Ipi ni 'sexual fantasy' yako?
Umenikumbusha mbali man[emoji1787]Kuna jamaa mmoja mmoja huko Moro alikua dereva wa daladala,sasa wahuni wakawa wanamgongea wife wake akaona isiwe shida akaoa albino lkn bado wajuba wakaendelea kumtafunia albino wake [emoji2][emoji2]
Wauni sio watu broo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We unafkiri wanakuwaga na akili hawa?! 😅

Pambania tu kaka yangu kwenye fani uliyoichagua uone kama hujamkula mtu mbususu humu... ana-imagine uki-LIKE post zake na yeye unam-LIKE 😂🙌🏾
Ninalike nikimaanisha nimesoma sioni kama kuna maana nyingine tena ndio maana unakuta hata kitu senseless nimelike 😆
 
Ninalike nikimaanisha nimesoma sioni kama kuna maana nyingine tena ndio maana unakuta hata kitu senseless nimelike 😆
Ndo nakwambia kuna mtu/watu anajiuliza/wanajiuliza "huyu mbona ana-LIKE sana post zangu?!... atakuwa ananifuatilia huyu" na yeye anakuwa na intetion kwamba kuna mtu anam-LIKE sana itakuwa anamfuatilia... hii itamfanya ajigongegonge mwenyewe na iwe rahisi hata kujibu PM zako maana ni mtu mzuri kwake una-LIKE sana post zake sasa atahisi moja kwa moja hata na yeye mwenyewe unam-LIKE... itakupa mbususu hii

Akili za wanawake hizi... watabisha ila wanaoelewa hii jinsia wananielewa nini naongea 😊👍🏾
 
Back
Top Bottom