Ipi ni 'sexual fantasy' yako?
Naomba kuDeclare interest kuwa tangu nizaliwe mpaka utu uzima huu sijawahi kusex na malaya. Nasikia story kuwa malaya watamu na wanastyle za kunogesha ngono kinoma.

Tatizo langu naamini kuwa kila malaya ni mgonjwa ama wa HIV au STD kama gono, kaswende nk. Wakati huo huo napenda sex ya nyama kwa nyama. Ndom inaharibu ladha.

Nifanyeje nifaidi penzi la malaya bila kujihatarisha?
 
Naomba kuDeclare interest kuwa tangu nizaliwe mpaka utu uzima huu sijawahi kusex na malaya. Nasikia story kuwa malaya watamu na wanastyle za kunogesha ngono kinoma.

Tstizo langu naamini kuwa kila malaya ni mgonjwa ama wa HIV au STD kama gono, kaswende nk. Wakati huo huo napenda sex ya nyama kwa nyama. Ndom inaharibu ladha.

Nifanyeje nifaidi penzi la malaya bila kujihatarisha?
Njunji unjunjwe
 
Utastaajabu hao unaowaita malaya wakawa watakatifu kuliko hao uliotembea nao ukawaona ni watakatifu.

Tatizo tunaona wale wanaojitangaza kuuza miili yao ndio malaya kusahau tafsiri halisi ya neno malaya kumaanisha kutokuwa muaminifu kimapenzi na kushiriki ngono na zaidi ya mwenza mmoja kwa kujipatia pesa.

Sasa kwa dunia ya leo hudhani asilimia kubwa ni malaya tu?

Mwanamke haji kwako mpaka umtumie nauli, penzi halistawi mpaka kuwe na kupeana pesa, ukimaliza kumlala lazima umpe nauli ya kuondokea. Sasa kama hapo hujauziwa ngono unataka mpaka ifungwe kwenye container ya take away ndio uamini kuwa umetembea na kahaba. Maana ukichunguza simu yake mpo kama wewe hata 5 na wote mnaitwa baby.

Ulishaishi ndoto yako kitambo pasi mwenyewe kujua.
 
Tafsiri ndugu!
Screenshot_20221215-065338_Chrome.jpg
 
Utastaajabu hao unaowaita malaya wakawa watakatifu kuliko hao uliotembea nao ukawaona ni watakatifu.

Tatizo tunaona wale wanaojitangaza kuuza miili yao ndio malaya kusahau tafsiri halisi ya neno malaya kumaanisha kutokuwa muaminifu kimapenzi na kushiriki ngono na zaidi ya mwenza mmoja ikiwa upo katika mahusiano na mtu mwingine.

Sasa kwa dunia ya leo hudhani asilimia kubwa ni malaya tu? Ndoto yako ishatimia pasi mwenye kujua.
Duh.....
 
Back
Top Bottom