Ipi ni 'sexual fantasy' yako?
Hali gani humu? Ni matumaini yangu wazima wote.

Niende kwenye mada yangu. Kila mmoja ana 'fantasies' zake kwenye kufanya mapenzi. Unaweza kuwa na 'fantasy' ya kutoa haja kubwa ila ikawa haina harufu ya kukera, ili kumfurahisha mpenzi wako.

Kuna binti nipo naye mahusianoni ingawa si rasmi. Napenda kuwa huru na napenda sana hata mpenzi wangu awe huru naye.

Sasa kuna vitu huwa vinanikera sana, naweza nisipate hamu ya tendo hata wiki 2. Tulikuwa mechini na binti ana 'fantasy' ya kujamba wakati wa tendo.

Alipojamba tu maaaama weee!!! Yaani kisamvu jumlisha mtindi jumlisha dona. Harufu kali sana.

Yaani maji huwa hanywi kabisa. Jamani kunyweni maji. Maji ni tiba kwa wapiga punyeto; maji ni tiba kwa wawahi kufika kileleni; kifupi maji ni dawa.

Badilikeni mabinti.

Wasaalam!
 
Mimi na Wewe pekee ndio hatuna utovu wa nidhamu,,lakini wote wanaokupinga ndio watovu wa nidhamu,,na hizo ndizo raha za ulimwengu na si Dunia!!!Piga mnoo vile unavyoona inafaa kwa uhakika,,utaalamu,,,kiasi na kwa tahadhari pia cha msingi tu usiache ishi na kupiga!!
 
Back
Top Bottom