
Imprezza wrx sti utakimbia weweSikukatalii mkuu..... But naomba urudi kuisoma upya subaru impreza ingia hata youtube kwenye page yao then uje utupe kauli mpya
Hivi Subaru nayo ni gari!? Watu kweli hamna taste!!!Acha kufanisha Subaru na gari za ajabu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hivi Subaru nayo ni gari!? Watu kweli hamna taste!!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mambo yote Starlet bhana
Aah! usicheze na kale ka kitu mwanawane,mafuta kananusa tu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
starlet ni gari ya msimu
Mark x speed 180 ? Hainifai kabisa
mark x speed 180 shaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
we unataka speed ngapi mkuu maana nchini humu hata hio 180 ni nadra sana kuimaliza. Tochi kibao highways.Mark x speed 180 ? Hainifai kabisa
Yeah najuaAah! usicheze na kale ka kitu mwanawane,mafuta kananusa tu
hii gari ina shape tamu sana, i think its the far most appealing sedan make by subaru. Af kuna ile hatchback yake pia nayo tamu sana
Mkuu mm huwa natembea usiku vijana wa Tochi wakiwa wamepumzika na hawala zao...!we unataka speed ngapi mkuu maana nchini humu hata hio 180 ni nadra sana kuimaliza. Tochi kibao highways.
Hahahahahah hapo nmekusoma mkuu, basi patamu hapo...Unaendaga route za wapi wapi mkuu?Mkuu mm huwa natembea usiku vijana wa Tochi wakiwa wamepumzika na hawala zao...!
Yeah legacy ishachukua appearing car from japanhii gari ina shape tamu sana, i think its the far most appealing sedan make by subaru. Af kuna ile hatchback yake pia nayo tamu sana
Mwanza/Arusha/DarHahahahahah hapo nmekusoma mkuu, basi patamu hapo...Unaendaga route za wapi wapi mkuu?