Ila nilichogundua online mtu akiwa na content safi na viewers wakaamini katika content zake basi ela iko nje njekabisa maana ukilipwa umefungwa.
na hawa jamaa ukitaka kuelewa wanachosema,huwa hawacheki na kima.ukizingua unaambiwa ฤทabisa kwamba hapa umepuyanga.ndio maana kampuni zenye majina zinawaheshimu,maana wao ndio wanaendesha mlinganisho mkono kwa mkono sio kampuni husika.
ebana Jeremy ananikosha sanasiamini hii imetajwa humu!!!
nyongeza:
How It Should Have Ended
Hahahaha umetisha mkuuBAIKOKO TV huko ni viuno tu vya watoto wa kitanga.
Zangu ni
1. Thoughty2 - Hii channel ni bomba sana sana, ina information ya mambomengi kuanzia history, technology, crime and investigation na kadhalika. Jamaa mwenye channel ni Mwingereza na anachekesha kweli jinsi anavyokuwa ana narate. Yani hachoshi anafanya complicated topics zinakuwa rahisi na za kuvutia.
2. Mrwhosetheboss - Huyu jamaa namkubali sana kwa uchambuzi wake wa mambo ya teknolojia yanayohusiana na simu. Jamaa ni mkali sana sana na napenda jinsi anavyofanya details ngumu zikawa rahisi. Kupitia kwake utajua mambo mengi sana sana.
3. Coldfusion - Hii pia ni channel nzuri ya kujifunza mambo mengi yahusuyo technology na utapata kuijua Tesla na technology zao zinavyozidi kukua
4. Megaprojects - Hii uonyesha project za ujenzi kubwa kubwa sana duniani.
Je wewe zipi channel zako pendwa?
Alaaa nilikuwa silijui hiloWatazamaji mnailipia iyo smartphone kwa view zenu
May his sour rest in peaceMyles Monroe jamaa anakipaji cha kuchambua bible na kuweka kataika maisha yetu ya kila siku
Find your passion and work on that.Nataka nifungue channel ya YouTube ila sijui niweke content gani? Mnisaidie wandugu?
Kwa level alofika mkbhd lazima atakuwa influenced kwenye marketing zaidi kuliko actual feeling.hahaha. true true.
ishu ya Marques ni kwamba amekuwa a very big hit kufikia hatua ambayo akipewa review unit anai-review as if anai-advertise.
ukiongeza na vihela vya YT na Sponsors, ndo unaona kama saivi anahamia kwa Teslas, TVs, interviews kali etc
ila bado amepambana sana yule chalii kufika hapo alipo.
Lewis ni ahaha,...jamaa anavita vikali sana na Apple.
Jamaa ana influence pia.aliishamhoji zurkberg wa facebook na billgate[emoji23][emoji23].
hapa ndio utajua mbele ni mbele tu. youtuber wa bongo kazi kupost uzushi wa zuchu tu.
Review unit wanaweza tumiwa hata week mbili kabla ya actual unveiling.Duh dogo anakula pesa matangazo n.k. Niliona MrWhoseTheBoss aliitwa Finland makao makuu ya NOKIA wakaanza kumwonyesha teknolojia zao mpya za drone na mambo mengine.
Halafu kumbe simu uwa zinawaomba wareview matoleo yao na kampuni nyingine zinawatumia kabisa hadi simu zikishazinduliwa.
Itabidi mimi nianzishe ya kureview bidhaa za Tanzania, juice za Azam na moe, sembe, pipi na biscuit. ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Review unit wanaweza tumiwa hata week mbili kabla ya actual unveiling.
Wewe unaiona one plus 8t ila yeye alishakuwa nayo week 2 kabla.
Ndo maana unaweza ona wanashusha wote video zao siku moja.
Watakupiga risasi.Itabidi mimi nianzishe ya kureview bidhaa za Tanzania, juice za Azam na moe, sembe, pipi na biscuit. ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ [emoji16]